Malaika: nimechoka kufananishwa na Lulu
Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya anayefanya vizuri, Malaika Exavery.
Na Imelda Mtema
MSANII wa Muziki wa Kizazi Kipya anayefanya vizuri, Malaika Exavery amesema anakerwa na kitendo cha watu wengi kumfananisha na muigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’.
Akizungumza na gazeti hili, Malaika alisema huko nyuma alipokuwa akifananishwa na msanii huyo hakujali, lakini kadiri siku zinavyozidi kwenda imekuwa ni shida hadi wengine wanamsimamisha.
“Unajua kufananishwa na mtu siyo tatizo, lakini kwa hali...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi09 Feb
MALAIKA NAKUPENDA MALAIKA...sings dr schaeffer as he leaves bukoba
11 years ago
Mwananchi15 Mar
Balloteli akerwa kufananishwa na wahalifu
10 years ago
Mwananchi02 Jul
Lowassa: Nimechoka kuitwa fisadi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/F6kBJElJzOa6xQ6Mc*Ir4ioIyWZjfliIsJa7UY9**cauCSZODa63ckodTlhtVApByt7i3*s6bzCxYwmrkinNXgRKEeIGzM-W/wolper.jpg?width=650)
WOLPER: NIMECHOKA KUTUKANWA KILA KUKICHA
9 years ago
Bongo517 Oct
Vanessa Mdee azungumzia kufananishwa kwa video yake mpya na ile ya Ciara
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HfUvPSttO0I5Jo4pBNTIn-3VbuiXIjnzndzLOztf1lFRttCXn7tsBTRU-tI5GpOp4PrnD640yOe1UguWpyFSfENg1W6PHYdp/mtoto2.jpg?width=650)
MTOTO ALIA NA KUSEMA: NIMECHOKA KUBAKWA NA BABA!
10 years ago
Bongo Movies13 Dec
LULU: Mimi ni Mchamungu,Mwenye Matarajio Makubwa Maishani…That’s Lulu
"Mimi ni mcha Mungu, mpenda maendeleo,ni mtu ambae nipo focused,ni mtu ambae nina matarajio makubwa,mtuambae nataka kufika mbali-That’s Lulu "
Muigizaji wa Filamu, Elizabeth Michael “Lulu” aliyasema hayo leo akiwa studio kabla ya kuimbiwa wimbo Dogo Aslay msanii kutoka yamoto Band.
10 years ago
Bongo Movies01 Jan
LULU:Mbali ya Kunizaa Kwa Uchungu, Ulizibeba Aibu Zangu...Ujumbe wa Lulu kwa Mama yake
“Huwezi kuamini Ilinibidi nianze kuandika hii risala 3day before ur birthday (mana Sio caption tena)
Kwanza nashukuru kwa MAPENZI na heshima uliyonipa kwa kuniweka tumboni kwako miezi 9,kunizaa kwa uchungu na kunilea kiroho,kiakili na ki mwili pia...Namshukuru Mungu kwa kunipa ww kama Mzazi WANGU na ninajivunia hilo sana..!
Kuna wakati nakukosea na kukuumiza Lkn kiukweli huwa naumia na kujuta sana baada Ya kujua kosa langu.
Licha Ya uchungu uliopata kwa kunizaa na kunilea upo wakati...
10 years ago
Bongo Movies01 Jan
LULU:Mbali ya Kunizaa Kwa Uchungu, Ulizibeba Aibu Zangu...Ujumbe Mzito wa Lulu kwa Mama Yake
“Huwezi kuamini Ilinibidi nianze kuandika hii risala 3day before ur birthday (mana Sio caption tena)
Kwanza nashukuru kwa MAPENZI na heshima uliyonipa kwa kuniweka tumboni kwako miezi 9,kunizaa kwa uchungu na kunilea kiroho,kiakili na ki mwili pia...Namshukuru Mungu kwa kunipa ww kama Mzazi WANGU na ninajivunia hilo sana..!
Kuna wakati nakukosea na kukuumiza Lkn kiukweli huwa naumia na kujuta sana baada Ya kujua kosa langu.
Licha Ya uchungu uliopata kwa kunizaa na kunilea upo wakati...