TAIFA STARS KWENDA AFRIKA KUSINI KESHO

Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kesho jumatano inatarajiwa kusafiri kuelekea nchini Afrika Kusini kwa ajili ya kushiriki michuano ya kombe la COSAFA.
Michuano ya COSAFA inatarajiwa kuanza kutimua vumbi Mei 17 mpaka Mei 30, 2015 katika viwanja vya Olympia Park na Moruleng jimbo la North West Province nchini Afrika Kusini ikishirikisha nchi za Kusini mwa Afrika huku Tanzania na Ghana zikiwa ni nchi waalikwa.
Taifa Stars itaondoka jijini Dar es salaam kesho majira ya saa 1 jioni, kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
KIKOSI CHA TAIFA STARS KUELEKEA NCHINI AFRIKA KUSINI KESHO

Taifa Stars inayodhaminiwa na Kilimanjaro Premium Lager itawasili saa 9 asubuhi kesho (Julai 30 mwaka huu) kwa ndege ya Fastjet kutoka Tukuyu mkoani Mbeya, na baadaye jioni kuunganisha safari ya Afrika Kusini.
Mechi hiyo ya marudiano ya raundi ya...
10 years ago
BBCSwahili12 May
Taifa Stars yaelekea Afrika ya Kusini
11 years ago
Mwananchi01 Aug
Taifa Stars yajifua Afrika Kusini
9 years ago
GPL
TAIFA STARS YAENDELEA NA MAZOEZI AFRIKA KUSINI LEO
10 years ago
Mwananchi15 Oct
Taifa Stars kuweka kambi Afrika Kusini kujiandaa na Algeria
10 years ago
GPL
FASTJET KUISAFIRISHA TAIFA STARS KWENDA ALGERIA
11 years ago
GPL
WAZOEFU TAIFA STARS KUTAJWA KESHO