BIBI ALIYENASWA NA MADAWA YA KULEVYA AANGUA KILIO MAHAKAMANI
![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*p2ZPUXUElh3SporU1E1-0MeqCn-TyiwNSKhE-OfMA16pgzFw8zxlCjahBkCXZgAC1mYqySTer5w29qJo6Zvz8h/IMG_8468.jpg?width=650)
Bibi wa Kinigeria, Olabisi Ibidun Cole akipelekwa mahakamani. BIBI wa Kinigeria, Olabisi Ibidun Cole (65), leo ameangua kilio katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar ers Salaam wakati akipelekwa kizimbani kwa ajili ya kusomewa kesi yake ya kunaswa na madawa ya kulevya yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 37. Hakimu aliyepelekewa kesi hiyo, Frank Mushi, aliiahirisha kesi hiyo mpaka kesho ili bibi huyo ambaye...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pezQEPsid2gbW2uKNva7UdYsnIeYKwGMFH6pXR*zKZMlFsATJnkQGQ4QMXmEd1ww0uGkETWx152QLVxRuxZ5PqUn5CR4uYHX/bibi.jpg?width=650)
BIBI AANGUA KILIO MBELE YA MAGUFULI!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uxLbwSVx3LugTamuZqThMDXYUBDMejoYfRI-deXbSyq3LXZtpNHXMZkdWZwDQiZ2k0aWY4Pln2gVv1ZEh5yIxoz9otrds*YN/bibi.jpg)
BIBI WA MADAWA YA KULEVYA AISHANGAZA SERIKALI
10 years ago
CloudsFM20 Feb
Chid Benz akiri kukutwa na madawa ya kulevya mahakamani,asubiri hukumu
Chid Benz alikiri hivyo juzi Jumatano mbele ya Hakimu Mkazi, Waliarwande Lema baada ya kuomba asomewe tena mashtaka yake. Aliomba hivyo muda mfupi baada ya kesi yake kutajwa mahakamani hapo na Wakili wa Serikali, Diana Lukendo aliyesema upelelezi haujakamilika...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iRGkQSu08csrO-cNezDBmuzYeaUGSQ1fMJDimb1hQJhyCjIXO4J*g1-Vvd9PESeKa1ycIai4QcM31rxRKDV22*lIMZOLMi25/wema.jpg)
WEMA AANGUA KILIO!
9 years ago
Global Publishers28 Dec
Diamond aangua kilio ukumbini!
Mbongo Fleva Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akilia.
Musa mateja
SIYO sinema! Mbongo Fleva Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, amejikuta akiangua kilio kama mtoto mdogo na kuwashangaza watu kufuatia mashabiki wake kumtaka awaimbie ‘akapela’ ya wimbo wake mpya wa Utanipenda, twende na Ijumaa Wikienda.
Tukio hilo ambao bado limo midomoni mwa mashabiki wake, lilijiri usiku wa kuamkia Boxing Day (Desemba 26, 2015) ndani ya ‘Uwanja wa Taifa wa Burudani’ Dar Live jijini Dar ambapo nyota huyo alikuwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LWw0InctTwmwZdZoPR3Zeg7wuPGV4pCaxcoYDVh0KTlCWcUbDpB1*5Q7Br9D*lGCmCMjJU6Y2Rxve2cUd9dvvFPgyJ81qsXu/MAINDA.jpg?width=650)
MAINDA AANGUA KILIO KANISANI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1UL3ifpm7LsR20rl7c1olsWvcDTrY65QOPCI2T5XjMW71oN7J-W2IzfX1zmsUbwfayEeH-svrHD0iyD-ZQKbtmmiGEL-*A*c/Shamsa.jpg?width=650)
SHAMSA AANGUA KILIO UWANJANI
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U-QNuL7WAxmQMls22R4tr*nXUdo15BMlONmeH2vvuHMPtxIwl7xnvxr-OXvKY3mFilbHV8WkFgnMIbVWsazNgO51e85Aaod9/IMG20150914WA0002.jpg?width=650)
PENNY AANGUA KILIO BSS
9 years ago
Bongo Movies26 Aug
Ray Aangua Kilio Ukumbini!
BONGE la soo! Katika hali ya kushangaza, msanii wa filamu Vicent Kigosi ‘Ray’ hivi karibuni alijikuta akiangua kilio ukumbini baada ya mshindi wa shindano la kusaka vipaji vya kuigiza kufananishwa na marehemu Steven Kanumba.
Tukio hilo lilitokea mwishoni mwa wiki iliyopita katika Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa, Posta, jijini Dar kulipokuwa na fainali za Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) ambapo washiriki 10 ndiyo walikuwa wakiwania kitita cha shilingi milioni 50.
Mara baada ya mshindi...