IGAD:Waangalizi kwenda S. Kusini
Shirika la kikanda la IGAD, limeamua kuwa waangalizi wanapaswa kwenda nchini Sudan Kusini kuhakikisha kuwa mkataba wa kusitisha mapiganop unatekelezwa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili25 Aug
IGAD yajadili Sudan Kusini
11 years ago
BBCSwahili22 Jan
IGAD kupeleka wanajeshi S. Kusini
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5z08nBj-B2g/XlK6IyAKa0I/AAAAAAALe74/7I4oDmjHkPAM8SimU5vWwZynrMi8ZuyUgCLcBGAsYHQ/s72-c/4bpu417be2760e1adm7_800C450.jpg)
UN na IGAD zapongeza uundwaji wa serikali mpya Sudan Kusini
![](https://1.bp.blogspot.com/-5z08nBj-B2g/XlK6IyAKa0I/AAAAAAALe74/7I4oDmjHkPAM8SimU5vWwZynrMi8ZuyUgCLcBGAsYHQ/s640/4bpu417be2760e1adm7_800C450.jpg)
Filippo Grandi, Kamishna wa UNHCR amesema katika taarifa kuwa, serikali mpya inahuisha matumaini ya amani na mustakabali mzuri kwa watu wa nchi hiyo ambao wameteseka kutokana na mgogoro wa muda mrefu.
Nayo IGAD imeahidi kuendelea kuiunga mkono...
11 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE AONGOZA UJUMBE WA WAANGALIZI WA TANZANIA KWENYE UCHAGUZI NCHINI AFRIKA KUSINI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-IlPpOZe_HoA/VVHrWOKAmuI/AAAAAAAHW1Q/JcMdGnzMqvM/s72-c/tff_LOGO1.jpg)
TAIFA STARS KWENDA AFRIKA KUSINI KESHO
![](http://1.bp.blogspot.com/-IlPpOZe_HoA/VVHrWOKAmuI/AAAAAAAHW1Q/JcMdGnzMqvM/s400/tff_LOGO1.jpg)
Michuano ya COSAFA inatarajiwa kuanza kutimua vumbi Mei 17 mpaka Mei 30, 2015 katika viwanja vya Olympia Park na Moruleng jimbo la North West Province nchini Afrika Kusini ikishirikisha nchi za Kusini mwa Afrika huku Tanzania na Ghana zikiwa ni nchi waalikwa.
Taifa Stars itaondoka jijini Dar es salaam kesho majira ya saa 1 jioni, kwa...
10 years ago
Habarileo30 Jun
Kwenda Kusini raha tupu, Ndundu- Somanga imekamilika
WANANCHI wa Mikoa ya Lindi na Mtwara wataendelea kunufaika zaidi baada ya kukamilika kwa ujenzi wa kipande cha Barabara ya Ndundu-Somanga yenye urefu wa kilomita 60 kinachounganisha Mikoa ya Pwani, Lindi na Mtwara.
9 years ago
Bongo507 Nov
Mwana FA kwenda Afrika Kusini kushoot video ya wimbo mpya
![FA](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/FA-300x194.jpg)
Mwana Fa ni miongoni mwa wasanii waliositisha kazi zao za muziki ili kupisha mambo ya kampeni pamoja na uchaguzi, na sasa baada ya hayo yote kumalizika yuko tayari kurejea kwenye uwanja wake wa kujidai, yaani muziki.
Binamu amesema kuwa ana kazi nyingi ambazo amezifanya na anaendelea kufanya zingine, “Kweli nina kazi wala sio kazi moja wala sio kazi mbili, yani nina kazi kadhaa na wiki ijayo narekodi nyingine,” aliiambia Planet Bongo ya East Africa Radio. “ lakini haya mambo ya uchaguzi...
9 years ago
Bongo530 Nov
Mo Music kwenda Afrika Kusini kushoot video ya ‘Skendo’ na director huyu…
![Mo Music](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Mo-Music-300x194.jpg)
Muimbaji wa Bongo fleva, Moshi Katemi maarufu kama Mo Music anatarajia kwenda nchini Afrika Kusini kushoot video ya wimbo wake mpya ‘Skendo’ aliouachia hivi karibuni.
Hit Maker huyo wa ‘Basi Nenda’ amesema licha ya kuwa anaenda kushoot nje ya nchi lakini atamtumia director wa hapa nyumbani Adam Juma ambaye ndiye alishoot video zake mbili zilizopita.
“Sitaki kuwaangusha mashabiki wangu, nitakwenda Afrika Kusini kufanya video ya Skendo ila nitamtumia Adam Juma kwa sababu ni mwongozaji bora na...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-75m9JwyvEOU/U_dHdyCQfyI/AAAAAAAGBbw/QF3aM04B6Hs/s72-c/IMG-20140822-WA0001.jpg)
washindi watatu wa kwanza wa Miss Temeke kwenda nchini Afrika Kusini
![](http://4.bp.blogspot.com/-75m9JwyvEOU/U_dHdyCQfyI/AAAAAAAGBbw/QF3aM04B6Hs/s1600/IMG-20140822-WA0001.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-QhYCQfUVuQ4/U_dHeTylZFI/AAAAAAAGBb0/XyvFmKaUEWo/s1600/IMG-20140822-WA0002.jpg)