‘BIBI WA MADAWA MNIGERIA’ ASOMEWA MASHITAKA KISUTU
Mtuhumiwa alipofikishwa mahakamani hapo. MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemsomea mashtaka raia wa Nigeria, Olabisi Ibidun Cole (64) ya tuhuma za kukamatwa na madawa ya kulevya gramu 831.94 zenye thamani ya shilingi za Kitanzania milioni 37.4. Mwendesha Mashtaka, Jackson Chidunda, alisema mbele ya Hakimu Mkazi wa mahakama hiyo, Frank Mushi, kuwa mshtakiwa anakabiliwa na tuhuma za kusafirisha dawa za kulevya...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Uhuru Newspaper03 Sep
Asomewa mashitaka wodini
NA LILIAN JOEL, ARUSHA
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha, jana ilihamia katika Hospitali ya Mkoa ya Mount Meru, kwa ajili ya kusomewa mashitaka mtuhumiwa Abdulkarim Thabit Hasia anayedaiwa kufanya uwakala wa kusajili vijana kujiunga na kundi la Al Shabaab.
Hasia ambaye amelazwa katika hospitali hiyo kwa takriban miezi minne, ilikuwa asomewe mashitaka na kuunganishwa na wenzake, Mei mwaka huu lakini ilishindikana kutokana na kutokuwa na fahamu.
Mshitakiwa huyo alisomewa mashitaka hayo na Wakili wa...
11 years ago
Habarileo04 Sep
Asomewa mashitaka ya ugaidi hospitali
MTUHUMIWA wa ugaidi na anayedaiwa kufanya uwakala wa kusajili vijana kujiunga kundi la Al- Shabaab la Somalia, Abdulkarimu Thabiti Hasia, amesomewa mashitaka hospitalini jijini Arusha baada ya kupata fahamu.
11 years ago
Mwananchi28 May
Bibi wa ‘unga’ asomewa shtaka, apanda kizimbani
11 years ago
GPL
BIBI WA MADAWA YA KULEVYA AISHANGAZA SERIKALI
11 years ago
GPLWATUHUMIWA WA MADAWA YA KULEVYA MWAKA 2010 WATINGA KISUTU
11 years ago
GPL
BIBI ALIYENASWA NA MADAWA YA KULEVYA AANGUA KILIO MAHAKAMANI
11 years ago
Mwananchi07 Aug
Mansour asomewa mashtaka matatu
11 years ago
Tanzania Daima17 Jan
Diwani asomewa shtaka kitandani
DIWANI wa Kata ya Magata Kalutanga, Geofrey Ezekiel (CCM), aliyekamatwa juzi na kuwekwa ndani kwa amri ya Mkuu wa Wilaya ya Muleba, Limbris Kipuyo, jana alisomewa shtaka akiwa kitandani katika ...
10 years ago
Mwananchi29 Jan
Asomewa shtaka, augua ghafla