WAZUNGU WAKUTWA WAMEKUFA CHUMBANI JIJINI DAR
Stori: Richard Bukos na Issa Mnally WAZUNGU wawili ambao ni mume na mke wanaodaiwa kuwa ni raia wa Afrika Kusini, wamekutwa wamekufa chumbani kwao katika nyumba waliyokuwa wakiishi maeneo ya Slipway, Masaki jijini Dar es Salaam Jumatano hii. Moja kati ya majeneza yaliyohifadhiwa miili ya marehemu yakitolewa ndani ya chumba hicho. Chanzo cha kuaminika kimeeleza kuwa wawili hao ambao walikuwa wakifanya kazi katika baa iitwayo...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLWANANDOA WAKUTWA WAMEFARIKI CHUMBANI INDIA
10 years ago
CloudsFM03 Mar
Wafanyakazi wa TANESCO, Mbeya mke na mume wakutwa wamekufa ndani ya nyumba yao.
Watu wawili wafanyakazi shirika la Umeme Tanesco Mkoa wa Mbeya Ndugu Uswege Mwankuge (58) na Jusio Uswege (48) ambao ni mtu na mke wake wamekutwa wamekufa ndani ya nyumba yao mtaa hayanga RRM jijini mbeya.Tukio hilo la kusikitisha limetokea leo jijini hapa ambapo inadaiwa kuwa wawili hao wamekutwa wamekufa ndani ya nyumba yao usiku wa kuamkia Marchi 3 mwaka huu.Akizungumiza tukio hilo Balozi wa mtaa huo Jofrey Katuli amesema yeye alipigiwa simu majira ya saa 4 asubuhi kuwa Ndugu Uswege...
10 years ago
MichuziMwili wa kijana Denis Casmiry wakutwa ufukweni jijini dar
Akizungumza na Ripota wetu huku akionekana kuwa na masikitiko makubwa,Baba Mzazi wa Mtoto huyo aliejitambulisha kwa jina la Casmiry,amesema kuwa walipata taarifa ya mtoto wao kupotea toka Jumamosi Desemba 20,2014 ambapo inadaiwa kuwa aliondoka nyumbani kwao akiwa na marafiki zake kwenda kwenye Mazoezi ya viungo...
10 years ago
Dewji Blog27 Apr
Wagiriki watatu mbaroni Dar kwa uhalifu wa mtandao ‘Cyber Crime’ wakutwa na ATM Card zaidi ya 10
Pichani ni picha ya Mtanndao ni namna ya wahalifu wa kimtadao wanavyoingilia mfumo wa computer yako na kuchukua vitu muhimu.
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia watuhumiwa watatu raia wa kigeni kwa makosa yanayohusiana na wizi wa mtandao kwa lengo la kuiba katika vyombo vya fedha kama mabenki, maduka ya kubadilishia fedha (Bureau de Change) au kuingilia miamala ya fedha zinazosafirishwa na wateja kutoka nje na ndani ya nchi.
Polisi wa kikosi Maalum cha...
10 years ago
BBCSwahili05 Sep
Zaidi ya 1,900 wamekufa na Ebola
10 years ago
BBCSwahili15 Sep
Wahamiaji wamekufa maji wakitokea LIbya
11 years ago
Tanzania Daima22 Jan
Kiteto wamekufa zaidi ya 15, bado wangapi?
RAIS wangu, ni wapi katika nchi yetu ambako hakuna mapigano? Mapigano kati ya wakulima na wafugaji yametapakaa nchi nzima. Mapigano kati ya wananchi na wawekezaji yameenea kote. Na katika mapigano...
9 years ago
MichuziNYATI WANANE WAMEKUFA KWA KUGONGWA NA FUSO
11 years ago
Tanzania Daima21 Feb
MIALE SANAA GROUP: Wakali wanaokuja sokoni na ‘990 Wamekufa’
KUTOKANA na maisha kuwa na changamoto nyingi kwa sasa, vijana wengi wameanza kutafuta njia mbadala katika kuingiza kipato cha kukabiliana na ugumu wa changamoto hizo za maisha. Moja ya fani...