Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Balloteli akerwa kufananishwa na wahalifu

Kuanzishwa kwa juhudi mpya za utafutaji wa ndege katika Bahari ya Hindi huenda kukatoa sura mpya ya matumaini hasa kutokana na ripoti kuwa huenda ndege hiyo ilibadilisha mwelekeo wa safari.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Global Publishers

Malaika: nimechoka kufananishwa na Lulu

6B3A3875

Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya anayefanya vizuri, Malaika Exavery.

Na Imelda Mtema

MSANII wa Muziki wa Kizazi Kipya anayefanya vizuri, Malaika Exavery amesema anakerwa na kitendo cha watu wengi kumfananisha na muigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’.

Akizungumza na gazeti hili, Malaika alisema huko nyuma alipokuwa akifananishwa na msanii huyo hakujali, lakini kadiri siku zinavyozidi kwenda imekuwa ni shida hadi wengine wanamsimamisha.

“Unajua kufananishwa na mtu siyo tatizo, lakini kwa hali...

 

9 years ago

Global Publishers

GQ Stylish: Kanye West awaburuza akina Tyga, Mario Balloteli, Jay-Z….

Kanye West (1)Rapa Kanye West

Rapa Kanye West ametajwa kuwa GQ Most Stylish Man of 2015. Hii imekuwa mara ya pili mfululizo kwa Kanye West kupewa tuzo hii.

Kanye West (1)Mastaa aliyokuwa akichuana nao.

Kanye West aliandika hivi “Thank you GQ and to everyone who voted, it’s been an amazing year!!!”

Kanye West (5)Staili mpya ya viatu aina ya ‘Yeezy Boosts’ vya Kanye

Kanye West ameshinda tuzo hii baada ya mashabiki kupiga kura na Kanye West amewashinda wanamitindo wa kiume kama Lucky Blue Smith , rapa Jay Z, Tyga, Mario Balloteli na...

 

9 years ago

Bongo5

Vanessa Mdee azungumzia kufananishwa kwa video yake mpya na ile ya Ciara

Mshindi wa tuzo za Afrimma 2015, Vanessa Mdee amesema ni fahari kufananishwa kwa video ya wimbo wake ‘Never Ever’ na video ya ‘Dance Like We’re Making Love’ ya Ciara. Vanessa ameiambia Friday Night Live ya EATV kuwa msanii binafsi kama yeye kufananishwa na kazi ya Ciara aliye chini record labels kubwa duniani ni kitu kikubwa. […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi walaumiwa kulinda wahalifu

JESHI la Polisi Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam limeshutumiwa kuwa limeshindwa kudhibiti vitendo vya uuzaji dola bandia karibu na Idara ya Habari (Maelezo), Dar es Salaam. Baadhi ya mashuhuda...

 

11 years ago

Mwananchi

TCRA yasema haikamati wahalifu

Tume ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imewataka wananchi na mashirika kutoa taarifa za uhalifu kwa Jeshi la Polisi kila wanapobaini uhalifu katika mawasiliano yao.

 

5 years ago

Michuzi

Wakimbizi wahalifu Waondolewe -Masauni

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni ameviagiza Vyombo vya Ulinzi na Usalama mkoani Kigoma kuwaondosha na kuwafungulia mashtaka wakimbizi zaidi ya Elfu Moja waliotoroka kutoka katika Kambi mbalimbali za wakimbizi  na kwenda kufanya uhalifu nje ya makambi.

Naibu Waziri Masauni ameyasema hayo leo  wakati akiongea na wakimbizi kutoka nchini Burundi waliohifadhiwa katika Kambi ya Nduta iliyoko wilayani Kibondo, mkoani Kigoma huku ikihifadhi jumla ya wakimbizi na waomba...

 

11 years ago

Mwananchi

Wahalifu mtandao ni kutungiwa sheria

Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, imesema inaandaa sheria mpya ya usalama na uwezeshaji wa mitambo ya kuweka kumbukumbu ili kudhibiti matukio ya uhalifu wa mtandao.

 

5 years ago

StarTV

Bodaboda watakiwa kuwafichua wahalifu.

JESHI la polisi mkoa wa kipolisi wa Tarime na Rorya limeutaka umoja wa wafanyabiashara ya kusafirisha abiria kwa kutumia pikipiki maarufu kwa jina bodaboda wilayani Tarime mkoani mara kuwafichua waendesha pikipiki wanao fanya vitendo vya uharifu nyakati za usiku ukiwemo ubakaji wa wanawake na kukimbia na pesa za chenchi za wateja. kauli hiyo imetolewa na …

 

10 years ago

Mwananchi

Boti ya kupambana na wahalifu yazinduliwa

Mkuu wa Wilaya ya Muleba Kagera, Lambris Kipuyo jana alizindua boti iendayo kasi ambayo itafanya kazi ya kupambana na majambazi katika visiwa vya Mazinga na Ikuza vilivyoko Ziwa Victoria.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani