Mume, mke wakutwa na mabomu, risasi
JESHI la Polisi nchini limetangaza kuwa Jiji la Arusha si salama tena baada ya kukamata watu wanane wakihusihwa na matukio mbalimbali ya milipuko, wakiwemo mtu na mke wake waliokutwa nyumbani...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-DTKa23i9fTs/U-HommZQCVI/AAAAAAAF9gI/7OdcILgwV5I/s72-c/IMG_20140804_104051.jpg)
MKE NA MUME WAKUTWA NA MADAWA YA KULEVYA
![](http://1.bp.blogspot.com/-DTKa23i9fTs/U-HommZQCVI/AAAAAAAF9gI/7OdcILgwV5I/s1600/IMG_20140804_104051.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-LfTgY5PqvGc/U-HonScSd-I/AAAAAAAF9gM/redNleJVfvc/s1600/IMG_20140804_104207.jpg)
Na Woinde Shizza,Arusha.
Jeshi la Polisi Mkoani Arusha limewakamata watu watano wakiwa na magunia saba ya madawa ya kulevya aina ya bhangi wakiwemo mke na mume.
Awali askari wa Kitengo cha Kuzuia...
10 years ago
CloudsFM03 Mar
Wafanyakazi wa TANESCO, Mbeya mke na mume wakutwa wamekufa ndani ya nyumba yao.
Watu wawili wafanyakazi shirika la Umeme Tanesco Mkoa wa Mbeya Ndugu Uswege Mwankuge (58) na Jusio Uswege (48) ambao ni mtu na mke wake wamekutwa wamekufa ndani ya nyumba yao mtaa hayanga RRM jijini mbeya.
Tukio hilo la kusikitisha limetokea leo jijini hapa ambapo inadaiwa kuwa wawili hao wamekutwa wamekufa ndani ya nyumba yao usiku wa kuamkia Marchi 3 mwaka huu.
Akizungumiza tukio hilo Balozi wa mtaa huo Jofrey Katuli amesema yeye alipigiwa simu majira ya saa 4 asubuhi kuwa Ndugu Uswege...
11 years ago
Mwananchi12 Apr
Risasi, mabomu yarindima Mbeya
11 years ago
GPLWANASWA NA MABOMU 7, RISASI 6, BARUTI JIJINI ARUSHA
10 years ago
Mtanzania07 Sep
Askari wawili wauawa, SMG 10, risasi na mabomu vyaporwa
![IGP Mangu](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/IGP-Mangu.jpg)
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Mangu
NA PETER MAKUNGA, BUKOMBE
HOFU ya usalama wa raia na mali zao imetanda baada ya askari polisi wawili kuuawa na bunduki 10 aina ya SMG kuporwa katika Kituo Kikuu cha Polisi wilayani hapa.
Uporaji huo umefanywa na watu ambao hawajafahamika baada ya kuvamia kituo hicho saa 9:45 alfajiri na kuwashambulia askari polisi waliokuwa zamu ambapo wawili waliuawa na wengine watatu walijeruhiwa.
Mbali na kupora SMG 10, pia inadaiwa wamefanikiwa kupora risasi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mL7vEimd6q3o-n5KIczPxT0vJDVJlJCevk7ZoBvTrdjn7ihRvQtLNjUc9maLADoIsIDHjK-K-3N8fOsJkaHZWOQpfLdJ9P3e/mume.jpg?width=650)
MUME, MKE WATEKWA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OcxvxG4wHxboPowRZbOEqNH9RR9cetPr5CXQ9nwhYsAFfyFJUByKmPB*mk5Gc7JzP3l7cL2I7cM5eRyvGL*5RwwhdPYSTS7l/mke.jpg?width=650)
MKE WA KIGOGO APIGWA RISASI KWAPANI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YkTQKvQouuqv9D4AmId4C-gWj7t6xPLzetpoPOJBmE7KPy9knNLn5nQ07E04hm8XG9kTz79Xi4nxZavCXu4xohd9QX*PEDSO/MUMEcopy.jpg?width=650)
MUME ADAI KUKIMBIWA NA MKE!
10 years ago
Mwananchi05 Jun
MUME KWA MKE TAJIRI