Ukeketaji Uingereza:Polisi walaumiwa
Wabunge wa Uingereza wamewalaumu wakuu wa polisi na afya, kwa kushindwa kuwashtaki watu wanaohusika na kukeketa wasichana.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili06 Feb
Ukeketaji wahamishiwa Uingereza
Utamaduni huo unafanywa na jamii za watu katika Mashariki ya kati,Afrika na Asia na ni tatizo linalokithiri katika mataifa mengi ambako wanahamia.
10 years ago
BBCSwahili07 Mar
Polisi walaumiwa na familia za wasichana
Jamaa za wasichana 3 wa UK waliotoroka na kujiunga na wanamgmbo wa Islamic State Syria wamewashtumu vikali maafisa wa polisi
11 years ago
Tanzania Daima27 Jan
Polisi walaumiwa kulinda wahalifu
JESHI la Polisi Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam limeshutumiwa kuwa limeshindwa kudhibiti vitendo vya uuzaji dola bandia karibu na Idara ya Habari (Maelezo), Dar es Salaam. Baadhi ya mashuhuda...
11 years ago
Mwananchi11 Apr
Polisi walaumiwa kuibeba CCM
Waangalizi katika Uchaguzi wa Ubunge Chalinze wamesema Jeshi la Polisi lilielekeza ulinzi kwenye mikutano ya CCM zaidi na kuviacha vyama vingine vikiwa havina ulinzi.
10 years ago
BBCSwahili15 Jun
Polisi walaumiwa kwa utepetevu Kenya
Shirika linalopigania haki za kibinadamu la Human Rights Watch limeilaumu idara ya usalama Kenya kwa kuzembea baada ya shambulizi la Al shabaab.
10 years ago
BBCSwahili18 Aug
Polisi walaumiwa kwa mauaji Kenya
Shirika la kutetea haki za binadamu,Human Rights Watch limewalaumu polisi wa kupambana na ugaidi nchini Kenya kwa mauaji ya kiholela.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-RvNLxSBXIFc/VDlLyZUqDOI/AAAAAAADJWY/KLG7L51fHig/s72-c/Anna%2BMarcus%2Bof%2BBTS-%2Bpic%2Bby%2BF%2BMacha%2B2014.jpg)
ADHA YA UKEKETAJI TANZANIA KUJADILIWA NA WABUNGE UINGEREZA
![](http://1.bp.blogspot.com/-RvNLxSBXIFc/VDlLyZUqDOI/AAAAAAADJWY/KLG7L51fHig/s1600/Anna%2BMarcus%2Bof%2BBTS-%2Bpic%2Bby%2BF%2BMacha%2B2014.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--ZCNixsFyxs/VDlL2T_0aII/AAAAAAADJXI/ObQebd9fUDg/s1600/cape%2Band%2BAnne%2BMarie%2B-%2Bpic%2Bby%2BF%2BMacha%2B2014.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-j3du32tnQ1A/VDlLy04hYMI/AAAAAAADJWc/er1imIBnrmY/s1600/Janet%2BChapman%2Band%2BJonathan%2BPace%2Bof%2BTDTF-%2Bpic%2Bby%2BF%2BMacha%2B2014.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-tEMpU1ssNco/VDjKnbkAVqI/AAAAAAAGpFA/qxgN7bmRnIA/s72-c/TANZANIA-%2BFGM.jpg)
ADHA YA UKEKETAJI TANZANIA KUJADILIWA NA WABUNGE UINGEREZA
Na Freddy Macha
Jumatano ijayo tarehe 15 Oktoba, 2014...kundi la kina mama watatu akiwemo Mtanzania litashiriki jopo la ukeketaji na Wabunge, London, Uingereza.
Mtanzania, Rhobi Samwelly, mama wa watoto wanne, ni mzawa wa Butiama, Mara. Wenzake ni Comfort Momoh, toka Nigeria, anayetibu wanawake waliokeketwa hospitali mbili za Guy’s na St Thomas, London na Ann-Marie Wilson mkurugenzi wa “28 Too Many.” Shirika hili lenye tovuti yenye http://28toomany.org/ ni maktaba kubwa yenye habari, picha,...
Jumatano ijayo tarehe 15 Oktoba, 2014...kundi la kina mama watatu akiwemo Mtanzania litashiriki jopo la ukeketaji na Wabunge, London, Uingereza.
Mtanzania, Rhobi Samwelly, mama wa watoto wanne, ni mzawa wa Butiama, Mara. Wenzake ni Comfort Momoh, toka Nigeria, anayetibu wanawake waliokeketwa hospitali mbili za Guy’s na St Thomas, London na Ann-Marie Wilson mkurugenzi wa “28 Too Many.” Shirika hili lenye tovuti yenye http://28toomany.org/ ni maktaba kubwa yenye habari, picha,...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania