Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WANANDOA WAKUTWA WAMEFARIKI CHUMBANI INDIA

Wanandoa James Gaskell (kushoto) na Alexandra (kulia) wamekutwa wamefariki ndani ya chumba karibu na jengo la Taj Mahal, nchini India.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WAZUNGU WAKUTWA WAMEKUFA CHUMBANI JIJINI DAR

Stori: Richard Bukos na Issa Mnally
WAZUNGU wawili ambao ni mume na mke wanaodaiwa kuwa ni raia wa Afrika Kusini, wamekutwa wamekufa chumbani kwao katika nyumba waliyokuwa wakiishi maeneo ya Slipway, Masaki jijini Dar es Salaam Jumatano hii. Moja kati ya majeneza yaliyohifadhiwa miili ya marehemu yakitolewa ndani ya chumba hicho. Chanzo cha kuaminika kimeeleza kuwa wawili hao ambao walikuwa wakifanya kazi katika baa iitwayo...

 

10 years ago

BBCSwahili

WHO:Watu 7000 wamefariki na ebola

WHO ilinasema kuwa karibu watu 7000 wameaga duian kutokana na ugonjwa wa Ebola wengi wakiwa eneo la Afrika magharibi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tunagombea fito wajenzi wa Muungano wamefariki

LAITI Watanzania wangejua kuwa Muungano haukupaswa kuwa na kero nyingi zinazoshindwa kupatiwa ufumbuzi wa haraka ndani ya miaka takriban 50 sasa, wangeacha tabia ya kupigana vijembe au kugombea fito huku...

 

9 years ago

BBCSwahili

260 wamefariki baada ya tetemeko la ardhi Asia

Zaidi ya watu 260 wamefariki, kutokana na tetemeko hilo baya zaidi la ardhi, katika kipindi cha muongo mmoja.

 

9 years ago

Michuzi

WATU 196 WAMEFARIKI DUNIA KWA UGONJWA WA KIPINDUPINDU

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,Wazee na Watoto Mhe.Ummy Mwalimu akizungumza na Waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo kuhusiana na ugonjwa wa Kipindupindu ulivyoweza kupungua ikiwa kukiwa na vifo vya watu 196 kwa Tanzania Bara.Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,Wazee na Watoto Mhe.Ummy Mwalimu akizungumza na Waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo.Picha na Avila Kakingo wa Globu ya Jamii.

Na Zainabu Hamis wa Globu ya Jamii.JUMLA ya...

 

10 years ago

Vijimambo

WATU 19 WAMEFARIKI KATIKA AJALI YA HIACE KIWIRA MBEYA

 Kwa habari zilizotufikia hivi punde kutoka Mkoani Mbeya zinasema kuwa Watu 19 wamefariki dunia baada ya Hiace waliokuwa wakisafiria kuacha njia na kupinduka maeneo ya Kiwira wilayani Rungwe Mkoani Mbeya.Endelea kufuatilia kwa taarifa zaidi.


 

9 years ago

GPL

11 years ago

Habarileo

Ajinyonga chumbani kwake

MKAZI mmoja wa Ukonga aliyetambulika kwa jina la Justine Tumbeza (43) amekutwa chumbani kwake amejinyonga.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani