Polisi wakamatwa kwa mauaji A.Kusini
Polisi wanne wamekamatwa kuhusiana na kisa cha kuwapiga risasi waandamanaji nchini Afrika Kusini siku ya Alhamisi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-e6it2mpQFL8/VZIdwU6CSVI/AAAAAAABBjE/iBLFSPivXD0/s72-c/JESHI%2BLOGO.jpg)
WATU WATATU WAKAMATWA NA JESHI LA POLISI JIJINI DAR ES SALAAM KWA TUHUMA ZA MAUAJI
![](http://1.bp.blogspot.com/-e6it2mpQFL8/VZIdwU6CSVI/AAAAAAABBjE/iBLFSPivXD0/s320/JESHI%2BLOGO.jpg)
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia watu watatu kwa tuhuma za mauaji ya mmiliki wa shule ya Mtakatifu Zion iliyopo maeneo ya Ununio, Mbezi Beach wilaya ya kipolisi Kawe mkoa wa kipolisi wa Kinondoni aliyejulikana kwa jina la ANNA D/O MIZINGI, Miaka 48, Mfanyabiashara, Mkazi wa Boko.
Mnamo tarehe 02/02/2015 majira ya saa za mchana mtoa taarifa alifika kituo cha Polisi na kueleza kwamba marehemu ANNA D/O MIZINGI aliondoka tangu tarehe 26/12/2014 majira ya saa 1:00hrs...
10 years ago
BBCSwahili18 Nov
15 wakamatwa kwa mauaji Mombasa
Polisi mjini Mombasa wamewakamata watu 15 kuhusiana na mauaji ya watu wanne usiku mjini humo kwa kuwadunga visu.
11 years ago
Mwananchi10 Jan
Watu watatu wakamatwa kwa mauaji ya Karegeya
>Watu watatu wamekamatwa wakihusishwa na mauaji ta mkuu wa zamani wa ujasusi wa Rwanda, Patrick Karegeya aliyekutwa akiwa amekufa kwenye Hoteli ya Sandton mjini Johannesburg, Afrika Kusini wiki moja iliyopita.
10 years ago
BBCSwahili28 May
Malaysia:Polisi 12 wakamatwa kwa ulanguzi
Polisi 12 wamekamatwa nchini Malaysia, kufuatia tuhuma za kushirikiana na walanguzi wa binadamu.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5_3_qwbjeGs/U865fdvjaII/AAAAAAAF4zI/IWz3vZtKBp4/s72-c/mngulujuly152014.jpg)
watuhumiwa 25 wakamatwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za ugaidi nchini
![](http://4.bp.blogspot.com/-5_3_qwbjeGs/U865fdvjaII/AAAAAAAF4zI/IWz3vZtKBp4/s1600/mngulujuly152014.jpg)
Jinai nchini, (DCI) Kamishna Isaya Mngulu.Kufuatia tukio la mlipuko wa bomu siku ya tarehe 7/7/2014 majira ya saa 22.15 usiku katika mgahawa wa VAMA, eneo la Uzunguni Jijini Arusha, ambapo watu wanane walijeruhiwa, Jeshi la Polisi limewakamata watuhumiwa 25 kwa uchunguzi.Kufuatia uchunguzi huo kati yao watu sita watafikishwa mahakamani mapema iwezakanavyo. Watuhumiwa watakaofikishwa Mahakamani kwa tukio hilo ni: SHAABAN MUSSA MMASA @ JAMAL, Umri miaka 26...
11 years ago
BBCSwahili18 Jun
Washukiwa wa mauaji Mpeketoni wakamatwa
Polisi nchini Kenya wamesema kuwa wamewakamata washukiwa kadhaa wa mashambulizi yaliyofanyika mjini Mpeketoni na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 60.
10 years ago
BBCSwahili12 Aug
Watuhumiwa mauaji ya mwandishi wakamatwa
Polisi nchini Azerbaijan imemtia mbaroni mwanamichezo na watu wengine watano kwa tuhuma za kuhusika katika tukio la mauaji.
11 years ago
Tanzania Daima30 May
Kortini kwa mauaji ya Polisi Tabora
WATU saba wamefikishwa katika Mahakama Mkoa wa Tabora wakikabiliwa na tuhuma za mauaji ya askari polisi wawili wa Kituo cha Polisi Ussoko, Wilaya ya Urambo. Waliofikishwa mahakamani hapo jana ni...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania