WAZOEFU TAIFA STARS KUTAJWA KESHO
![](http://api.ning.com:80/files/LWw0InctTwmrY7MrteY2a8W3fgixqVe187dRGshgeSGtAgw9axzeR-XiFkIblANu4bKamZtQSlOs*Gw9Snj0vHI*luV68O6t/1TFF2.jpg?width=650)
Wachezaji wazoefu wa Taifa Stars watakaoungana na wale 16 waliopatikana katika mpango wa maboresho wa timu hiyo watatangazwa kesho (Aprili 19 mwaka huu) saa 4 asubuhi kwenye ofisi za Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF). Taifa Stars inayodhaminiwa na Kilimanjaro Premium Lager itapiga kambi kwenye hoteli ya Kunduchi Beach kujiandaa kwa mechi ya kirafiki dhidi ya Burundi itakayochezwa Aprili 26 mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima16 Mar
Wanaosaka namba Stars kutajwa kesho
MCHAKATO wa ung’amuzi wa vipaji kwa ajili ya maboresho ya timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, ulioshirikisha wang’amuzi wa vipaji zaidi ya 40 umekamilika jana na majina ya nyota...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-4BxbdySSFDo/VXlqfwyBUKI/AAAAAAAA_lU/SnacLGFbYq4/s72-c/Stars%2Bwakiwa%2Bmazoezini.jpg)
TAIFA STARS KUWAFUATA MISRI KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-4BxbdySSFDo/VXlqfwyBUKI/AAAAAAAA_lU/SnacLGFbYq4/s640/Stars%2Bwakiwa%2Bmazoezini.jpg)
Stars ambayo imeweka kambi ya mazoezi takribani kwa wiki moja sasa jijini Addis Ababa leo imeendelea na raiba yake ya mazoezi katika uwanja wa Taifa, amabpo leo imefanya mazoezi yake asububuhi tu.
![](http://1.bp.blogspot.com/-k4IAMGx-RtU/VXlqlHyPOGI/AAAAAAAA_lc/9Gry_bUZsLw/s640/Golikipa%2BMwadini%2BAli.jpg)
Kocha mkuu wa Taifa Stars Mart Nooij amesema, anashukuru maendeleo ya kambi...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-IlPpOZe_HoA/VVHrWOKAmuI/AAAAAAAHW1Q/JcMdGnzMqvM/s72-c/tff_LOGO1.jpg)
TAIFA STARS KWENDA AFRIKA KUSINI KESHO
![](http://1.bp.blogspot.com/-IlPpOZe_HoA/VVHrWOKAmuI/AAAAAAAHW1Q/JcMdGnzMqvM/s400/tff_LOGO1.jpg)
Michuano ya COSAFA inatarajiwa kuanza kutimua vumbi Mei 17 mpaka Mei 30, 2015 katika viwanja vya Olympia Park na Moruleng jimbo la North West Province nchini Afrika Kusini ikishirikisha nchi za Kusini mwa Afrika huku Tanzania na Ghana zikiwa ni nchi waalikwa.
Taifa Stars itaondoka jijini Dar es salaam kesho majira ya saa 1 jioni, kwa...
11 years ago
Tanzania Daima19 Jul
Wadhamini: Taifa Stars iungwe mkono kesho
WADHAMINI wakuu wa timu ya taifa ya soka ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Kampuni ya Bia Tanzania kupitia bia yake ya Kilimanjaro Premium Lager, wamewataka Watanzania wajitokeze kwa wingi kuishangilia timu...
9 years ago
Habarileo13 Nov
Pambano Taifa Stars, Algeria kesho gumzo
PAMBANO la kuwania kufuzu kwa fainali za Kombe la Dunia nchini Urusi mwaka 2018 kati ya timu ya soka ya Tanzania `Taifa Stars’ dhidi ya Algeria, linalotarajiwa kupigwa kesho Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, limekuwa gumzo miongoni mwa mashabiki wa soka ndani na nje ya nchi.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-aZGS82WweKg/VRbDA7m3DWI/AAAAAAAHN10/BUUnZ6wm0v4/s72-c/STARS2.jpg)
TAIFA STARS TAYARI KUWAKABILI MALAWI KESHO CCM KIRUMBA
![](http://4.bp.blogspot.com/-aZGS82WweKg/VRbDA7m3DWI/AAAAAAAHN10/BUUnZ6wm0v4/s1600/STARS2.jpg)
Tiketi za mchezo tayari zimeshaanza kuuzwa katika vituo vya Uwanja wa Nyamagana na uwanja wa CCM Kirumba kwa bei za sh. 5,000 kwa mzunguko, sh. 12,000 kwa jukwaa kuu na sh.20,000 kwa viti vya jukwaa kuu maalum. Taifa Stars inashika nafasi ya 100 katika...