Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tunagombea fito wajenzi wa Muungano wamefariki

LAITI Watanzania wangejua kuwa Muungano haukupaswa kuwa na kero nyingi zinazoshindwa kupatiwa ufumbuzi wa haraka ndani ya miaka takriban 50 sasa, wangeacha tabia ya kupigana vijembe au kugombea fito huku...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo Movies

Niacheni na Fito Zangu-Shilole

Staa mrembo wa Bongo Movies na bongo Fleva Shilole ambae kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake mpya wa 'Nyang'anyang'a' amefunguka na kuwataka watu ambao wanamkejeli kuwa ana miguu mibaya wamuache na miguu yake hiyo.

Shilole jana alipost picha kwenye Instagram ambayo ilikuwa ikionyesha sehemu kubwa ya miguu yake na baadhi ya watu walianza kusema kuwa afunike miguu yake hiyo kwani ni mibaya wengine walionyesha kupenda picha ile huku wengine wakimpa sifa kuwa ni mrembo, lakini hizo comment...

 

11 years ago

Habarileo

Polisi wapambana na wajenzi wa barabara

POLISI wamefyatua risasi za moto, kuwatawanya wafanyakazi wa kampuni ya Aaarsleef/Bam International, inayojenga barabara Laela-Sumbawanga kwa kiwango cha lami.

 

11 years ago

Habarileo

Wajenzi wazalendo washauriwa kuwekeza Kigamboni

KAMPUNI binafsi za kitanzania zimetakiwa kuwekeza katika ujenzi wa Mji Mpya wa Kigamboni. Mwito huo ulitolewa bungeni leo na Naibu Waziri wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, George Simbachawene wakati akijibu swali la Mbunge wa Temeke, Abbas Mtemvu (CCM).

 

11 years ago

Michuzi

NAIBU IGP ABDURAHMAN KANIKI AWAFUNDA WAJENZI

NAIBU Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, Abdurahman Kaniki, ameipa changamoto bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi (AQRB), kuhakikisha majengo yanayojengwa nchini yanakuwa bora na salama kwa makazi ya watu na kuepusha majanga ya majengo kuporomoka kama ilivyowahi kutokea.  Naibu IGP Alitoa changamoto hiyo jana jijini Mbeya wakati akifungua mkutano wa mashauriano baina ya maofisa wa Jeshi la Polisi, Ofisi ya Mwendesha Mashitaka Mkuu (DPP) na maofisa wa AQRB, kuhusu masuala...

 

10 years ago

Habarileo

Wajenzi wa bomba la gesi watoa boti ya wagonjwa

KAMPUNI ya Maendeleo ya mafuta ya China (CNPC) inayosimamia ujenzi wa bomba la gesi kutoka Mtwara - Dar es Salaam imetoa msaada wa boti ya kubeba wagonjwa kwa wananchi wa kisiwa cha Songosongo kilichopo Kilwa mkoani Lindi.

 

10 years ago

BBCSwahili

WHO:Watu 7000 wamefariki na ebola

WHO ilinasema kuwa karibu watu 7000 wameaga duian kutokana na ugonjwa wa Ebola wengi wakiwa eneo la Afrika magharibi.

 

10 years ago

GPL

WANANDOA WAKUTWA WAMEFARIKI CHUMBANI INDIA

Wanandoa James Gaskell (kushoto) na Alexandra (kulia) wamekutwa wamefariki ndani ya chumba karibu na jengo la Taj Mahal, nchini India.…

 

9 years ago

BBCSwahili

260 wamefariki baada ya tetemeko la ardhi Asia

Zaidi ya watu 260 wamefariki, kutokana na tetemeko hilo baya zaidi la ardhi, katika kipindi cha muongo mmoja.

 

9 years ago

Michuzi

WATU 196 WAMEFARIKI DUNIA KWA UGONJWA WA KIPINDUPINDU

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,Wazee na Watoto Mhe.Ummy Mwalimu akizungumza na Waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo kuhusiana na ugonjwa wa Kipindupindu ulivyoweza kupungua ikiwa kukiwa na vifo vya watu 196 kwa Tanzania Bara.Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,Wazee na Watoto Mhe.Ummy Mwalimu akizungumza na Waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo.Picha na Avila Kakingo wa Globu ya Jamii.

Na Zainabu Hamis wa Globu ya Jamii.JUMLA ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani