Mshukiwa wa ugaidi ajisalimisha kwa polisi Kenya
Mmoja wa washukiwa wanne wa ugaidi waliokwepa msako wa polisi mjini Mombasa Jumatatu amejisalimisha kwa polisi akisindikizwa na babake.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili28 Aug
Mshukiwa wa kike wa ugaidi asakwa-Kenya
Kenya imetoa zawadi ya $20,000 kwa mtu yeyote atakaye toa habari za kukamatwa kwa mshukiwa mmoja wa ugaidi wa kike Rukia Faraj
10 years ago
Mwananchi28 Mar
Gwajima ajisalimisha polisi, atakiwa kwa DC
>Wakati Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima akijisalimisha kwa Jeshi la Polisi, Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda amemtaka aripoti ofisini kwake keshokutwa kutoa maelezo kuhusiana na tuhuma za kumkashifu kiongozi mwenzake wa dini.
9 years ago
Habarileo27 Aug
Polisi kupeleka wapelelezi Kenya tukio la ugaidi
POLISI imesema inaandaa mipango ya kumtuma mtu nchini Kenya kwa ajili ya kupata taarifa kamili kuhusu, madai ya kukamatwa kwa Watanzania sita na kuhusishwa na ugaidi nchini Kenya.
9 years ago
BBCSwahili05 Jan
Polisi wasaka washukiwa wanne wa ugaidi Kenya
Maafisa wa usalama nchini Kenya wanawasaka washukiwa wanne wa ugaidi ambao wanadaiwa kukwepa msako wa polisi katika nyumba moja Mombasa.
10 years ago
BBCSwahili09 Jun
FIFA;mtuhumiwa ajisalimisha kwa polisi Italia
Mfanyibiashara mmoja aliyekuwa miongoni mwa watu 14 waliotajwa katika kashfa ya rushwa ya FIFA amejisalimisha kwa polisi nchini Italia
11 years ago
BBCSwahili17 Jul
Mshukiwa wa ugaidi mkenya akamatwa TZ
Mmoja wa watuhumiwa wa matukio ya ugaidi nchini Kenya,Jihad Gaibon Swaleh, amefikishwa mahakamani nchini Tanzania.
9 years ago
BBCSwahili20 Nov
Mwili wa mshukiwa wa 3 wa ugaidi wapatikana
Mwili wa 3 umepatikana katika nyumba ya Saint-Denis iliovamiwa na maafisa wa polisi kuhusiana na shambulizi la Paris,kulingana na kiongozi wa mashtaka nchini humo.
9 years ago
BBCSwahili30 Aug
Mshukiwa wa ugaidi ashtakiwa Bangkok
Mtu aliyekamatwa kuhusiana na mlipuko wa bomu mjini Bangkok ameshtakiwa kwa kosa la kupatikana na silaha.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Q3-D8cZEiTI/VRVxPSQrLCI/AAAAAAAHNrE/pYCTosb7Chk/s72-c/unnamed.jpg)
ASKOFU JOSEPHAT GWAJIMA AJISALIMISHA POLISI KWA MKUU WA UPELELEZI KANDA MAALUM DAR ES SALAAM
![](http://1.bp.blogspot.com/-Q3-D8cZEiTI/VRVxPSQrLCI/AAAAAAAHNrE/pYCTosb7Chk/s1600/unnamed.jpg)
Askofu Gwajima alifika kituo kikuu cha Polisi saa nane na dakika kumi na tano mchana wa tarehe 27/03/2015. Mara baada ya kufika kituoni hapo alielekezwa kwenda kumuona Mkuu wa Upelelezi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam SACP Constantine Masawe ambaye alikuwa akisubiri kufika...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania