Washukiwa wa ugaidi wakamatwa Ulaya
Polisi katika nchi kadhaa barani Ulaya wamewakamata washukiwa kadhaa wenye itikadi kali za kidini katika misako iliyofanywa usiku kucha.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili01 Sep
Washukiwa 38 wa ugaidi wakamatwa TZ
Polisi nchini Tanzania wanasema wamewakamata washukiwa 38 wa ugaidi na kunasa shehena ya silaha baada ya operesheni kali
10 years ago
BBCSwahili18 Apr
Washukiwa wa ugaidi wakamatwa Australia
Polisi nchini Australia wamewakamata wanaume watano kufuatia oparesheni ya kupambana na ugaidi kwenye mji wa Melbourne.
10 years ago
BBCSwahili24 Apr
Washukiwa wa ugaidi wakamatwa Italia
Polisi nchini Italia wanasema kuwa wamewakamata watu 18 wanaoshukiwa kuwa wanachama wa Islamic State
10 years ago
BBCSwahili04 Apr
Shambulio Garissa:Washukiwa 5 wakamatwa
Serikali ya Kenya inasema watu 5 wanazuiliwa kufuatia shambulizi lililondeshwa na kundi la Al shabaab huko Garissa
11 years ago
BBCSwahili18 Jun
Washukiwa wa mauaji Mpeketoni wakamatwa
Polisi nchini Kenya wamesema kuwa wamewakamata washukiwa kadhaa wa mashambulizi yaliyofanyika mjini Mpeketoni na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 60.
9 years ago
BBCSwahili25 Aug
Washukiwa 14 wa 'Islamic state' wakamatwa
Uhispania na Morocco zimewatia mbaroni watu 14 katika operesheni ya pamoja, iliyowalenga washukiwa wanaoandikishwa kujiunga na kundi la wanamgambo wa Islamic State.
10 years ago
BBCSwahili02 Jul
Washukiwa zaidi wakamatwa Tunisia
Afisa wa serikali ya amesema washukiwa 12 wamekamatwa kwa kuhusika na shambulio la Sousse
10 years ago
Habarileo28 Jun
Washukiwa ugaidi wanaswa Morogoro
POLISI mkoani Morogoro kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama imekamata washukiwa wa ugaidi waliokuwa na mifuko mikubwa iliyokuwa na majambia na bunduki kadhaa aina ya Shot gun.
9 years ago
BBCSwahili26 Aug
Watanzania washukiwa ugaidi Kenya
Polisi nchini Tanzania inafanya mpango wa kuwasilliana na wenzao wa Kenya ili kujua hatima ya Watanzania waliokamatwa nchini humo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania