Wafanyakazi wa TANESCO, Mbeya mke na mume wakutwa wamekufa ndani ya nyumba yao.
Watu wawili wafanyakazi shirika la Umeme Tanesco Mkoa wa Mbeya Ndugu Uswege Mwankuge (58) na Jusio Uswege (48) ambao ni mtu na mke wake wamekutwa wamekufa ndani ya nyumba yao mtaa hayanga RRM jijini mbeya.
Tukio hilo la kusikitisha limetokea leo jijini hapa ambapo inadaiwa kuwa wawili hao wamekutwa wamekufa ndani ya nyumba yao usiku wa kuamkia Marchi 3 mwaka huu.
Akizungumiza tukio hilo Balozi wa mtaa huo Jofrey Katuli amesema yeye alipigiwa simu majira ya saa 4 asubuhi kuwa Ndugu Uswege...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-DTKa23i9fTs/U-HommZQCVI/AAAAAAAF9gI/7OdcILgwV5I/s72-c/IMG_20140804_104051.jpg)
MKE NA MUME WAKUTWA NA MADAWA YA KULEVYA
![](http://1.bp.blogspot.com/-DTKa23i9fTs/U-HommZQCVI/AAAAAAAF9gI/7OdcILgwV5I/s1600/IMG_20140804_104051.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-LfTgY5PqvGc/U-HonScSd-I/AAAAAAAF9gM/redNleJVfvc/s1600/IMG_20140804_104207.jpg)
Na Woinde Shizza,Arusha.
Jeshi la Polisi Mkoani Arusha limewakamata watu watano wakiwa na magunia saba ya madawa ya kulevya aina ya bhangi wakiwemo mke na mume.
Awali askari wa Kitengo cha Kuzuia...
11 years ago
Tanzania Daima23 Jul
Mume, mke wakutwa na mabomu, risasi
JESHI la Polisi nchini limetangaza kuwa Jiji la Arusha si salama tena baada ya kukamata watu wanane wakihusihwa na matukio mbalimbali ya milipuko, wakiwemo mtu na mke wake waliokutwa nyumbani...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF779BPAXfaXkQTkr088tMmq8-11Y*5liW-5luW8mMMIsnE112PgiFQsDWN*EihwrbfQkJkIylqcWE96lakxiEgtw5shcpdL/WATU.jpg)
WATOTO 8 WAKUTWA WAMEUAWA NDANI YA NYUMBA AUSTRALIA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NfZBQ8g66NTw0UzhMCy7go13lpYTfGtB*aq1T234j75qe1-Dp168qzn8537HpfeczlIk55e96CSA1ZOhaUbLnK21oEUoM0ho/wolper.jpg)
WAZUNGU WAKUTWA WAMEKUFA CHUMBANI JIJINI DAR
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fXUwj8AcBIlkFoOtGIWi2WTrC-EbDaDZYf*VnfC038oJEfTUjJ4xVMbqPr7bAhphV222lSS034ADfWSENkyYLtK79hQri4oY/wananitesa.jpg)
MAMA: WACHAWI WANANITESA, WATOTO WANGU 8, MUME WANGU WAMEKUFA KWA UGONJWA WA AJABU
5 years ago
Michuzi![](https://4.bp.blogspot.com/-zPiMKXqJx70/VmE9Dg9GRbI/AAAAAAAIKGU/CdHlKZVvn_E/s72-c/Al-xiNB3OME5EsJ8T06703pvKR2QT1q4QD_uJ_Mdi_Xw.jpg)
WANYAMA 380 WAMEKUFA KWA KUGONGWA NA MAGARI NDANI YA MWAKA MMOJA 2019
![](https://4.bp.blogspot.com/-zPiMKXqJx70/VmE9Dg9GRbI/AAAAAAAIKGU/CdHlKZVvn_E/s1600/Al-xiNB3OME5EsJ8T06703pvKR2QT1q4QD_uJ_Mdi_Xw.jpg)
WANYAMA 380 wamekufa kwa kugongwa na magari ndani ya mwaka mmoja 2019 katika eneo la mapito ya wanyama kuanzia Magugu wilayani Babati hadi Makuyuni wilayani Monduli ambayo husaidia wanyama kwenda hifadhi ya tarangire na hifadhi ya Manyara.
Mtafiti wa wanyamapori katika mradi wa Simba Tarangire, Dk Bernard Kissui alitoa taarifa hizo juz katika kikao cha kujadili kuokoa eneo la mapito ya wanyama kwa kuchinja hadi Mdori ambalo linaendelea kuvamiwa .
Dk Kissui alisema kati ya januari hadi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mL7vEimd6q3o-n5KIczPxT0vJDVJlJCevk7ZoBvTrdjn7ihRvQtLNjUc9maLADoIsIDHjK-K-3N8fOsJkaHZWOQpfLdJ9P3e/mume.jpg?width=650)
MUME, MKE WATEKWA!
10 years ago
Mwananchi05 Jun
MUME KWA MKE TAJIRI
10 years ago
BBCSwahili17 Dec
Mke amkimbia mume kingono