Niacheni na Fito Zangu-Shilole
Staa mrembo wa Bongo Movies na bongo Fleva Shilole ambae kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake mpya wa 'Nyang'anyang'a' amefunguka na kuwataka watu ambao wanamkejeli kuwa ana miguu mibaya wamuache na miguu yake hiyo.
Shilole jana alipost picha kwenye Instagram ambayo ilikuwa ikionyesha sehemu kubwa ya miguu yake na baadhi ya watu walianza kusema kuwa afunike miguu yake hiyo kwani ni mibaya wengine walionyesha kupenda picha ile huku wengine wakimpa sifa kuwa ni mrembo, lakini hizo comment...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima06 Apr
Tunagombea fito wajenzi wa Muungano wamefariki
LAITI Watanzania wangejua kuwa Muungano haukupaswa kuwa na kero nyingi zinazoshindwa kupatiwa ufumbuzi wa haraka ndani ya miaka takriban 50 sasa, wangeacha tabia ya kupigana vijembe au kugombea fito huku...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DmWKX8GKoMnXdX-uxwKIq8HlWIM0WGzYoU47DimG1jHUM4WrolfKBqF1M6WW0jkbdQuHcSs6aa6fW3i*03pCW26XyS--2Wcw/hemedi1.jpg?width=650)
HEMED: NIACHENI, NAOA SASA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/czF6wJsbSj2wK6GQhXdp6EtMTbTGszyrQqcFDSTTu31KYZ5INKR9fn*p4H7Baj0-VazKoGPk5G08BnN4OruPwk*Q0xFM5Mug/RIYAMA.jpg?width=650)
AUNT: NIACHENI NIVAE NITAKAVYO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Whapl-f-NAZCpa6IVGQcmsVYmHYfEUAv2GaUUGOTcT-9x2IY4-F9Tdf*16pz3Fasmvu05VkwDueDVia6tO4PiEKpvjy7VpWy/nisha.jpg)
NISHA: NIACHENI NA MAMA YANGU
10 years ago
Mwananchi06 Sep
Maximo: Niacheni nitengeneze timu
10 years ago
GPLKAJALA: NIACHENI NA MAISHA YANGU
11 years ago
GPLLUCY KOMBA: NIACHENI NIDENDEKE NA MZUNGU
10 years ago
Mwananchi18 Apr
Wema: Niacheni nipumzike na mimi ni binadamu
10 years ago
Bongo Movies04 Jul
Mwanaume aliyezaa na Shilole Atoboa Haya Kuhusu Yeye na Shilole
Yule mwanaume aliyezaa na Staa wa Bongo Movies na Fleva,Shilole,aitwaye Elias Makala ameibuka na kuzungumza na U heard na Soudy Brown kuwa hakuwahi kumbaka msaniii huyo kama ambayo anazungumza kwenye vyombo vya habari.
‘’Mimi namshangaa sana Shilole anavyosema kuwa nilimbaka,sijawahi kumbaka nilikuwa naishi naye kama mume na mke kwa zaidi ya miaka saba, na nilimuuliza kwanini anasema uongo kuwa nilimbaka alinijibu kuwa habari hiyo inamsaidia kumpaisha (kick) kwenye muziki wake,’’alisema...