Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi walaumiwa kulinda wahalifu

JESHI la Polisi Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam limeshutumiwa kuwa limeshindwa kudhibiti vitendo vya uuzaji dola bandia karibu na Idara ya Habari (Maelezo), Dar es Salaam. Baadhi ya mashuhuda...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Polisi walaumiwa kuibeba CCM

Waangalizi katika Uchaguzi wa Ubunge Chalinze wamesema Jeshi la Polisi lilielekeza ulinzi kwenye mikutano ya CCM zaidi na kuviacha vyama vingine vikiwa havina ulinzi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ukeketaji Uingereza:Polisi walaumiwa

Wabunge wa Uingereza wamewalaumu wakuu wa polisi na afya, kwa kushindwa kuwashtaki watu wanaohusika na kukeketa wasichana.

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi walaumiwa na familia za wasichana

Jamaa za wasichana 3 wa UK waliotoroka na kujiunga na wanamgmbo wa Islamic State Syria wamewashtumu vikali maafisa wa polisi

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi walaumiwa kwa mauaji Kenya

Shirika la kutetea haki za binadamu,Human Rights Watch limewalaumu polisi wa kupambana na ugaidi nchini Kenya kwa mauaji ya kiholela.

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi walaumiwa kwa utepetevu Kenya

Shirika linalopigania haki za kibinadamu la Human Rights Watch limeilaumu idara ya usalama Kenya kwa kuzembea baada ya shambulizi la Al shabaab.

 

11 years ago

Mwananchi

Polisi walaumiwa kuhoji watuhumiwa kwa nguvu

Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Kakusulo Sambo amewajia juu polisi kwa tabia yao ya kutumia nguvu na kukiuka sheria wanapochukua maelezo ya washtakiwa na kusababisha ushahidi muhimu kupotea.

 

9 years ago

Mtanzania

Wahalifu hatari watoroka polisi Dar

RPCTEMEKE2Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limekumbwa na kashfa kubwa baada ya watu wawili wanaodaiwa kuwa wahalifu sugu kutoroka katika Kituo cha Polisi Kurasini usiku wa kuamkia juzi.

Watuhumiwa hao, wanadaiwa kushiriki matukio makubwa ya uhalifu ambayo yametikisa nchi katika siku za hivi karibuni.

Taarifa za uhakika ambazo MTANZANIA imezipata jana kutoka kwenye vyanzo vyake ndani ya jeshi hilo, zinasema watuhumiwa hao walikuwa watatu, lakini...

 

11 years ago

Mwananchi

Polisi yataka ushirikiano kukabili wahalifu

 Jeshi la Polisi nchini limeiangukia jamii kuomba ushirikiano wa karibu kutoka kwa wananchi katika kuibua vitendo vya uhalifu vinavyoendelea kujitokeza nchini ikiwamo milipuko ya mabomu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani