Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BIBI ALIYENASWA NA MADAWA YA KULEVYA AANGUA KILIO MAHAKAMANI

Bibi wa Kinigeria, Olabisi Ibidun Cole akipelekwa mahakamani. BIBI wa Kinigeria, Olabisi Ibidun Cole (65), leo ameangua kilio katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar ers Salaam wakati akipelekwa kizimbani kwa ajili ya kusomewa kesi yake ya kunaswa na madawa ya kulevya yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 37. Hakimu aliyepelekewa kesi hiyo, Frank Mushi, aliiahirisha kesi hiyo mpaka kesho ili bibi huyo ambaye...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

BIBI AANGUA KILIO MBELE YA MAGUFULI!

Richard Bukos aliyekuwa Manyara BIBI mmoja anayeonekana kula chumvi nyingi, Jumapili iliyopita alijikuta akiangua kilio baada ya kuzuiwa kuzungumza na Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), John Pombe Magufuli katika Uwanja wa Kwaraa uliopo Babati mkoani Manyara, lakini alimsifia kiongozi huyo na kudai ndiye anayefaa kuiongoza Tanzania baada ya Rais Jakaya Kikwete. Bibi huyo akilia. Katika tukio hilo, bibi huyo akiwa nyuma...

 

11 years ago

GPL

BIBI WA MADAWA YA KULEVYA AISHANGAZA SERIKALI

Stori: Haruni Sanchawa na Makongoro Oging’
KAMA ulisikia au kusoma habari ya bibi wa miaka 65, Olabis Abidun Cole, raia wa Nigeria (pichani) aliyekamatwa na madawa ya kulevya hivi karibuni katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, stori hii yenye mapya haitakiwi kukupita. Bibi Olabis Abidun Cole akipandishwa kizimbani. Bi.Cole ambaye alikamatwa na kete 82 za madawa aina ya Heroine na Askari wa Kikosi ...

 

10 years ago

CloudsFM

Chid Benz akiri kukutwa na madawa ya kulevya mahakamani,asubiri hukumu

Msanii wa Hip Hop,Bongo Chid Benz (29), amekiri mashtaka matatu yanayomkabili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam ya kukutwa na dawa za kulevya, kifuu cha nazi na kijiko vinavyotumika kuvutia ama kunusa dawa hizo.
Chid Benz alikiri hivyo juzi Jumatano mbele ya Hakimu Mkazi, Waliarwande Lema baada ya kuomba asomewe tena mashtaka yake. Aliomba hivyo muda mfupi baada ya kesi yake kutajwa mahakamani hapo na Wakili wa Serikali, Diana Lukendo aliyesema upelelezi haujakamilika...

 

10 years ago

GPL

WEMA AANGUA KILIO!

Na Shakoor Jongo KITUKO! Beautiful Onyinye, Wema Abraham Sepetu ametoa kioja cha aina yake kwa kuangua kilio baada ya kuambiwa kuwa mbwa wake aliyepotea amepatikana na alipokwenda kumfuata akaambulia patupu. Mbwa wa staa wa filamu Bongo, Wema Abraham Sepetu aliyepotea.
Tukio hilo lililowaacha watu midomo wazi lilitokea juzikati maeneo ya kishua, Masaki jijini Dar, ambapo staa huyo alionekana kukatishwa tamaa kwani alipokuwa...

 

9 years ago

Global Publishers

Diamond aangua kilio ukumbini!

IMG_7514

Mbongo Fleva Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akilia.

Musa mateja

SIYO sinema! Mbongo Fleva Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, amejikuta akiangua kilio kama mtoto mdogo na kuwashangaza watu kufuatia mashabiki wake kumtaka awaimbie ‘akapela’ ya wimbo wake mpya wa Utanipenda, twende na Ijumaa Wikienda.

Tukio hilo ambao bado limo midomoni mwa mashabiki wake, lilijiri usiku wa kuamkia Boxing Day (Desemba 26, 2015) ndani ya ‘Uwanja wa Taifa wa Burudani’ Dar Live jijini Dar ambapo nyota huyo alikuwa...

 

11 years ago

GPL

MAINDA AANGUA KILIO KANISANI

Stori: Hamida Hassan na Gladness Mallya
OOHHOO! Mwigizaji mkubwa wa sinema za Kibongo, Ruth Suka ‘Mainda’ anadaiwa kuangua kilio ‘laivu’ kanisani kisa kubanwa na waandishi wa Global Publishers juu ya madai ya kupora waume za watu na ishu ya kutaka kuolewa na mchungaji hivyo kuzua ‘kitimbwili’ kwenye nyumba hiyo ya Mungu. Mwigizaji mkubwa wa sinema za Kibongo, Ruth Suka...

 

10 years ago

GPL

SHAMSA AANGUA KILIO UWANJANI

Na Gladness Mallya
MSANII wa filamu Bongo, Shamsa Ford  hivi karibuni alijikuta akiangua kilio uwanjani baada ya timu yake anayoishabikia ya Yanga kufungwa mabao mawili bila. Msanii wa filamu Bongo, Shamsa Ford. Tukio hilo lilitokea Jumamosi iliyopita katika Uwanja wa Taifa ambapo kulikuwa na mechi ya Nani Mtani Jembe 2 iliyozichezesha timu za Simba na Yanga ambapo Shamsa alijikuta akilia kama mtoto baada ya timu yake...

 

9 years ago

GPL

PENNY AANGUA KILIO BSS

Mtangazaji matata wa Bongo Star Search (BSS 2015), Penniel Mungilwa ‘Penny’. Imelda Mtema MTANGAZAJI matata wa Bongo Star Search (BSS 2015), Penniel Mungilwa ‘Penny’ wiki iliyopita alijikuta akiangua kilio bila aibu baada ya majaji wa shindano hilo kutaja washiriki waliokuwa wakiaga. Akipiga stori Amani, Penny alifafanua sababu ya kushindwa kujizuia kuangua kilio ni kutokana na kwamba mara nyingi...

 

9 years ago

Bongo Movies

Ray Aangua Kilio Ukumbini!

BONGE la soo! Katika hali ya kushangaza, msanii wa filamu Vicent Kigosi ‘Ray’ hivi karibuni alijikuta akiangua kilio ukumbini baada ya mshindi wa shindano la kusaka vipaji vya kuigiza kufananishwa na marehemu Steven Kanumba.

Tukio hilo lilitokea mwishoni mwa wiki iliyopita katika Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa, Posta, jijini Dar kulipokuwa na fainali za Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) ambapo washiriki 10 ndiyo walikuwa wakiwania kitita cha shilingi milioni 50.

Mara baada ya mshindi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani