ICC yakataa ombi la muasi Lubanga
Mahakama ya ICC imetupilia mbali ombio la rufaa lililowasilishwa na muasi wa zamani DRC Thomas Lubanga dhidi ya hukumu aliyopewa ya miaka 14 jela
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo02 Oct
Mahakama yakataa ombi kufuta kesi ya Uamsho
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam imetupilia mbali ombi la kufutwa kwa kesi ya ugaidi inayomkabili Kiongozi wa Uamsho, Farid Ahmed na wenzake 21, kwa kuwa haina mamlaka ya kufanya hivyo.
10 years ago
BBCSwahili01 Dec
Uamuzi wasubiriwa kuhusu rufaa ya Lubanga ICC
Mahakama ya kimataifa ya ICC mjini Hague inatarajiwa kutangaza uamuzi wake leo kuhusu rufaa iliyowasilishwa na mtu wa kwanza kuhukumiwa na mahakama hio Thomas Lubanga
10 years ago
FIDH (Press Release)03 Dec
First ICC verdict confirmed by Appeals Chamber: Thomas Lubanga (...)
FIDH (press release)
The Appeals Chamber of the International Criminal Court (ICC) today confirmed the conviction of Thomas Lubanga Dyilo, Head of the military wing of the Union des patriotes congolais (UPC) for his responsibility in the war crimes of enlistment and ...
Dissent in Lubanga Appeal Decision Highlights Fair Trial ConcernsAllAfrica.com
ICC upholds Lubanga convictionWorld War 4 Report
all 5
9 years ago
StarTV20 Aug
Serikali Yakataa Ombi la UKAWA Kutumia Uwanja wa Taifa kwa ajili ya Uzinduzi wa Kampeni Za Uchaguzi Mkuu
![](http://4.bp.blogspot.com/-GEboe3gnTq8/VdVs1JxJlcI/AAAAAAAAjXU/Q4epfhqNTfg/s1600/1.jpg)
Baadhi ya Waandishi wa Habari wakifuatilia taarifa kutoka Serikalini kuhusu Chadema kutumia Uwanja wa Taifa kuzindua kampeni zake siku ya tarehe 22 Agosti, 2015 jijini Dar es Salaam. Kanusho hilo lilitolewa katika Ukumbi wa Idara...
9 years ago
BBCSwahili19 Aug
Ombi la kuishtaki Kenya ICC lakataliwa
Mahakama ya rufaa ya ICC, imetupilia mbali rufaa ya mwendesha mashtaka ya kuishtaki Kenya katika kongamano la kimataifa
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/--aG2Hg8lRHk/VX1XYZzZKdI/AAAAAAAA_zc/r_GfYTYad7w/s72-c/Ba.jpg)
AFRIKA KUSINI YAPUUZIA OMBI LA MAHAKAMA YA ICC LA KUMKAMATA RAIS AL-BASHIR
![](http://4.bp.blogspot.com/--aG2Hg8lRHk/VX1XYZzZKdI/AAAAAAAA_zc/r_GfYTYad7w/s640/Ba.jpg)
Kwenye taarifa yake, ICC imesema kuna waranti mbili za kumkamata Bashir anayetakiwa na mahakama hiyo kuhusiana na tuhuma za kuhusika na uhalifu ulitokea katika jimbo la Darfur na kwamba anakabiliwa na kesi inayohusiana na uhalifu wa kivita na mauaji ya...
9 years ago
BBCSwahili21 Dec
Lubanga na Katanga warejeshwa Congo Dr
Mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita ICC,imewarejesha nchini Demokrasia ya Congo, waasi wawili, Thomas Lubanga na Gemain Katanga.
9 years ago
BBCSwahili19 Dec
Lubanga na Katanga wahamishiwa DR Congo
Viongozi wa zamani wa waasi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Thomas Lubanga na Germain Katanga wamepelekwa DR Congo wakakamilishie vifungo vyao huko.
9 years ago
BBCSwahili21 Aug
Lubanga:'Nataka kusomea chanzo cha ukabila'
Mtu wa kwanza kabisa kuhukumiwa na mahakama ya kimataifa ya makosa ya Jinai iliyoko the Hague nchini Uholanzi, ameiambia mahakam hiyo kuwa anataka kurejea nyumbani ili kusomea chanzo cha mapigano ya kikabila.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania