Watuhumiwa mauaji ya mwandishi wakamatwa
Polisi nchini Azerbaijan imemtia mbaroni mwanamichezo na watu wengine watano kwa tuhuma za kuhusika katika tukio la mauaji.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
StarTV19 Feb
Watuhumiwa TASAF wakamatwa.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-gqmcW82rQWs/VKqiRCpJbgI/AAAAAAADU2w/11QgWkli60E/s72-c/kova.jpg)
Watuhumiwa 510 mtandao wa panya road wakamatwa Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-gqmcW82rQWs/VKqiRCpJbgI/AAAAAAADU2w/11QgWkli60E/s1600/kova.jpg)
Vijana 510 wanaodaiwa kujihusisha na vitenda vya kihalifu chini ya kundi maarufu la ‘panya road’ wamekamatwa na jeshi la Polisi Kanda Maalum jijini Dar es Salaam kwa mahojiano.Watuhumiwa hao wamekatwa katika mikoa ya kipolisi ya Kinondoni, Temeke na Ilala ambapo jeshi la polisi limefanya msako mkali kuweza kuwabaini lengo likiwa ni kuimarisha ulinzi nchini.Kamishna wa Polisi Suleiman Kova ametoa wito kwa wazazi wa watoto...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5_3_qwbjeGs/U865fdvjaII/AAAAAAAF4zI/IWz3vZtKBp4/s72-c/mngulujuly152014.jpg)
watuhumiwa 25 wakamatwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za ugaidi nchini
![](http://4.bp.blogspot.com/-5_3_qwbjeGs/U865fdvjaII/AAAAAAAF4zI/IWz3vZtKBp4/s1600/mngulujuly152014.jpg)
Jinai nchini, (DCI) Kamishna Isaya Mngulu.Kufuatia tukio la mlipuko wa bomu siku ya tarehe 7/7/2014 majira ya saa 22.15 usiku katika mgahawa wa VAMA, eneo la Uzunguni Jijini Arusha, ambapo watu wanane walijeruhiwa, Jeshi la Polisi limewakamata watuhumiwa 25 kwa uchunguzi.Kufuatia uchunguzi huo kati yao watu sita watafikishwa mahakamani mapema iwezakanavyo. Watuhumiwa watakaofikishwa Mahakamani kwa tukio hilo ni: SHAABAN MUSSA MMASA @ JAMAL, Umri miaka 26...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6284ldJ8pDg/XrQ5UIfUl8I/AAAAAAAAJUk/f8JRYomFwjskNibV5FrPC7sSoKklvf2IgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200507-WA0067.jpg)
WATUHUMIWA WA UJAMBAZI WAKAMATWA WAKIWA NJIANI KWENDA KUFANYA UHALIFU MKOANI ARUSHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-6284ldJ8pDg/XrQ5UIfUl8I/AAAAAAAAJUk/f8JRYomFwjskNibV5FrPC7sSoKklvf2IgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200507-WA0067.jpg)
Kamanda wa Polisi mkoani Arusha Jonathan Shana akiongozana na Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo mwenye Suti ya blue wakitoka kukagua gari Lilikuwa likitumiwa na majambazi hao aina ya Toyota Crown lenye namba za usajili T777DSJ wakati akitoa taarifa ya kukamatwa kwa majambazi wanne Leo jijini Arusha picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha
![](https://1.bp.blogspot.com/-ylOvAwQpzvU/XrQ5TohDcNI/AAAAAAAAJUc/0g761e9A5BAAV6LbnER7x8vL7HftMTYlgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200507-WA0068.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo akilipongeza Jeshi la Polisi kwa kutumia sheria ya tii bila shuruti na kufanikiwa kukamata majambazi wanne bila kuwapiga...
11 years ago
BBCSwahili10 Apr
Makao ya watuhumiwa wa mauaji Rwanda
10 years ago
Habarileo17 Jan
Watuhumiwa 3 wa mauaji wamalizwa na wanakijiji
WAKAZI wa kijiji cha Burunde kata ya Karitu wilayani Nzega mkoani Tabora, wamewapiga, kuwaua na kuwachoma moto watu watatu kwa tuhuma za kushiriki kumuua Helena Abel na kumjeruhi mume wake, Said Msoma.
11 years ago
Mwananchi20 Feb
Watuhumiwa wa mauaji kortini Z’bar
10 years ago
Tanzania Daima03 Oct
Wapinga watuhumiwa wa mauaji kukamatwa
JESHI la polisi wilayani hapa Mkoa wa Mbeya, juzi lililazamika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wananchi wa Kata ya Lwanga, walioandamana wakishinikiza kuachiwa watuhumiwa wa mauaji ya Gabriel Mwandemwa (40),...
10 years ago
BBCSwahili02 Feb
Jordan yalaani mauaji ya Mwandishi