Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watuhumiwa 3 wa mauaji wamalizwa na wanakijiji

WAKAZI wa kijiji cha Burunde kata ya Karitu wilayani Nzega mkoani Tabora, wamewapiga, kuwaua na kuwachoma moto watu watatu kwa tuhuma za kushiriki kumuua Helena Abel na kumjeruhi mume wake, Said Msoma.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Wapinga watuhumiwa wa mauaji kukamatwa

JESHI la polisi wilayani hapa Mkoa wa Mbeya, juzi lililazamika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wananchi wa Kata ya Lwanga, walioandamana wakishinikiza kuachiwa watuhumiwa wa mauaji ya Gabriel Mwandemwa (40),...

 

10 years ago

BBCSwahili

Watuhumiwa mauaji ya mwandishi wakamatwa

Polisi nchini Azerbaijan imemtia mbaroni mwanamichezo na watu wengine watano kwa tuhuma za kuhusika katika tukio la mauaji.

 

11 years ago

Mwananchi

Watuhumiwa wa mauaji kortini Z’bar

Watuhumiwa wawili wa mauaji ya raia wawili wa Ufaransa, Francios Robert Danis Rober na Brigitte Meny waliouawa na kutumbukizwa kisimani huko Matemwe Minazi Mirefu Mkoa wa Kaskazini Unguja wamefikishwa kortini.

 

11 years ago

BBCSwahili

Makao ya watuhumiwa wa mauaji Rwanda

Licha ya kuachiwa uhuru Je wajua kuna watu wameogopa kurejea Rwanda

 

11 years ago

BBCSwahili

Polisi wa Misri watuhumiwa kwa mauaji

Shirika la Human Rights Watch, limesema kuwa polisi wa Misri waliwaua kiholela wapinzani wa aliyekuwa Rais Morsi mwaka jana

 

11 years ago

Habarileo

Mauaji ya watuhumiwa yashika kasi Mbeya

UTAMADUNI mbovu wa kujichukulia sheria mikononi umezidi kushika kasi mkoani Mbeya baada ya watu wawili kuuawa juzi katika matukio mawili tofauti.

 

11 years ago

Mwananchi

KESI: Watuhumiwa wa mauaji ya Mtawa kizimbani

>Watuhumiwa wa mauaji ya Mtawa Cresencia Kapuri (50) wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Parokia ya Makoka, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakihusishwa na wizi wa pesa katika Benki ya Barclays.

 

9 years ago

Habarileo

Watuhumiwa mauaji ya ‘kachero’ wa TANAPA watajwa

MFANYAKAZI wa bustani, Ismail Swalehe Sang’wa (20), mkazi wa kijiji cha Sepuka wilayani Ikungi mkoa wa Singida, amekamatwa na Polisi, akituhumiwa kumchinja Kachero wa Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (Tanapa), Emily Stephano Kisamo (52).

 

10 years ago

StarTV

Polisi Dar yashikilia watuhumiwa wa mauaji ya wanawake.

Na Immaculate Kilulya,

Dar Es Salaam.

 

Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar Es Salaam linawashikilia watu wawili kwa makosa ya mauaji ya wanawake 11 baada ya kuwarubuni kimapenzi, kuwatilia dawa kwenye vinywaji na kisha kuwateka, kuwanyanyasa kijinsia na hatimaye kuwaua.

 

Watuhumiwa hao ambao ni Abubakar Aman na Ezekiel Kasenegala wamekiri kuhusika na mauaji ya aina hiyo katika kipindi cha miaka miwili yakiwemo mauaji ya hivi karibuni ya wasichana wawili wa Chuo cha Ukutubi Bagamoyo mkoani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani