Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FASTJET KUISAFIRISHA TAIFA STARS KWENDA ALGERIA

 Ofisa Habari wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Baraka Kizuguto (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu timu ya taifa Taifa Stars kwenda nchini, Algeria kwa mchezo utakaofanyika Novemba 17 mwaka huu. Katibu wa Kamati ya Timu ya Taifa Stars, Teddy Mapunda (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu timu hiyo kwenda nchini...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya ndege ya Fastjet kuisafirisha Timu ya Taifa Stars kwenda Algeria

Ofisa Habari wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Baraka Kizuguto (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu timu ya taifa Taifa Stars kwenda nchini, Algeria kwa mchezo utakaofanyika Novemba 17 mwaka huu.

Katibu wa Kamati ya Timu ya Taifa Stars, Teddy Mapunda (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu timu hiyo kwenda nchini Algeria kushiriki  mchezo wa marudiano utakaofanyika Novemba 17 ...

 

9 years ago

Mtanzania

Taifa Stars yaitesa Algeria

Pg 32ABDUCADO EMMANUEL NA THERESIA GASPER

WAKATI timu ya Taifa ya Tanzania ikitarajia kurudiana na Algeria ‘The Desert Foxes’ kwenye Uwanja wa Mustapha Tchaker jijini Blida leo saa 3:15 usiku, Taifa Stars imeonekana kuwatesa wapinzani hao kuelekea mchezo huo wa raundi ya pili kufuzu Fainali za Kombe la Dunia 2018 nchini Urusi.

Kiwango kikubwa walichokionyesha Stars kwenye mchezo wa kwanza uliomalizika kwa sare ya mabao 2-2, bado kimezidi kuwavuruga Algeria ambao hadi sasa hawaamini kama...

 

9 years ago

Habarileo

Taifa Stars kuiendea Algeria ng’ambo

TIMU ya soka ya Taifa Tanzania ‘Taifa Stars’ inatarajiwa kuweka kambi ya siku 12 nje ya nchi kwa ajili ya maandalizi ya mechi ya kufuzu Kombe la Dunia na ile ya Mataifa ya Afrika (AFCON). Stars itacheza na Algeria Novemba 17 katika mchezo wa awali wa kuwania kufuzu kwa fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika Urusi mwaka 2018.

 

9 years ago

Michuzi

SIMU TV: MECHI YA TAIFA STARS NA ALGERIA

SIMU.TV: Taifa Stars na Algeria wazichapa katika uwanja wa taifa jijini  Dar es salaam ili kufuzu kuwania kombe la dunia;  https://youtu.be/i5DZb0UDAZU SIMU.TV Mambo ya Samatta sio ya kitoto  licha ya mpira kuwa wa moto kwelikweli kwa timu zote mbili  za Taifa stars na timu ya Algeria;  https://youtu.be/c6swRxcEjm8 SIMU.TV Huku ni kukosa bahati kwa mechi ya leo au? Angalia hali ilivyo dimbani kipindi cha kwanza. Hebu toa tathmini yako binafsi ;  https://youtu.be/_9xKvwLCrEg  SIMU.TV Mgagaa na...

 

9 years ago

Mwananchi

Taifa Stars ijiamini iweze kuishinda Algeria

Mbio za kusaka tiketi ya kuwakilisha Afrika kwenye Kombe la Dunia mwaka 2018 nchini Urusi kwa Tanzania zinaendelea leo kwa Taifa Stars kuikabili Algeria au Desert Warriors.

 

9 years ago

Bongo5

Mastaa wazungumzia Taifa Stars kufungwa 7-0 na Algeria

????????????????????????????????????

Baada ya timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars kutupwa nje ya mbio za kuwania kufuzu kombe la dunia mwaka 2018 nchini Urusi kwa aibu kubwa ya mabao 7-0 kutoka kwa Algeria, mastaa na wadau mbalimbali wa michezo wametoa maoni yao.

????????????????????????????????????

Kupitia kurasa za kijamii haya ni maoni yao:

Ridhiwani Kikwete

That Moment we realise that we wasted Five Open chances to Score on our first Leg , Is when we found

JB

Hakuna maajabu kwenye mpira..kama unajua unajua tu…tusiwalaumu..tutengeneze timu…tena tuanze na...

 

9 years ago

Habarileo

Pambano Taifa Stars, Algeria kesho gumzo

PAMBANO la kuwania kufuzu kwa fainali za Kombe la Dunia nchini Urusi mwaka 2018 kati ya timu ya soka ya Tanzania `Taifa Stars’ dhidi ya Algeria, linalotarajiwa kupigwa kesho Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, limekuwa gumzo miongoni mwa mashabiki wa soka ndani na nje ya nchi.

 

9 years ago

Bongo Movies

Maneno ya JB Baada ya Taifa Stars Kufungwa na Algeria

Staa wa Bongo Movies, Jacob Stephen ‘JB’ ambaye ni moja kati ya mastaa wa bongo moivies wanaopenda soka, ametoa wito wa kutowabeza Taifa Stars baada ya kufungwa magori saba kwa sifuri na timu ya taifa ya Algeria.

“Hakuna maajabu kwenye mpira, kama unajua unajua tu. Tusiwalaumu, tutengeneze timu, tena tuanze na vilabu vyetu wenye pesa waachwe wawekeze. Hakuna short cut...” JB aliandika kwenye ukurasa wa instagram.

 

9 years ago

TheCitizen

It’s do-or-die as Taifa Stars face Algeria tonight

The national soccer team head coach, Charles Boniface Mkwasa, has said that his boys are mentally and physically ready to face their Algerian opponents in today’s (Tuesday) return leg tie of Russia 2018 World Cup Qualifiers to take place here tonight.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani