NISHA: NIACHENI NA MAMA YANGU

Stori: Emelder Tarimo Vunja ukimya! Staa wa sinema za Kibongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amevunja ukimya kwa kusema kuwa kwa sasa hana shosti zaidi ya mama yake mzazi. Staa wa sinema za Kibongo, Salma Jabu ‘Nisha’. Akifurukuta mbele ya Ijumaa Wikienda, wikiendi iliyopita jijini Dar, Nisha alifunguka kwamba mama yake ndiye kila kitu kwani muda mwingi humshauri mambo mazuri na ya kimaendeleo zaidi tofauti na...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLKAJALA: NIACHENI NA MAISHA YANGU
10 years ago
Bongo Movies27 Mar
Nisha:Nina Kazi Kubwa Kulinda Heshima Yangu
Staa wa Bongo Movies , Salma Jabu ‘Nisha’ amedai kuwa ana kazi kubwa katika kulinda nafasi yake ya uigizaji bora wa Komedi na ustadi katika kutengeneza kazi zake na ziendelee kuwa bora ili asipotee na kuonekana kama alibahatisha.
Wahenga husema kuwa ni rahisi kupata nafasi ya kwanza, lakini si rahisi kuilinda hivyo name lazima niilinde nafasi yangu niliyoipata mwaka jana baada ya kuipigania kwa muda mrefu katika tasnia ya filamu na nitailinda kwa kufanya kazi bora tu,”anasema Nisha.
Msanii...
9 years ago
Bongo Movies27 Nov
Nina Kazi Kubwa Kulinda Heshima Yangu- Nisha
MWIGIZAJI mahiri katika tasnia ya filamu na Komedi Salma Jabu ‘Nisha’ amedai kuwa ana kazi kubwa katika kulinda nafasi yake ya uigizaji bora wa Komedi na ustadi katika kutengeneza kazi zake na ziendelee kuwa bora ili asipotee na kuonekana kama alibahatisha.
“Wahenga husema kuwa ni rahisi kupata nafasi ya kwanza, lakini si rahisi kuilinda hivyo name lazima niilinde nafasi yangu niliyoipata mwaka jana baada ya kuipigania kwa muda mrefu katika tasnia ya filamu na nitailinda kwa kufanya kazi...
10 years ago
Bongo Movies26 Jun
Nisha: Huyu ‘Malaika’ Aliniambia “Mama Nibebe”
Huyu malaika alinambia mama inama nikwambie,nikainama kumsikiliza
Akanambia "mama nibebe"
Nilimnyanyua na kumuweka mapajani mwangu,akanilalia mabegani mwangu
Wengine walikuwa wanaendelea kuftari ila nakumbuka mm nilishindwa kuftari nikimfikiria huyu mtoto wa miaka 4-5 kwanini kaninong'oneza mama nibebe??? Nimejifunza upendo,watoto hawa wanahitaji mapenzi yetu sisi tulioko nje.
Wakiwa nasi wanafarijika sana,hata usipowapa chochote just mapenzi na kuwajali wanafarijika,maskini kammiss mommy yake...
10 years ago
GPL
MAMA YANGU NI MCHAWI: ADEBAYOR
11 years ago
Tanzania Daima01 Apr
Lembeli: CCM si mama yangu
JUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, James Lembeli (CCM), amesema kuwa yuko tayari kufanyiwa lolote na chama chake lakini kamwe hatatengua msimamo wake wa kudai Serikali ya Tanganyika. Kauli hiyo...
10 years ago
Bongo Movies27 Apr
Wema: Mama Yangu Amepoteza Uwezo wa Kuona Kwa 75%!
Staa wa Bongo movies, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ amefunguka kuwa mama yake mzazi, Miriam Sepetu anasumbuliwa na macho ambapo madaktari wamegundua kwamba amepoteza uwezo wa kuona kwa asilimia sabini na tano (75%).
Kwa mujibu wa Wema, aliamua kumpeleka mzazi wake huyo hospitalini (hakuitaja) ndipo alipohakikishiwa tatizo hilo ambalo limekuwa likimsumbua kwa muda mrefu.
“Kumnusuru mama yangu asipate upofu wa moja kwa moja inabidi afanyiwe operesheni ya macho,” alisema Wema kwa huzuni kwa kuwa...
10 years ago
Mwananchi14 Apr
Saidi Idd: Nimechomwa mkuki na mama yangu mzazi
5 years ago
CCM Blog
RAIS MAGUFULI: MUOMBEENI MAMA YANGU HAWEZI HATA KUJIGEUZA

Kauli hiyo ameitoa leo Juni 16, 2020, wakati wa hotuba yake ya kuvunja rasmi Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, jijini Dodoma.
"Ninawaomba muendelee kumuombea mama yangu ambaye amekaa na Kiharusi hawezi akazungumza, hawezi akajigeuza, hawezi akala, anakula kwa kutumia mpira...