Wanaosaka namba Stars kutajwa kesho
MCHAKATO wa ung’amuzi wa vipaji kwa ajili ya maboresho ya timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, ulioshirikisha wang’amuzi wa vipaji zaidi ya 40 umekamilika jana na majina ya nyota...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
WAZOEFU TAIFA STARS KUTAJWA KESHO
Wachezaji wazoefu wa Taifa Stars watakaoungana na wale 16 waliopatikana katika mpango wa maboresho wa timu hiyo watatangazwa kesho (Aprili 19 mwaka huu) saa 4 asubuhi kwenye ofisi za Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF). Taifa Stars inayodhaminiwa na Kilimanjaro Premium Lager itapiga kambi kwenye hoteli ya Kunduchi Beach kujiandaa kwa mechi ya kirafiki dhidi ya Burundi itakayochezwa Aprili 26 mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar...
10 years ago
Michuzi22 Oct
KAMATI YA STARS YATOA NAMBA ZA UCHANGIAJI

11 years ago
Tanzania Daima29 Jul
Stars kurejea Dar kesho
WAKATI timu ya taifa ya soka ya Tanzania ‘Taifa Stars’, ikitarajiwa kurejea jijini Dar es Salaam kesho ikitokea kambini jijini Mbeya, wachezaji wana matumaini makubwa ya kuvuka kikwazo cha Msumbiji...
10 years ago
Vijimambo
STARS KUINGIA KAMBINI KESHO

Kocha Mkuu wa Taifa Stars Mart Nooij, amewaita wachezaji 16 kuingia kambini kesho siku ya jumatano kwa ajili ya kupimwa afya zao na kujua maandeleo yao kabla ya kuwajumisha katika kikosi cha pamoja kitakachokua kwenye maandalizi ya mchezo dhidi ya Misri.
Wachezaji walioitwa...
10 years ago
Michuzi
STARS KUWAFUATA MISRI KESHO

Stars ambayo imeweka kambi ya mazoezi takribani kwa wiki moja sasa jijini Addis Ababa leo imeendelea na raiba yake ya mazoezi katika uwanja wa Taifa, amabpo leo imefanya mazoezi yake asububuhi tu.
Kocha mkuu wa Taifa Stars Mart Nooij amesema, anashukuru maendeleo ya kambi ni...
10 years ago
BBCSwahili19 Mar
Twiga Stars kuelekea Zambia kesho
Timu ya Taifa ya Tanzania ya Wanawake , inatarajiwa kuondoka nchini mwishoni mwa wiki hii kuelekea Zambia kwa mchezo .
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania