Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MALAIKA NAKUPENDA MALAIKA...sings dr schaeffer as he leaves bukoba

With salams and jambo from IZAAS Medical Project in Bukoba, "All good times come to an end...It was time to leave", Said Dr Schaeffer while singing the song, MALAIKA NAKUPENDA MALAIKA  The photos of Zulfa before and after shows what type of miracles Dr Schaeffer can do.   Brother Ansarali Hemraj generously donated 17 cartoons of wheel chairs, crunches elbow sticks and walkers, he even donated $ 1200 for heir ttransport from Dubai to Tanzania.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Bongo5

New Video: Malaika — Mwantumu

Video mpya kutoka kwa Mwandada Malaika wimbo unaitwa “Mwantumu” video imeongozwa na Msafiri kutoka Kwetu Studio

 

9 years ago

Bongo5

Video: Malaika — Zogo

Malaika-LOVE

Malaika ni moja ya wasanii warembo wa kike ameachia video mpya wimbo unaitwa “Zogo” video imeongozwa na Hanscana

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kwaheri Asiimwe, Malaika wangu!

Ndugu zangu, Nawashukuru sana kwa salaam hizi. Ni wakati mgumu sana katika maisha yangu. Si jambo jepesi kufiwa na mtoto. Nafarijika kwa maneno yenu. Na hapa chini, najaribu tu kufanya...

 

9 years ago

Global Publishers

Malaika: nimechoka kufananishwa na Lulu

6B3A3875

Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya anayefanya vizuri, Malaika Exavery.

Na Imelda Mtema

MSANII wa Muziki wa Kizazi Kipya anayefanya vizuri, Malaika Exavery amesema anakerwa na kitendo cha watu wengi kumfananisha na muigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’.

Akizungumza na gazeti hili, Malaika alisema huko nyuma alipokuwa akifananishwa na msanii huyo hakujali, lakini kadiri siku zinavyozidi kwenda imekuwa ni shida hadi wengine wanamsimamisha.

“Unajua kufananishwa na mtu siyo tatizo, lakini kwa hali...

 

10 years ago

Mwananchi

Magufuli: Mbowe kama malaika

Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli jana aliungana na viongozi wenzake wa Serikali kuwamwagia sifa viongozi wa vyama vya upinzani baada ya kumwelezea Mbunge wa Hai na Mwenyekiti Chadema, Freeman Mbowe kuwa ni mpigania maendeleo ya wananchi na kwamba alitakiwa awe malaika.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Malaika Music kutikisa Ijumaa

BAADA ya mapumziko ya wiki moja bendi ya muziki wa dansi ya Malaika Music ‘Wafalme wa Masauti’ inayoongozwa na Christian Bella, inatarajia kuendelea na kazi kuanzia Ijumaa itakapotoa burudani katika...

 

10 years ago

GPL

MALAIKA ATEMBELEA GLOBAL TV ONLINE

Msanii wa kike wa muziki wa Bongo Fleva nchini, Diana Malaika Exavery Clavery 'Malaika', akiwa katika pozi wakati wa mahojiano na Global TV Online leo. ...Akiimba wimbo wake wa Sare aliomshirikisha Mesen Selekta.…

 

11 years ago

BBCSwahili

Malaika wafurahia Swaum ya Ramadhan

Huu ni mwezi wa Ramadhan.Inaelezwa kuwa hata Malaika wanafurahia mfungo huo? Baruan Muhuza anaangazia mfungo huo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani