Polisi kupeleka wapelelezi Kenya tukio la ugaidi
POLISI imesema inaandaa mipango ya kumtuma mtu nchini Kenya kwa ajili ya kupata taarifa kamili kuhusu, madai ya kukamatwa kwa Watanzania sita na kuhusishwa na ugaidi nchini Kenya.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili05 Jan
Polisi wasaka washukiwa wanne wa ugaidi Kenya
9 years ago
BBCSwahili06 Jan
Mshukiwa wa ugaidi ajisalimisha kwa polisi Kenya
10 years ago
Mtanzania18 Apr
Tukio la ‘ugaidi’ latesa wafanyabiashara
Na Ramadhan Libenanga, Morogoro
WAFANYABIASHARA wa mchele na nyanya waliopo wilaya za Kilombero na Kilosa mkoani Morogoro wamelalamikia kupotea kwa wateja wao kutokana na tukio la watu tisa kukamatwa na Jeshi la Polisi wakiwa na milipuko, silaha za jadi na sare za jeshi katika Msikiti wa Salah Al-Fajih, uliopo Kijiji cha Chikago, Kata ya Kidatu.
MTANZANIA Jumamosi lilitembelea katika vijiji vya Rauha, Kidodi, Ruhembe, Mkamba, Kidatu na Chikago kwa upande wa wilaya zote mbili na lilibaini...
10 years ago
GPLMAUAJI YA POLISI 2 MKOA WA PWANI UGAIDI UGAIDI
5 years ago
MichuziJESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA LAKAMATA WATUHUMIWA WA TUKIO LA MAUAJI, AKIWEMO POLISI
Ni kwamba mnamo tarehe 20.06.2020 majira ya saa 21:00 Usiku huko katika nyumba ya kulala wageni iitwayo “The...
11 years ago
BBCSwahili26 Feb
Kenya kupeleka majeshi Sudan Kusini
10 years ago
Habarileo06 Dec
Wawili wajeruhiwa na polisi katika tukio la fumanizi
VIJANA wawili wakazi wa mji wa Kahama mkoani Shinyanga wamelazwa katika Hospitali ya Wilaya ya Kahama baada ya kupigwa na polisi wa Kituo Kikuu cha Wilaya, waliokuwa wakimwokoa askari mwenzao aliyefumaniwa akiwa na mke wa mmoja wa vijana hao kwenye hoteli moja mjini hapa.
10 years ago
Habarileo11 Apr
Mawakili wa Gwajima wataka uhalali wa kupeleka nyaraka Polisi
MAWAKILI wa Askofu wa kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, wameandika barua kuliomba Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, kuandika kimaandishi nyaraka wanazozihitaji azipeleke pamoja na vifungu vya sheria vinavyomtaka awasilishe nyaraka hizo.
10 years ago
Bongo Movies22 Jan
Martin Kadinda Akanusha Habari ya Wema Kupeleka Diamond Polisi
Meneja wa mwigizaji Wema Sepetu, Martnin Kadinda amekaunsha habari ya Wema kumpeleka polisi Diamond kwa kumtapeli shilingi milioni 10, iliyochapishwa leo kwenye Gazeti la Mtanzania.
Martin amesema kuwa Wema na Diamond hawadaiani chochote na kwamba habari hizo ni za uongo. “Unajua tatizo ni kwamba hatujajua source ni nani,” amesema Martin. “Kwa sababu taarifa
ikishaingia kwenye social network everybody posts, kwahiyo sisi tunamtafuta nani ameianzisha hiyo stori. “We don’t have any issue with...