Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Washukiwa wa ugaidi wakamatwa Ulaya

Polisi katika nchi kadhaa barani Ulaya wamewakamata washukiwa kadhaa wenye itikadi kali za kidini katika misako iliyofanywa usiku kucha.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Washukiwa 38 wa ugaidi wakamatwa TZ

Polisi nchini Tanzania wanasema wamewakamata washukiwa 38 wa ugaidi na kunasa shehena ya silaha baada ya operesheni kali

 

10 years ago

BBCSwahili

Washukiwa wa ugaidi wakamatwa Australia

Polisi nchini Australia wamewakamata wanaume watano kufuatia oparesheni ya kupambana na ugaidi kwenye mji wa Melbourne.

 

10 years ago

BBCSwahili

Washukiwa wa ugaidi wakamatwa Italia

Polisi nchini Italia wanasema kuwa wamewakamata watu 18 wanaoshukiwa kuwa wanachama wa Islamic State

 

10 years ago

BBCSwahili

Shambulio Garissa:Washukiwa 5 wakamatwa

Serikali ya Kenya inasema watu 5 wanazuiliwa kufuatia shambulizi lililondeshwa na kundi la Al shabaab huko Garissa

 

11 years ago

BBCSwahili

Washukiwa wa mauaji Mpeketoni wakamatwa

Polisi nchini Kenya wamesema kuwa wamewakamata washukiwa kadhaa wa mashambulizi yaliyofanyika mjini Mpeketoni na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 60.

 

9 years ago

BBCSwahili

Washukiwa 14 wa 'Islamic state' wakamatwa

Uhispania na Morocco zimewatia mbaroni watu 14 katika operesheni ya pamoja, iliyowalenga washukiwa wanaoandikishwa kujiunga na kundi la wanamgambo wa Islamic State.

 

10 years ago

BBCSwahili

Washukiwa zaidi wakamatwa Tunisia

Afisa wa serikali ya amesema washukiwa 12 wamekamatwa kwa kuhusika na shambulio la Sousse

 

10 years ago

Habarileo

Washukiwa ugaidi wanaswa Morogoro

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Morogoro, Leonard Paulo.POLISI mkoani Morogoro kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama imekamata washukiwa wa ugaidi waliokuwa na mifuko mikubwa iliyokuwa na majambia na bunduki kadhaa aina ya Shot gun.

 

9 years ago

BBCSwahili

Watanzania washukiwa ugaidi Kenya

Polisi nchini Tanzania inafanya mpango wa kuwasilliana na wenzao wa Kenya ili kujua hatima ya Watanzania waliokamatwa nchini humo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani