Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kenya kupeleka majeshi Sudan Kusini

Kamati ya usalama ya Kenya imependekeza kupelekwa kwa wanajeshi wa kudumisha amani nchini Sudan Kusini

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Tanzania kupeleka majeshi Sudan Kusini

Serikali inatarajia kupeleka kikosi kimoja cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) huko Sudan Kusini kwa ajili ya kulinda amani kutokana na vita ya wenyewe kwa wenyewe inayoendelea.

 

11 years ago

BBCSwahili

Sudan Kusini yatetea majeshi ya UG

Waziri wa mashauri ya Nchi za kigeni wa Sudan Kusini Barnaba Marial Benjamin, ametetea kuwepo kwa wanajeshi wa Uganda Nchini mwake.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mkuu wa majeshi afutwa kazi Sudan.Kusini

Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir amemfuta kazi mkuu wa majeshi yake Generali James Hoth Mai bila ya kutoa sababu yoyote

 

9 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya China yalinda amani Sudan Kusini

Uchina imeanza kutuma mamia ya wanajeshi wake nchini Sudan Kusini mapema mwaka huu kujiunga katika kikosi cha Umoja wa Mataifa

 

11 years ago

BBCSwahili

IGAD kupeleka wanajeshi S. Kusini

Mataifa ya Afrika Mashariki yameidhinisha kupelekwa kikosi cha wanajeshi 5,500 nchini Sudan Kusini ili kumaliza mgogoro wa kisiasa ambao umekuwa ukiendelea kwa wiki kadhaa sasa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Marekani sasa kupeleka kuku Afrika Kusini

Afrika Kusini imetia saini makubaliano na Marekani kuruhusu Marekani kuuza kuku wake nchini humo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Majeshi Sudan K. yajipanga kupigana

Majeshi ya Sudan Kusini yanajiandaa kupambana na waasi katika mji wa Bor, Rais Salva Kiir amesema.

 

9 years ago

BBCSwahili

Sudan K: Uganda inaondoa majeshi yake

Sudan Kusini inasema kuwa majeshi ya Uganda yaliyoko Jonglei yameanza kuondoka nchini humo

 

10 years ago

Vijimambo

MKUTANO WA MAJESHI YA ANGA YALIYOPO KUSINI MWA AFRIKA WAFANYIKA ZANZIBAR

Meja Generali Joseph Furaha Kapwani akizungumza wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Utangulizi wa Mkutano wa Majeshi ya Anga yalioko chini ya Kusini mwa Afrika, unaotarajiwa kufunguliwa kesho katika ukumbi wa hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mazizini Zanzibar akizungumza na Wajumbe wa Mkutano huo.Wajumbe washiriki wa Mkutano huo wakimsikiliza Meja Generali Joseph Furaha, akizungumza wakati wa mkutano huo uliofanyika katika hoteli ya Zanzibar Beach Resort Zanziba.Wajumbe kutoka Angola wakiwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani