Marekani sasa kupeleka kuku Afrika Kusini
Afrika Kusini imetia saini makubaliano na Marekani kuruhusu Marekani kuuza kuku wake nchini humo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi27 Aug
Mwadui sasa kujinoa Afrika Kusini
Kocha wa Mwadui, Jamhuri Kihwelu ‘Julio’ ndiye pekee ambaye msimu huu atakipeleka kikosi chake nje ya nchi kwa ajili ya kujifua kujiandaa na msimu mpya wa ligi.
9 years ago
Bongo517 Oct
Ommy Dimpoz ashoot video mbili Marekani na Afrika Kusini
Baada ya ushindi wa tuzo ya Afrimma 2015, Ommy Dimpoz ali-tease nyimbo mbili tofauti Instagram akiashiria kuwa anakaribia kupakua wimbo mpya. Katika post hizo mr PKP aliandika; “Vipi? Mko Tayari Baada ya Uchaguzi Tuachie MABODY?”, na nyingine “I can’t wait @nahreel on the beat”. Lakini kuna uwezekano kionjo ulichokisikia kisiwe ni cha wimbo utakaotoka kwasababu […]
5 years ago
BBCSwahili17 Apr
Virusi vya corona: Simba sasa wanapumzika barabarani Afrika Kusini
Katika moja ya hifadhi kubwa ya wanyama pori barani Afrika simba wameamua kuchukua fursa iliyotolewa na mbinu za kukabiliana na maambukizi ya corona kujipumzisha barabarani.
11 years ago
Bongo504 Aug
Agnes Masogange apata uraia wa Afrika kusini na kubadili jina, sasa aitwa ‘Thando’
Video vixen maarufu wa Bongo Agnes Gerald maarufu zaidi kwa jina la Agnes Masogange ambaye kwa miezi kadhaa sasa amehamishia makazi yake Afrika Kusini, amebadili jina na huenda akawa raia wa huko! Kupita Instagram mrembo huyo mwenye umbo ‘matata’ alianza kwa kupost picha ya pasi ya kusafiria ya Afrika Kusini kama ishara kwamba amepata uraia […]
5 years ago
BBCSwahili19 Feb
Afrika Kusini yaonywa na Marekani kuhusu mpango wa kuchukua ardhi za wazungu bila fidia
Waziri wa mambo ya nje wa Marekani, Mike Pompeo ameonya mipango ya serikali ya Afrika Kusini kunyakua ardhi pasipo fidia kuwa ''utaleta madhara mabaya sana'' kwa uchumi na taifa kwa ujumla.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zK0XWiXE0jI/U5_Vx5F0wwI/AAAAAAAFrJo/00UttiiyYrw/s72-c/article-2659528-1ED5507100000578-548_636x422.jpg)
marekani yaifunga Ghana 2-1 kulipiza kisasi cha kutolewa nayo mapema mwaka 2010 afrika kusini
![](http://4.bp.blogspot.com/-zK0XWiXE0jI/U5_Vx5F0wwI/AAAAAAAFrJo/00UttiiyYrw/s1600/article-2659528-1ED5507100000578-548_636x422.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-p8o9V0D5n2E/U5_V45ejcjI/AAAAAAAFrJw/DYDuJXYpjEI/s1600/article-2659528-1ED4DAD600000578-452_634x413.jpg)
11 years ago
BBCSwahili22 Jan
IGAD kupeleka wanajeshi S. Kusini
Mataifa ya Afrika Mashariki yameidhinisha kupelekwa kikosi cha wanajeshi 5,500 nchini Sudan Kusini ili kumaliza mgogoro wa kisiasa ambao umekuwa ukiendelea kwa wiki kadhaa sasa.
11 years ago
BBCSwahili26 Feb
Kenya kupeleka majeshi Sudan Kusini
Kamati ya usalama ya Kenya imependekeza kupelekwa kwa wanajeshi wa kudumisha amani nchini Sudan Kusini
11 years ago
Mwananchi21 Feb
Tanzania kupeleka majeshi Sudan Kusini
Serikali inatarajia kupeleka kikosi kimoja cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) huko Sudan Kusini kwa ajili ya kulinda amani kutokana na vita ya wenyewe kwa wenyewe inayoendelea.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania