BIBI WA MADAWA YA KULEVYA AISHANGAZA SERIKALI
![](http://api.ning.com:80/files/uxLbwSVx3LugTamuZqThMDXYUBDMejoYfRI-deXbSyq3LXZtpNHXMZkdWZwDQiZ2k0aWY4Pln2gVv1ZEh5yIxoz9otrds*YN/bibi.jpg)
Stori: Haruni Sanchawa na Makongoro Oging’ KAMA ulisikia au kusoma habari ya bibi wa miaka 65, Olabis Abidun Cole, raia wa Nigeria (pichani) aliyekamatwa na madawa ya kulevya hivi karibuni katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, stori hii yenye mapya haitakiwi kukupita. Bibi Olabis Abidun Cole akipandishwa kizimbani. Bi.Cole ambaye alikamatwa na kete 82 za madawa aina ya Heroine na Askari wa Kikosi ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*p2ZPUXUElh3SporU1E1-0MeqCn-TyiwNSKhE-OfMA16pgzFw8zxlCjahBkCXZgAC1mYqySTer5w29qJo6Zvz8h/IMG_8468.jpg?width=650)
BIBI ALIYENASWA NA MADAWA YA KULEVYA AANGUA KILIO MAHAKAMANI
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6G9NTsFqghA/VliYKWGMJzI/AAAAAAAIIsg/fiwo1i0bdqs/s72-c/0a1dfbf3-a715-4d6f-9cb6-d3a5993fe64a.jpg)
Mwanasheria Mkuu wa Serikali alia na mtuhumiwa wa madawa ya kulevya
![](http://1.bp.blogspot.com/-6G9NTsFqghA/VliYKWGMJzI/AAAAAAAIIsg/fiwo1i0bdqs/s640/0a1dfbf3-a715-4d6f-9cb6-d3a5993fe64a.jpg)
Maombi hayo dhidi ya Muharami na mkewe yaliwasilishwa kwa hati ya dharura mahakamani hapo Septemba 13, mwaka huu mbele ya Jaji Wilfred...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fXUwj8AcBIls9I7MEAhOYJDhrGODQHzKe80LO-5XF2AZCkq3mPJxIjgNzXbKvJVBxJLPdhyQg3Nis0G5*7QYadkNHwcssBKz/chikawa.png?width=650)
SERIKALI IACHE BLAHBLAH KUHUSU MTANDAO WA NGONO, MADAWA YA KULEVYA CHINA
5 years ago
MichuziSERIKALI KUANZISHA KLINIKI SHIKIZI NNE ZA KUTOLEA HUDUMA ZA METHADONE KWA WAATHIRIKA WA MADAWA YA KULEVYA
Serikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto iko mbioni kuanzisha huduma shikizi za tiba ya methadone kwa waathirika wa madawa ya kulevya ya Heroine.
Hayo yamesemwa na Dkt. Erasmus Mndeme Mkurugenzi Mtendaji Hospitali ya Rufaa ya Kitaifa ya Magonjwa ya Akili - Milembe alipokuwa akiwasilisha taarifa ya huduma za tiba kwa waathirika wa madawa ya kulevya kupitia dawa ya methadone na utekelezaji wa majukumu ya Kituo cha kuhudumia...
10 years ago
Dewji Blog22 Jan
Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya yajadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia mambo ya Bunge, Sera na Uratibu Mhe. William Lukuvi akifungua kikao cha Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya kujadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014 kilichofanyika 22/01/2015 katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wadau toka Taasisi mbalimbali zisizo za Kiserikali wakichangia mada kupitia vifungu mbalimbali vya Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa...
11 years ago
GPL‘BIBI WA MADAWA MNIGERIA’ ASOMEWA MASHITAKA KISUTU
11 years ago
GPLMADHARA YA MADAWA YA KULEVYA-2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-tRXgGHTUdMv*3iQpf8cw0pGkPm*LoK6WyWGplekB9DBRwgQThCXXRu1riPiQ9sKitsz3lbxyWDmz5Cx2lCb2*9Jco5qtc3b/FRONTAMANI.jpg?width=650)
MADAWA YA KULEVYA: DIAMOND KIMENUKA
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-DTKa23i9fTs/U-HommZQCVI/AAAAAAAF9gI/7OdcILgwV5I/s72-c/IMG_20140804_104051.jpg)
MKE NA MUME WAKUTWA NA MADAWA YA KULEVYA
![](http://1.bp.blogspot.com/-DTKa23i9fTs/U-HommZQCVI/AAAAAAAF9gI/7OdcILgwV5I/s1600/IMG_20140804_104051.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-LfTgY5PqvGc/U-HonScSd-I/AAAAAAAF9gM/redNleJVfvc/s1600/IMG_20140804_104207.jpg)
Na Woinde Shizza,Arusha.
Jeshi la Polisi Mkoani Arusha limewakamata watu watano wakiwa na magunia saba ya madawa ya kulevya aina ya bhangi wakiwemo mke na mume.
Awali askari wa Kitengo cha Kuzuia...