Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi wasaka washukiwa wanne wa ugaidi Kenya

Maafisa wa usalama nchini Kenya wanawasaka washukiwa wanne wa ugaidi ambao wanadaiwa kukwepa msako wa polisi katika nyumba moja Mombasa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Watanzania washukiwa ugaidi Kenya

Polisi nchini Tanzania inafanya mpango wa kuwasilliana na wenzao wa Kenya ili kujua hatima ya Watanzania waliokamatwa nchini humo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mshukiwa wa ugaidi ajisalimisha kwa polisi Kenya

Mmoja wa washukiwa wanne wa ugaidi waliokwepa msako wa polisi mjini Mombasa Jumatatu amejisalimisha kwa polisi akisindikizwa na babake.

 

9 years ago

Habarileo

Polisi kupeleka wapelelezi Kenya tukio la ugaidi

POLISI imesema inaandaa mipango ya kumtuma mtu nchini Kenya kwa ajili ya kupata taarifa kamili kuhusu, madai ya kukamatwa kwa Watanzania sita na kuhusishwa na ugaidi nchini Kenya.

 

9 years ago

BBCSwahili

Washukiwa 38 wa ugaidi wakamatwa TZ

Polisi nchini Tanzania wanasema wamewakamata washukiwa 38 wa ugaidi na kunasa shehena ya silaha baada ya operesheni kali

 

10 years ago

BBCSwahili

Washukiwa wa ugaidi wakamatwa Italia

Polisi nchini Italia wanasema kuwa wamewakamata watu 18 wanaoshukiwa kuwa wanachama wa Islamic State

 

10 years ago

Habarileo

Washukiwa ugaidi wanaswa Morogoro

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Morogoro, Leonard Paulo.POLISI mkoani Morogoro kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama imekamata washukiwa wa ugaidi waliokuwa na mifuko mikubwa iliyokuwa na majambia na bunduki kadhaa aina ya Shot gun.

 

10 years ago

BBCSwahili

Washukiwa wa ugaidi wakamatwa Australia

Polisi nchini Australia wamewakamata wanaume watano kufuatia oparesheni ya kupambana na ugaidi kwenye mji wa Melbourne.

 

10 years ago

BBCSwahili

Washukiwa wa ugaidi wakamatwa Ulaya

Polisi katika nchi kadhaa barani Ulaya wamewakamata washukiwa kadhaa wenye itikadi kali za kidini katika misako iliyofanywa usiku kucha.

 

10 years ago

Mwananchi

Tuhuma za washukiwa ugaidi zaibua mapya

Chama cha Wanasheria Zanzibar (ZLS), kimeitaka Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Wanasheria Zanzibar wataka tume huru ichunguze madai ya kukiukwa sheria.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani