Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nisha: Huyu ‘Malaika’ Aliniambia “Mama Nibebe”

Huyu malaika alinambia mama inama nikwambie,nikainama kumsikiliza

Akanambia "mama nibebe"
Nilimnyanyua na kumuweka mapajani mwangu,akanilalia mabegani mwangu

Wengine walikuwa wanaendelea kuftari ila nakumbuka mm nilishindwa kuftari nikimfikiria huyu mtoto wa miaka 4-5 kwanini kaninong'oneza mama nibebe??? Nimejifunza upendo,watoto hawa wanahitaji mapenzi yetu sisi tulioko nje.
Wakiwa nasi wanafarijika sana,hata usipowapa chochote just mapenzi na kuwajali wanafarijika,maskini kammiss mommy yake...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

NISHA: NIACHENI NA MAMA YANGU

Stori: Emelder Tarimo Vunja ukimya! Staa wa sinema za Kibongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amevunja ukimya kwa kusema kuwa kwa sasa hana shosti zaidi ya mama yake mzazi. Staa wa sinema za Kibongo, Salma Jabu ‘Nisha’. Akifurukuta mbele ya Ijumaa Wikienda, wikiendi iliyopita jijini Dar, Nisha alifunguka kwamba mama yake ndiye kila kitu kwani muda mwingi humshauri mambo mazuri na ya kimaendeleo zaidi tofauti na...

 

11 years ago

Michuzi

MALAIKA NAKUPENDA MALAIKA...sings dr schaeffer as he leaves bukoba

With salams and jambo from IZAAS Medical Project in Bukoba, "All good times come to an end...It was time to leave", Said Dr Schaeffer while singing the song, MALAIKA NAKUPENDA MALAIKA  The photos of Zulfa before and after shows what type of miracles Dr Schaeffer can do.   Brother Ansarali Hemraj generously donated 17 cartoons of wheel chairs, crunches elbow sticks and walkers, he even donated $ 1200 for heir ttransport from Dubai to Tanzania.

 

10 years ago

Vijimambo

Huyu na Yule...........Mahojiano na Dr na Mama Williams

Karibu kwenye mahojiano ya Dr na Mama Williams.
Waasisi wa AHEAD Inc. Taasisi ambayo iliasisiwa mwaka 1985 na inajishughulisha kubadili maisha ya wengi nchini Tanzania kupitia Elimu, Stadi za Maisha, Afya ya Mama na Mtoto na pia kuzisaidia jamii mbalimbali..
Wamezungumzia mengi kuhusu namna walivyofika Tanzania kwa mara ya kwanza 1974. Kilichowapeleka, walivyoamua kubaki huko mpaka sasa, shughuli za Taasisi yao na mengine mengi
Karibu
Huyu na Yule ni kipindi kinachotayarishwa na Vijimambo Blog...

 

11 years ago

GPL

MASKINI MAMA HUYU, TITI LIMEOZA!

SOFIA Nsoba (45) mkazi wa Manzese - Uzuri jijini Dar es Salaam yuko katika mateso mazito kwa mwaka wa nne sasa baada ya kugundulika kuwa ana kansa ya matiti hali inayomfanya apoteze matumaini ya kuendelea kuishi kutokana na kukosa msaada wa matibabu. Sofia Nsoba mkazi wa Manzese - Uzuri jijini Dar es Salaam yuko katika mateso mazito kwa mwaka wa nne sasa baada ya kugundulika kuwa ana kansa ya matiti. Akisimulia mkasa huo wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Masikini mama huyu kwa maumivu anayoyapata, aomba kukatwa mguu

JAMII imeombwa kutoa msaada wa hali na mali kwa Bi. GRACE KAIZA mkazi wa Igoma jijini Mwanza ambaye ameomba kukatwa mguu wake kutokana na Saratani ( Kansa) katika mguu huo.

Akizungumza na *JEMBE Habari* Bi. Grace Kaiza amesema amekuwa akisumbuliwa na maradhi hayo kwa muda mrefu jambo lililomuathiri kwa kiasi kikubwa kiafya na hata kiuchumi.

Akielezea namna tatizo hilo lilivyompata amesema lilianza kama uvimbe katika mguu wake kisha kufanyiwa upasuaji mara kadhaa lakini haikusaidia na ndipo...

 

5 years ago

BBCSwahili

Je ni kwa nini mama huyu alimuoa binti mwenye umri wa mwanawe?

Wakati walipoanza kuchumbiana, hawakujionyesha moja kwa moja kuwa wapenzi wa jinsia moja.

 

11 years ago

GPL

FABREGAS: WENGER ALINIAMBIA SIHITAJIKI ARSENAL

Cesc Fabregas wakati akiongea na wanahabari nchini Brazil. KIUNGO wa Hispania, Cesc Fabregas amefunguka kuwa aliambiwa na Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger kuwa alikuwa hahitajiki katika timu yake maana nafasi yake tayari ilikuwa imechukuliwa na kiungo wa Ujerumani Mesut Ozil. Mesut Ozil. Fabregas amesema aliongea na Wenger kabla ya kufanya maamuzi ya kujiunga na Chelsea kwa… ...

 

10 years ago

Bongo Movies

Wema: Baba Aliniambia Niingie Kwenye Siasa, Haya Sasa Naingia Vitani, Sitakubali Kushindwa

Staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu ambaye ametangaza nia kuwania ubunge wa Viti Maalum kupitia CCM ameandika hayo kwenye ukursa wake Instagram mara baada ya kuweka picha hiyo hapo juu ya zamani akiwa na mama yake pamoja  na Marehemu baba yake.

"Naanza kwa kusema Alhamdulillah kwa kufikia hapa nilipo na nawashkuru sana wazazi wangu kwa kunileta duniani na kunilea katika maadili mazuri.

Nawashkuru pia kwa kunipa Elimu na kunipa chochote nilichokitaka but more over kwa kunipa support kubwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani