Ukeketaji wahamishiwa Uingereza
Utamaduni huo unafanywa na jamii za watu katika Mashariki ya kati,Afrika na Asia na ni tatizo linalokithiri katika mataifa mengi ambako wanahamia.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili14 Mar
Ukeketaji Uingereza:Polisi walaumiwa
Wabunge wa Uingereza wamewalaumu wakuu wa polisi na afya, kwa kushindwa kuwashtaki watu wanaohusika na kukeketa wasichana.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-tEMpU1ssNco/VDjKnbkAVqI/AAAAAAAGpFA/qxgN7bmRnIA/s72-c/TANZANIA-%2BFGM.jpg)
ADHA YA UKEKETAJI TANZANIA KUJADILIWA NA WABUNGE UINGEREZA
Na Freddy Macha
Jumatano ijayo tarehe 15 Oktoba, 2014...kundi la kina mama watatu akiwemo Mtanzania litashiriki jopo la ukeketaji na Wabunge, London, Uingereza.
Mtanzania, Rhobi Samwelly, mama wa watoto wanne, ni mzawa wa Butiama, Mara. Wenzake ni Comfort Momoh, toka Nigeria, anayetibu wanawake waliokeketwa hospitali mbili za Guy’s na St Thomas, London na Ann-Marie Wilson mkurugenzi wa “28 Too Many.” Shirika hili lenye tovuti yenye http://28toomany.org/ ni maktaba kubwa yenye habari, picha,...
Jumatano ijayo tarehe 15 Oktoba, 2014...kundi la kina mama watatu akiwemo Mtanzania litashiriki jopo la ukeketaji na Wabunge, London, Uingereza.
Mtanzania, Rhobi Samwelly, mama wa watoto wanne, ni mzawa wa Butiama, Mara. Wenzake ni Comfort Momoh, toka Nigeria, anayetibu wanawake waliokeketwa hospitali mbili za Guy’s na St Thomas, London na Ann-Marie Wilson mkurugenzi wa “28 Too Many.” Shirika hili lenye tovuti yenye http://28toomany.org/ ni maktaba kubwa yenye habari, picha,...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-RvNLxSBXIFc/VDlLyZUqDOI/AAAAAAADJWY/KLG7L51fHig/s72-c/Anna%2BMarcus%2Bof%2BBTS-%2Bpic%2Bby%2BF%2BMacha%2B2014.jpg)
ADHA YA UKEKETAJI TANZANIA KUJADILIWA NA WABUNGE UINGEREZA
![](http://1.bp.blogspot.com/-RvNLxSBXIFc/VDlLyZUqDOI/AAAAAAADJWY/KLG7L51fHig/s1600/Anna%2BMarcus%2Bof%2BBTS-%2Bpic%2Bby%2BF%2BMacha%2B2014.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--ZCNixsFyxs/VDlL2T_0aII/AAAAAAADJXI/ObQebd9fUDg/s1600/cape%2Band%2BAnne%2BMarie%2B-%2Bpic%2Bby%2BF%2BMacha%2B2014.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-j3du32tnQ1A/VDlLy04hYMI/AAAAAAADJWc/er1imIBnrmY/s1600/Janet%2BChapman%2Band%2BJonathan%2BPace%2Bof%2BTDTF-%2Bpic%2Bby%2BF%2BMacha%2B2014.jpg)
10 years ago
MichuziTANZANIA YASAINI MAKUBALIANO NA UINGEREZA YA KUKOMESHA NDOA ZA UTOTONI NA UKEKETAJI KWA WATOTO KIKE
9 years ago
MichuziBALOZI WA UINGEREZA NCHINI AONGOZA UZINDUZI WA FILAMU YA KUPINGA UKEKETAJI YA SIMULIZI HALISI YA GHATI NA RHOBI
11 years ago
Mwananchi31 Jan
Wanafunzi wahamishiwa shule nyingine
Wanafunzi 752 waliokuwa wakisoma katika Shule ya Msingi Magole ambayo nayo ilikumbwa na mafuriko yaliyotokea wiki iliyopita, wamehamishiwa katika madarasa ya akiba ya Shule ya Sekondari Magole na kutakiwa kusoma kwa awamu mbili.
9 years ago
BBCSwahili19 Dec
Lubanga na Katanga wahamishiwa DR Congo
Viongozi wa zamani wa waasi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Thomas Lubanga na Germain Katanga wamepelekwa DR Congo wakakamilishie vifungo vyao huko.
10 years ago
GPLMWILI WA ABDUL BONGE WAHAMISHIWA MUHIMBILI KWA UCHUNGUZI
Mwili wa Abdu Bonge ukitolewa katika chumba cha kuhifadhia maiti cha Hospitali ya Mwanyamala jijini Dar ili kuhamishiwa Muhimbili. …Ukiwa ndani ya gari kwa ajili ya kupelekwa Muhimbili kwa uchunguzi zaidi. Ndugu wakijiandaa na safari.…
10 years ago
Michuzi15 Dec
UPDATES: MSIBA WA MAREHEMU SHEM KARENGA WAHAMISHIWA MTAA WA UFIPA, KINONDONI, DAR ES SALAAM
TAARIFA ZILIZOTUFIKIA SASA HIVI ZINASEMA KWAMBA FAMILIA YA MAREHEMU SHEM KARENGA IMEHAMISHIA MSIBA HUO KINONDONI, MTAA WA UFIPA (JIRANI NA OFISI ZA CHADEMA).
MIPANGO YA MAZISHI INABAKI PALEPALE YAANI KESHO MAREHEMU ATASWALIWA KATIKA MSIKITI WA MANYEMA, KARIAKOO, BAADA YA SWALA YA ALASIRI NA KISHA KUELEKEA MAKABURI YA KISUTU KWA MAZISHI>
MIPANGO YA MAZISHI INABAKI PALEPALE YAANI KESHO MAREHEMU ATASWALIWA KATIKA MSIKITI WA MANYEMA, KARIAKOO, BAADA YA SWALA YA ALASIRI NA KISHA KUELEKEA MAKABURI YA KISUTU KWA MAZISHI>
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania