Maximo: Niacheni nitengeneze timu
Kocha wa Yanga, Marcio Maximo amerejea kauli yake ya kuwataka mashabiki wa timu hiyo wawe na subira akisema kazi anayoifanya kwa sasa ni kusuka kikosi imara kitakachodumu kwa muda mrefu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLKAJALA: NIACHENI NA MAISHA YANGU
9 years ago
Bongo Movies20 Nov
Niacheni na Fito Zangu-Shilole
Staa mrembo wa Bongo Movies na bongo Fleva Shilole ambae kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake mpya wa 'Nyang'anyang'a' amefunguka na kuwataka watu ambao wanamkejeli kuwa ana miguu mibaya wamuache na miguu yake hiyo.
Shilole jana alipost picha kwenye Instagram ambayo ilikuwa ikionyesha sehemu kubwa ya miguu yake na baadhi ya watu walianza kusema kuwa afunike miguu yake hiyo kwani ni mibaya wengine walionyesha kupenda picha ile huku wengine wakimpa sifa kuwa ni mrembo, lakini hizo comment...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Whapl-f-NAZCpa6IVGQcmsVYmHYfEUAv2GaUUGOTcT-9x2IY4-F9Tdf*16pz3Fasmvu05VkwDueDVia6tO4PiEKpvjy7VpWy/nisha.jpg)
NISHA: NIACHENI NA MAMA YANGU
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/czF6wJsbSj2wK6GQhXdp6EtMTbTGszyrQqcFDSTTu31KYZ5INKR9fn*p4H7Baj0-VazKoGPk5G08BnN4OruPwk*Q0xFM5Mug/RIYAMA.jpg?width=650)
AUNT: NIACHENI NIVAE NITAKAVYO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DmWKX8GKoMnXdX-uxwKIq8HlWIM0WGzYoU47DimG1jHUM4WrolfKBqF1M6WW0jkbdQuHcSs6aa6fW3i*03pCW26XyS--2Wcw/hemedi1.jpg?width=650)
HEMED: NIACHENI, NAOA SASA
10 years ago
Mwananchi18 Apr
Wema: Niacheni nipumzike na mimi ni binadamu
11 years ago
GPLLUCY KOMBA: NIACHENI NIDENDEKE NA MZUNGU
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-oveMaOHiLPQ/Ve7gGRMqPYI/AAAAAAAAJLA/JdK7phaZH0U/s72-c/jknalowassa.jpg)
LOWASSA ; SINA MUDA NA NYINYI,NIACHENI NIFANYE KAMPENI.
![](http://3.bp.blogspot.com/-oveMaOHiLPQ/Ve7gGRMqPYI/AAAAAAAAJLA/JdK7phaZH0U/s640/jknalowassa.jpg)
MGOMBEA urais wa Tanzania anayewakilisha Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), Edward Lowassa amesema hana muda wa kujibu matusi na kejeli zinazotolewa na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) dhidi yake.
Badala yake amesema anatumia muda uliobaki wa kampeni kutafuta kura kwa wananchi kwa kunadi ilani ya chama chake.Akizungumza kwenye mikutano ya hadhara, Bunju na baadaye Mbezi mkoani Dar es Salaam, Lowassa alisema kila alichoahidi ataanza kukifanyia kazi punde tu baada ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9-vjTr6yeAs/XuoA-mv6zYI/AAAAAAALuOU/-ZcSZ-TUboIbgKlts3xi68kTAQUTAjfnACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B1.53.05%2BPM.jpeg)
DK.HUSSEIN MWINYI:NIMECHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS, NIACHENI NIKAPITIE YALIYOMO NDIO NIZUNGUMZE
WAZIRI wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dk.Hussein Mwinyi amechukua fomu ya kugombea urais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibara kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Dk.Mwinyi ambaye ni mtoto wa pili wa Rais mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Pili Mzee Ali Hassan Mwinyi amechukua fomu hiyo leo Juni 17,mwaka 2020 katika ofisi za CCM Zanzibar huku akiomba radhi kwa waandishi wa habari baada ya kueleza kuwa hajajiandaa kuzungumza na vyombo vya habari kwasababu...