Polisi walaumiwa kwa mauaji Kenya
Shirika la kutetea haki za binadamu,Human Rights Watch limewalaumu polisi wa kupambana na ugaidi nchini Kenya kwa mauaji ya kiholela.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili15 Jun
Polisi walaumiwa kwa utepetevu Kenya
Shirika linalopigania haki za kibinadamu la Human Rights Watch limeilaumu idara ya usalama Kenya kwa kuzembea baada ya shambulizi la Al shabaab.
5 years ago
BBCSwahili23 Jun
Polisi Kenya ashtakiwa kwa mauaji wakati wa amri ya kutotoka nje usiku
Polisi mmoja nchini Kenya ameshtakiwa kwa mauaji ya kijana Yasin Moyo, 13, ambaye alipigwa risasi akiwa barazani kwao
11 years ago
Mwananchi03 Apr
Polisi walaumiwa kuhoji watuhumiwa kwa nguvu
Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Kakusulo Sambo amewajia juu polisi kwa tabia yao ya kutumia nguvu na kukiuka sheria wanapochukua maelezo ya washtakiwa na kusababisha ushahidi muhimu kupotea.
10 years ago
BBCSwahili14 Mar
Ukeketaji Uingereza:Polisi walaumiwa
Wabunge wa Uingereza wamewalaumu wakuu wa polisi na afya, kwa kushindwa kuwashtaki watu wanaohusika na kukeketa wasichana.
11 years ago
Mwananchi11 Apr
Polisi walaumiwa kuibeba CCM
Waangalizi katika Uchaguzi wa Ubunge Chalinze wamesema Jeshi la Polisi lilielekeza ulinzi kwenye mikutano ya CCM zaidi na kuviacha vyama vingine vikiwa havina ulinzi.
10 years ago
BBCSwahili07 Mar
Polisi walaumiwa na familia za wasichana
Jamaa za wasichana 3 wa UK waliotoroka na kujiunga na wanamgmbo wa Islamic State Syria wamewashtumu vikali maafisa wa polisi
11 years ago
Tanzania Daima27 Jan
Polisi walaumiwa kulinda wahalifu
JESHI la Polisi Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam limeshutumiwa kuwa limeshindwa kudhibiti vitendo vya uuzaji dola bandia karibu na Idara ya Habari (Maelezo), Dar es Salaam. Baadhi ya mashuhuda...
11 years ago
BBCSwahili24 Jan
Polisi wakamatwa kwa mauaji A.Kusini
Polisi wanne wamekamatwa kuhusiana na kisa cha kuwapiga risasi waandamanaji nchini Afrika Kusini siku ya Alhamisi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania