IGAD kupeleka wanajeshi S. Kusini
Mataifa ya Afrika Mashariki yameidhinisha kupelekwa kikosi cha wanajeshi 5,500 nchini Sudan Kusini ili kumaliza mgogoro wa kisiasa ambao umekuwa ukiendelea kwa wiki kadhaa sasa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili25 Aug
IGAD yajadili Sudan Kusini
Marais wa Igad wanajadili mzozo nchini Sudan Kusini uliodumu kwa zaidi ya miezi saba sasa.
11 years ago
BBCSwahili31 Jan
IGAD:Waangalizi kwenda S. Kusini
Shirika la kikanda la IGAD, limeamua kuwa waangalizi wanapaswa kwenda nchini Sudan Kusini kuhakikisha kuwa mkataba wa kusitisha mapiganop unatekelezwa.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5z08nBj-B2g/XlK6IyAKa0I/AAAAAAALe74/7I4oDmjHkPAM8SimU5vWwZynrMi8ZuyUgCLcBGAsYHQ/s72-c/4bpu417be2760e1adm7_800C450.jpg)
UN na IGAD zapongeza uundwaji wa serikali mpya Sudan Kusini
![](https://1.bp.blogspot.com/-5z08nBj-B2g/XlK6IyAKa0I/AAAAAAALe74/7I4oDmjHkPAM8SimU5vWwZynrMi8ZuyUgCLcBGAsYHQ/s640/4bpu417be2760e1adm7_800C450.jpg)
Filippo Grandi, Kamishna wa UNHCR amesema katika taarifa kuwa, serikali mpya inahuisha matumaini ya amani na mustakabali mzuri kwa watu wa nchi hiyo ambao wameteseka kutokana na mgogoro wa muda mrefu.
Nayo IGAD imeahidi kuendelea kuiunga mkono...
11 years ago
Mwananchi21 Feb
Tanzania kupeleka majeshi Sudan Kusini
Serikali inatarajia kupeleka kikosi kimoja cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) huko Sudan Kusini kwa ajili ya kulinda amani kutokana na vita ya wenyewe kwa wenyewe inayoendelea.
11 years ago
BBCSwahili26 Feb
Kenya kupeleka majeshi Sudan Kusini
Kamati ya usalama ya Kenya imependekeza kupelekwa kwa wanajeshi wa kudumisha amani nchini Sudan Kusini
9 years ago
BBCSwahili17 Nov
Marekani sasa kupeleka kuku Afrika Kusini
Afrika Kusini imetia saini makubaliano na Marekani kuruhusu Marekani kuuza kuku wake nchini humo.
11 years ago
BBCSwahili14 Jan
Kitendawili cha wanajeshi wa UG S.Kusini
Wabunge nchini UG leo wanajadili hatua ya serikali kuwapeleka bila idhini ya bunge wanajeshi wa taifa hilo nchini Sudan Kusini.
11 years ago
BBCSwahili17 Dec
Wanajeshi 66 wameuawa Sudan Kusini
Afisaa mkuu msimamizi wa hospitali ya kijeshi ya Juba, Brigedia Gen Dr Ajak Bullen,ameambia shirika la redio la Miraya mjini Juba kuwa wanajeshi 66 wameuawa katika mapigano ya siku mbili.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
WANAJESHI 66 WAUAWA SUDAN KUSINI
Afisaa mkuu msimamizi wa hospitali ya kijeshi ya Juba, Brigedia Gen Dr Ajak Bullen,ameambia shirika la redio la Miraya mjini Juba kuwa wanajeshi 66 wameuawa katika mapigano ya siku mbili. Watafanyiwa mazishi ya pamoja.Wakati huohuo afisaa mmoja wa serikali amesema kuwa watu 26 wameuawa katika mapigano ya siku mbili mjini Juba.Zaidi ya watu miamoja wamejeruhiwa huku maafisa wakuu wakijaribu kudhibiti mji huo kufuatia kile ambacho...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania