MKE NA MUME WAKUTWA NA MADAWA YA KULEVYA
![](http://1.bp.blogspot.com/-DTKa23i9fTs/U-HommZQCVI/AAAAAAAF9gI/7OdcILgwV5I/s72-c/IMG_20140804_104051.jpg)
Pichani juu na chini ni Gari aina ya Toyota Corolla yenye namba za usajili T.589 AZS likiwa limebeba magunia ya madawa ya kulevya aina ya bhangi mara baada ya kukamatwa eneo la Sanawari jijini Arusha na askari wa kitengo cha kuzuia Madawa ya Kulevya mkoani humo. (Picha na woinde shizza,Arusha)
Na Woinde Shizza,Arusha.
Jeshi la Polisi Mkoani Arusha limewakamata watu watano wakiwa na magunia saba ya madawa ya kulevya aina ya bhangi wakiwemo mke na mume.
Awali askari wa Kitengo cha Kuzuia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima23 Jul
Mume, mke wakutwa na mabomu, risasi
JESHI la Polisi nchini limetangaza kuwa Jiji la Arusha si salama tena baada ya kukamata watu wanane wakihusihwa na matukio mbalimbali ya milipuko, wakiwemo mtu na mke wake waliokutwa nyumbani...
10 years ago
CloudsFM03 Mar
Wafanyakazi wa TANESCO, Mbeya mke na mume wakutwa wamekufa ndani ya nyumba yao.
Watu wawili wafanyakazi shirika la Umeme Tanesco Mkoa wa Mbeya Ndugu Uswege Mwankuge (58) na Jusio Uswege (48) ambao ni mtu na mke wake wamekutwa wamekufa ndani ya nyumba yao mtaa hayanga RRM jijini mbeya.
Tukio hilo la kusikitisha limetokea leo jijini hapa ambapo inadaiwa kuwa wawili hao wamekutwa wamekufa ndani ya nyumba yao usiku wa kuamkia Marchi 3 mwaka huu.
Akizungumiza tukio hilo Balozi wa mtaa huo Jofrey Katuli amesema yeye alipigiwa simu majira ya saa 4 asubuhi kuwa Ndugu Uswege...
10 years ago
Dewji Blog22 Jan
Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya yajadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia mambo ya Bunge, Sera na Uratibu Mhe. William Lukuvi akifungua kikao cha Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya kujadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014 kilichofanyika 22/01/2015 katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wadau toka Taasisi mbalimbali zisizo za Kiserikali wakichangia mada kupitia vifungu mbalimbali vya Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa...
11 years ago
GPLMADHARA YA MADAWA YA KULEVYA-2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-tRXgGHTUdMv*3iQpf8cw0pGkPm*LoK6WyWGplekB9DBRwgQThCXXRu1riPiQ9sKitsz3lbxyWDmz5Cx2lCb2*9Jco5qtc3b/FRONTAMANI.jpg?width=650)
MADAWA YA KULEVYA: DIAMOND KIMENUKA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uxLbwSVx3LugTamuZqThMDXYUBDMejoYfRI-deXbSyq3LXZtpNHXMZkdWZwDQiZ2k0aWY4Pln2gVv1ZEh5yIxoz9otrds*YN/bibi.jpg)
BIBI WA MADAWA YA KULEVYA AISHANGAZA SERIKALI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sNGui7dfNNZflZfCcwU6mbmxjwWYy15fSxFLdczB1tnXpvlqXIrkNx4QbKfcop00Fy7SZV52*kfgvw9zuoBW*WqcMyNxgKfN/dude.jpg?width=650)
DUDE AKIRI KUBEBESHWA MADAWA YA KULEVYA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DbrwTSp7ycPdxyRBWLz8suuLHbM1a0JP7BcKJvqx2nCd9UGqKRdCmTWrvhS1CJXKAFd83K-7viS4sQqvVcrr0*wsuFt3ThRP/madawa.gif)
MADAWA YA KULEVYA, CHONJI HALI TETE