Lubanga na Katanga wahamishiwa DR Congo
Viongozi wa zamani wa waasi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Thomas Lubanga na Germain Katanga wamepelekwa DR Congo wakakamilishie vifungo vyao huko.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili21 Dec
Lubanga na Katanga warejeshwa Congo Dr
Mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita ICC,imewarejesha nchini Demokrasia ya Congo, waasi wawili, Thomas Lubanga na Gemain Katanga.
11 years ago
BBCSwahili06 Feb
Ukeketaji wahamishiwa Uingereza
Utamaduni huo unafanywa na jamii za watu katika Mashariki ya kati,Afrika na Asia na ni tatizo linalokithiri katika mataifa mengi ambako wanahamia.
11 years ago
Mwananchi31 Jan
Wanafunzi wahamishiwa shule nyingine
Wanafunzi 752 waliokuwa wakisoma katika Shule ya Msingi Magole ambayo nayo ilikumbwa na mafuriko yaliyotokea wiki iliyopita, wamehamishiwa katika madarasa ya akiba ya Shule ya Sekondari Magole na kutakiwa kusoma kwa awamu mbili.
10 years ago
GPLMWILI WA ABDUL BONGE WAHAMISHIWA MUHIMBILI KWA UCHUNGUZI
Mwili wa Abdu Bonge ukitolewa katika chumba cha kuhifadhia maiti cha Hospitali ya Mwanyamala jijini Dar ili kuhamishiwa Muhimbili. …Ukiwa ndani ya gari kwa ajili ya kupelekwa Muhimbili kwa uchunguzi zaidi. Ndugu wakijiandaa na safari.…
10 years ago
BBCSwahili01 Dec
ICC yakataa ombi la muasi Lubanga
Mahakama ya ICC imetupilia mbali ombio la rufaa lililowasilishwa na muasi wa zamani DRC Thomas Lubanga dhidi ya hukumu aliyopewa ya miaka 14 jela
10 years ago
BBCSwahili01 Dec
Uamuzi wasubiriwa kuhusu rufaa ya Lubanga ICC
Mahakama ya kimataifa ya ICC mjini Hague inatarajiwa kutangaza uamuzi wake leo kuhusu rufaa iliyowasilishwa na mtu wa kwanza kuhukumiwa na mahakama hio Thomas Lubanga
10 years ago
AllAfrica.Com03 Dec
Human Rights Groups Welcome Confirmation of Lubanga Sentence
AllAfrica.com
Arusha — Human rights groups have welcomed Monday's International Criminal Court confirmation of a 14-year jail sentence for former Congolese militia leader Thomas Lubanga for the war crimes of conscripting child soldiers and using them to fight.
ICC upholds Lubanga convictionWorld War 4 Report
all 2
9 years ago
BBCSwahili21 Aug
Lubanga:'Nataka kusomea chanzo cha ukabila'
Mtu wa kwanza kabisa kuhukumiwa na mahakama ya kimataifa ya makosa ya Jinai iliyoko the Hague nchini Uholanzi, ameiambia mahakam hiyo kuwa anataka kurejea nyumbani ili kusomea chanzo cha mapigano ya kikabila.
10 years ago
FIDH (Press Release)03 Dec
First ICC verdict confirmed by Appeals Chamber: Thomas Lubanga (...)
FIDH (press release)
The Appeals Chamber of the International Criminal Court (ICC) today confirmed the conviction of Thomas Lubanga Dyilo, Head of the military wing of the Union des patriotes congolais (UPC) for his responsibility in the war crimes of enlistment and ...
Dissent in Lubanga Appeal Decision Highlights Fair Trial ConcernsAllAfrica.com
ICC upholds Lubanga convictionWorld War 4 Report
all 5
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania