Polisi walaumiwa kulinda wahalifu
JESHI la Polisi Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam limeshutumiwa kuwa limeshindwa kudhibiti vitendo vya uuzaji dola bandia karibu na Idara ya Habari (Maelezo), Dar es Salaam. Baadhi ya mashuhuda...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi11 Apr
Polisi walaumiwa kuibeba CCM
10 years ago
BBCSwahili14 Mar
Ukeketaji Uingereza:Polisi walaumiwa
10 years ago
BBCSwahili07 Mar
Polisi walaumiwa na familia za wasichana
10 years ago
BBCSwahili18 Aug
Polisi walaumiwa kwa mauaji Kenya
10 years ago
BBCSwahili15 Jun
Polisi walaumiwa kwa utepetevu Kenya
11 years ago
Mwananchi03 Apr
Polisi walaumiwa kuhoji watuhumiwa kwa nguvu
9 years ago
Mtanzania08 Sep
Wahalifu hatari watoroka polisi Dar
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limekumbwa na kashfa kubwa baada ya watu wawili wanaodaiwa kuwa wahalifu sugu kutoroka katika Kituo cha Polisi Kurasini usiku wa kuamkia juzi.
Watuhumiwa hao, wanadaiwa kushiriki matukio makubwa ya uhalifu ambayo yametikisa nchi katika siku za hivi karibuni.
Taarifa za uhakika ambazo MTANZANIA imezipata jana kutoka kwenye vyanzo vyake ndani ya jeshi hilo, zinasema watuhumiwa hao walikuwa watatu, lakini...
11 years ago
Mwananchi06 Jul
Polisi yataka ushirikiano kukabili wahalifu