Wapinga watuhumiwa wa mauaji kukamatwa
JESHI la polisi wilayani hapa Mkoa wa Mbeya, juzi lililazamika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wananchi wa Kata ya Lwanga, walioandamana wakishinikiza kuachiwa watuhumiwa wa mauaji ya Gabriel Mwandemwa (40),...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LfgKbiwL6OY/Xneb689y3PI/AAAAAAALkv8/rk23BgHaQXYrzyuKnQEQ64CnJjGi-KQzQCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
KUKAMATWA KWA MTUHUMIWA WA TUKIO LA MAUAJI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-LfgKbiwL6OY/Xneb689y3PI/AAAAAAALkv8/rk23BgHaQXYrzyuKnQEQ64CnJjGi-KQzQCLcBGAsYHQ/s1600/index.jpg)
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia FESTO MADUHU [28 -30] Mbeba Mizigo @ Kuli na Mkazi wa Mtaa wa Benki Kabwe Jijini Mbeya kwa tuhuma za kumuua mpenzi wake na kisha yeye mwenyewe kujaribu kujiua kwa kisu.
Ni kwamba mnamo tarehe 22/03/2020majira ya saa 09:00 Asubuhi huko katika nyumba ya kulala wageni iitwayo “NEGERO”iliyopo Mtaa wa Ilolo, Kata ya Ruanda, Tarafa ya Iyunga, Jijini Mbeya katika chumba namba 111 @ Victoria, Mwanamke mmoja aitwaye JESCA MICHAEL @ KUNGULU [28] Mhudumu...
10 years ago
BBCSwahili25 Feb
Waislamu UK:Wapinga mauaji ya C Hebdo
Idadi kubwa ya waislamu nchini Uingereza wanapinga ghasia dhidi ya watu waliochapisha vibonzo vya kumdhalilisha mtume Mohammed
10 years ago
BBCSwahili01 May
Raia wapinga mauaji ya washukiwa Garissa
Wakaazi wa mji wa Garissa nchini Kenya wamevishtumu vikosi vya usalama kwa kuwaua washukiwa wa ugaidi.
11 years ago
Mwananchi20 Feb
Watuhumiwa wa mauaji kortini Z’bar
Watuhumiwa wawili wa mauaji ya raia wawili wa Ufaransa, Francios Robert Danis Rober na Brigitte Meny waliouawa na kutumbukizwa kisimani huko Matemwe Minazi Mirefu Mkoa wa Kaskazini Unguja wamefikishwa kortini.
11 years ago
BBCSwahili10 Apr
Makao ya watuhumiwa wa mauaji Rwanda
Licha ya kuachiwa uhuru Je wajua kuna watu wameogopa kurejea Rwanda
10 years ago
Habarileo17 Jan
Watuhumiwa 3 wa mauaji wamalizwa na wanakijiji
WAKAZI wa kijiji cha Burunde kata ya Karitu wilayani Nzega mkoani Tabora, wamewapiga, kuwaua na kuwachoma moto watu watatu kwa tuhuma za kushiriki kumuua Helena Abel na kumjeruhi mume wake, Said Msoma.
10 years ago
BBCSwahili12 Aug
Watuhumiwa mauaji ya mwandishi wakamatwa
Polisi nchini Azerbaijan imemtia mbaroni mwanamichezo na watu wengine watano kwa tuhuma za kuhusika katika tukio la mauaji.
11 years ago
BBCSwahili12 Aug
Polisi wa Misri watuhumiwa kwa mauaji
Shirika la Human Rights Watch, limesema kuwa polisi wa Misri waliwaua kiholela wapinzani wa aliyekuwa Rais Morsi mwaka jana
11 years ago
Mwananchi09 Jul
KESI: Watuhumiwa wa mauaji ya Mtawa kizimbani
>Watuhumiwa wa mauaji ya Mtawa Cresencia Kapuri (50) wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Parokia ya Makoka, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakihusishwa na wizi wa pesa katika Benki ya Barclays.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania