Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi walaumiwa kwa utepetevu Kenya

Shirika linalopigania haki za kibinadamu la Human Rights Watch limeilaumu idara ya usalama Kenya kwa kuzembea baada ya shambulizi la Al shabaab.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Polisi walaumiwa kwa mauaji Kenya

Shirika la kutetea haki za binadamu,Human Rights Watch limewalaumu polisi wa kupambana na ugaidi nchini Kenya kwa mauaji ya kiholela.

 

11 years ago

Mwananchi

Polisi walaumiwa kuhoji watuhumiwa kwa nguvu

Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Kakusulo Sambo amewajia juu polisi kwa tabia yao ya kutumia nguvu na kukiuka sheria wanapochukua maelezo ya washtakiwa na kusababisha ushahidi muhimu kupotea.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi walaumiwa kulinda wahalifu

JESHI la Polisi Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam limeshutumiwa kuwa limeshindwa kudhibiti vitendo vya uuzaji dola bandia karibu na Idara ya Habari (Maelezo), Dar es Salaam. Baadhi ya mashuhuda...

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi walaumiwa na familia za wasichana

Jamaa za wasichana 3 wa UK waliotoroka na kujiunga na wanamgmbo wa Islamic State Syria wamewashtumu vikali maafisa wa polisi

 

11 years ago

Mwananchi

Polisi walaumiwa kuibeba CCM

Waangalizi katika Uchaguzi wa Ubunge Chalinze wamesema Jeshi la Polisi lilielekeza ulinzi kwenye mikutano ya CCM zaidi na kuviacha vyama vingine vikiwa havina ulinzi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ukeketaji Uingereza:Polisi walaumiwa

Wabunge wa Uingereza wamewalaumu wakuu wa polisi na afya, kwa kushindwa kuwashtaki watu wanaohusika na kukeketa wasichana.

 

10 years ago

Habarileo

Tasaf walaumiwa kwa kutokamilisha miradi

VITENDO vya udanganyifu kwenye utekelezaji wa miradi ya kijamii (TASAF) vimeonekana kukithiri ambapo miradi mingi imeonekana kutokamilika na huku mingine ikiwa chini ya kiwango kwa awamu ya kwanza na ya pili zilizopita.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mshukiwa wa ugaidi ajisalimisha kwa polisi Kenya

Mmoja wa washukiwa wanne wa ugaidi waliokwepa msako wa polisi mjini Mombasa Jumatatu amejisalimisha kwa polisi akisindikizwa na babake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani