Polisi walaumiwa kuibeba CCM
Waangalizi katika Uchaguzi wa Ubunge Chalinze wamesema Jeshi la Polisi lilielekeza ulinzi kwenye mikutano ya CCM zaidi na kuviacha vyama vingine vikiwa havina ulinzi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima27 Jan
Polisi walaumiwa kulinda wahalifu
JESHI la Polisi Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam limeshutumiwa kuwa limeshindwa kudhibiti vitendo vya uuzaji dola bandia karibu na Idara ya Habari (Maelezo), Dar es Salaam. Baadhi ya mashuhuda...
10 years ago
BBCSwahili07 Mar
Polisi walaumiwa na familia za wasichana
Jamaa za wasichana 3 wa UK waliotoroka na kujiunga na wanamgmbo wa Islamic State Syria wamewashtumu vikali maafisa wa polisi
10 years ago
BBCSwahili14 Mar
Ukeketaji Uingereza:Polisi walaumiwa
Wabunge wa Uingereza wamewalaumu wakuu wa polisi na afya, kwa kushindwa kuwashtaki watu wanaohusika na kukeketa wasichana.
10 years ago
BBCSwahili15 Jun
Polisi walaumiwa kwa utepetevu Kenya
Shirika linalopigania haki za kibinadamu la Human Rights Watch limeilaumu idara ya usalama Kenya kwa kuzembea baada ya shambulizi la Al shabaab.
10 years ago
BBCSwahili18 Aug
Polisi walaumiwa kwa mauaji Kenya
Shirika la kutetea haki za binadamu,Human Rights Watch limewalaumu polisi wa kupambana na ugaidi nchini Kenya kwa mauaji ya kiholela.
11 years ago
Mwananchi03 Apr
Polisi walaumiwa kuhoji watuhumiwa kwa nguvu
Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Kakusulo Sambo amewajia juu polisi kwa tabia yao ya kutumia nguvu na kukiuka sheria wanapochukua maelezo ya washtakiwa na kusababisha ushahidi muhimu kupotea.
10 years ago
Vijimambo16 May
'Bwege' adai wananchi ndio wameochoka kuibeba Serikali ya CCM
Mbunge wa Kilwa Kusini, Suleiman Said Bungara ‘Bwege’ Pichani (CUF), ametofautiana na wabunge wenzake wa upinzani wanaosema Serikali ya CCM imechoka, badala yake amesema Watanzania ndio waliochoka kuibeba.
Alisema wapo wabunge wanaoitetea serikali, kwa kuibeba, lakini wapo wabunge wanaofanya kazi zao za kuikosoa.
Akichangia hotuba ya mwelekeo wa kazi za serikali, makadirio ya matumizi ya fedha ya Ofisi ya Waziri Mkuu na Bunge kwa mwaka 2015/16 iliyowasilishwa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda,...
10 years ago
Vijimambo14 Nov
Utafiti wa Twaweza, Dk Slaa adai ripoti imeandaliwa na Dk Bana kuibeba CCM
Mkurugenzi Mstaafu waTaasisi ya Utafiti ya Twaweza, Rakesh Rajan (kulia) akiwaelezea jambo Mwenyekiti wa Bodi ya Uhariri ya Raia Mwema, Jenerali Ulimwengu (kushoto) na Mkurugenzi wa Compass Communication Limited, Maria Sarungi katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa kabla ya taasisi hiyo kutangaza matoke ya utafiti wao kuhusu Tanzania Kuelekea 2015, jijini Dar es Salaam juzi. Picha na Edwin Mjwahuzi
Dar es Salaam. Utafiti uliofanywa na taasisi ya Twaweza kuhusu maoni na matakwa ya wananchi juu...
Dar es Salaam. Utafiti uliofanywa na taasisi ya Twaweza kuhusu maoni na matakwa ya wananchi juu...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania