Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mume, mke wakutwa na mabomu, risasi

JESHI la Polisi nchini limetangaza kuwa Jiji la Arusha si salama tena baada ya kukamata watu wanane wakihusihwa na matukio mbalimbali ya  milipuko, wakiwemo mtu na mke wake waliokutwa nyumbani...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MKE NA MUME WAKUTWA NA MADAWA YA KULEVYA

 Pichani juu na chini ni Gari aina ya Toyota Corolla yenye namba za usajili T.589 AZS likiwa limebeba magunia ya madawa ya kulevya aina ya bhangi mara baada ya kukamatwa eneo la Sanawari jijini Arusha na askari wa kitengo cha kuzuia Madawa ya Kulevya mkoani humo. (Picha na woinde shizza,Arusha) 
Na Woinde Shizza,Arusha.
Jeshi la Polisi Mkoani Arusha limewakamata  watu watano wakiwa na magunia saba ya madawa ya kulevya aina ya bhangi wakiwemo mke na mume.
 Awali askari wa Kitengo cha Kuzuia...

 

10 years ago

CloudsFM

Wafanyakazi wa TANESCO, Mbeya mke na mume wakutwa wamekufa ndani ya nyumba yao.

Watu wawili wafanyakazi shirika la Umeme Tanesco Mkoa wa Mbeya Ndugu Uswege Mwankuge (58) na Jusio Uswege (48) ambao ni mtu na mke wake wamekutwa wamekufa ndani ya nyumba yao mtaa hayanga RRM jijini mbeya.Tukio hilo la kusikitisha limetokea leo jijini hapa ambapo inadaiwa kuwa wawili hao wamekutwa wamekufa ndani ya nyumba yao usiku wa kuamkia Marchi 3 mwaka huu.Akizungumiza tukio hilo Balozi wa mtaa huo Jofrey Katuli amesema yeye alipigiwa simu majira ya saa 4 asubuhi kuwa Ndugu Uswege...

 

11 years ago

Mwananchi

Risasi, mabomu yarindima Mbeya

Maji ya kuwasha, mabomu na risasi za moto jana zilirindima jijini hapa kwa takriban saa mbili mfululizo, kutokana na waendesha bodaboda kuwazuia polisi waliokuwa wakimwokoa mtu anayedaiwa kushiriki njama za kumuua mwendesha pikipiki mwenzao, Zizza Mwambenja juzi.

 

11 years ago

GPL

WANASWA NA MABOMU 7, RISASI 6, BARUTI JIJINI ARUSHA

Na Joseph Ngilisho, Arusha
JESHI la polisi hapa nchini limefanikiwa kuwatia mbaroni vinara wa milipuko ya mabomu hapa nchini, Yusufu Ally (30) na mkewe Sumaina Juma (19), wakazi wa Sombetini, wakiwa na mabomu ya kurusha kwa mkono aina ya Gurnet saba, risasi sita za shotgun, baruti, mapanga mawili na bisibisi moja. Mabomu na risasi walizokutwa nazo Yusufu Ally na mkewe Sumaina Juma. Akizungumza na waandishi wa habari mjini...

 

10 years ago

Mtanzania

Askari wawili wauawa, SMG 10, risasi na mabomu vyaporwa

IGP Mangu

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Mangu

NA PETER MAKUNGA, BUKOMBE

HOFU ya usalama wa raia na mali zao imetanda baada ya askari polisi wawili kuuawa na bunduki 10 aina ya SMG kuporwa katika Kituo Kikuu cha Polisi wilayani hapa.

Uporaji huo umefanywa na watu ambao hawajafahamika baada ya kuvamia kituo hicho saa 9:45 alfajiri na kuwashambulia askari polisi waliokuwa zamu ambapo wawili waliuawa na wengine watatu walijeruhiwa.

Mbali na kupora SMG 10, pia inadaiwa wamefanikiwa kupora risasi...

 

11 years ago

GPL

MUME, MKE WATEKWA!

KIJANA aliyetambulika kwa jina la Dickson Mathias (35), na msichana aliyejulikana kwa jina la Mariam Kimaya wanadaiwa kutekwa kwa nyakati tofauti baada ya kufunga ndoa ya siri katika Kanisa la KKT, Tegeta jijini Dar, Mei Mosi, 2012, Risasi Mchanganyiko linakupa zaidi. Mariam Kimaya anayedaiwa kutekwa. Akizungumza na gazeti hili kwa majonzi makubwa, dada wa Dickson, Aneth Mbaga alisema tukio hilo lilitokea baada ya Dickson...

 

10 years ago

GPL

MKE WA KIGOGO APIGWA RISASI KWAPANI

Joseph Ngilisho, Arusha
MKE wa Mkurugenzi wa Shirika la Kutetea Haki za Wafugaji la Pingos Forum, Edward Porokwa, Flora Porokwa (37), mkazi wa Sakina Kwaidi amepigwa risasi na watu wanaohisiwa kuwa ni majambazi. Mke wa Mkurugenzi wa Shirika la Kutetea Haki za Wafugaji la Pingos Forum, Edward Porokwa, Flora Porokwa aliyepigwa risasi. Tukio hilo lilitokea juzikati ambapo risasi hiyo alipigwa kwapani na kwenda kutokea mgongoni...

 

10 years ago

GPL

MUME ADAI KUKIMBIWA NA MKE!

Stori: Mayasa Mariwata
Kweli? Jamaa aliyejitambulisha kwa jina la Ally Musa, mkazi wa Moshi mkoani Kilimanjaro anadai kukimbiwa na mkewe aliyemtaja kwa jina moja la Sauda. Bw. Ally Musa anyedai kukimbiwa na mkewe(Sauda). Akizungumza na gazeti hili, mume wa Sauda alisema kwamba, mkewe huyo ambaye alifunga naye pingu za maisha mwaka 2009, siku zote za maisha yao ya ndoa walikuwa wakiishi kwa amani na furaha tele… ...

 

10 years ago

Mwananchi

MUME KWA MKE TAJIRI

UME KWA MKE TAJIRI Mke akiwa tajiri, mwanamume maskini Hana uwezo fakiri, mke hatamthamini Natunga hili shairi, nisemayo naamini Mume kwa mke tajiri

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani