KAMATI YA STARS YATOA NAMBA ZA UCHANGIAJI
Katibu wa Kamati ya Taifa Stars, Teddy Mapunda leo amefanya makutano na waandishi wa habari katika ukumbi wa mikutano wa TFF uliopo Karume, ambapo ametumia nafasi hiyo kutangaza namba za simu za uchangiaji kwa Watanzania kwa ajili ya timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’.Akizungumza na waandishi wa habari, Teddy amesema watanzania wanaweza kuichangia Taifa Stars kiasi chochote cha fedha kuanzia shilingi mia moja (TZS 100) kwenda namba 0654-888868 (Tigo Pesa) na 0789-530668 (Airtel Money)...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-UERzTCt-AZg/VXGrRUKu1hI/AAAAAAAAEuY/Mn0fNJI3i64/s72-c/6.jpg)
PSPF YATOA ELIMU YA MFUKO KWA WAHESHMIWA MABALOZI, WAHAMASIKA WAJIUNGA NA MPANGO WA UCHANGIAJI WA HIARI
Katika semina hiyo iliyofanyika katika Hotel ya Ramada, jijini Dar es Salaam, Meneja Mawasiliano, Masoko na Uenezi wa PSPF Costantina Martin alipata fursa ya kutoa mada juu ya PSPF.
Mada ya meneja huyo wa PSPF ilijikita katika maeneo yafuatayo; historia ya PSPF, wanachama wa PSPF, Mpango wa Uchangiaji wa Hiari, mpango wa lazima, mafao yatolewayo na PSPF, mikopo...
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/MM8gWtOJpL8/default.jpg)
NHIF YATOA “DARASA” KWA BLOGGERS WA TANZANIA KUHUSU UCHANGIAJI WA BIMA YA AFYA CHINI YA MPANGO WA “KIKOA”
![](http://2.bp.blogspot.com/-ltjw1_LZNVo/VcxuWmTECdI/AAAAAAAC9mc/Hevh1o3qjv8/s640/DSCF8345.jpg)
10 years ago
Mwananchi04 Sep
Cheyo aikana ripoti ya Kamati Namba 11
11 years ago
Tanzania Daima16 Mar
Wanaosaka namba Stars kutajwa kesho
MCHAKATO wa ung’amuzi wa vipaji kwa ajili ya maboresho ya timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, ulioshirikisha wang’amuzi wa vipaji zaidi ya 40 umekamilika jana na majina ya nyota...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KLWMzZqOGgQ/U0pB9q9rEbI/AAAAAAAFaYU/pXApmo08WX4/s72-c/IMG_2208.jpg)
Ripoti Ya Kamati Namba 4 iliyowasilishwa Bungeni na Dkt. Hamis Kigwangalla
![](http://4.bp.blogspot.com/-KLWMzZqOGgQ/U0pB9q9rEbI/AAAAAAAFaYU/pXApmo08WX4/s1600/IMG_2208.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/czF6wJsbSj1Mp5hJoL1J58ERxNMRiJ0W9usqZNDzwAgCYVvDx*I1G5u12EJQnq4v2T6dcEcZNjWM-4B2XZH4ngB9HBcLczRQ/1.jpg)
DAVID KAFULILA ALIVYOSHANGILIWA BAADA YA KUWASILISHA MAPENDEKEZO YA KAMATI YAKE NAMBA 5 JANA
11 years ago
MichuziMWENYEKITI WA KAMATI NAMBA 1 YA BUNGE LA KATIBA AKUTANA NA WAANDISHI WA HABARI MJINI DODOMA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zbcSW1D04avcgh6M0qBRLOAFdeYwgA-2plQdfbzp97TY51y056DIJgLF*VtRIBt9jTKhwGZpoMoI8-lSPmxULWSHh-P5RaHd/1509271_692807107449953_8609817621912643102_n.jpg?width=650)
MAONI YA WAJUMBE 'WALIO WACHACHE' KATIKA KAMATI NAMBA NNE ILIYOWASILISHWA NA MHE. TUNDU LISSU!
9 years ago
Mtanzania27 Nov
Kamati Taifa Stars yavunjwa
NA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM
KAMATI ya Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, jana imevunjwa rasmi baada ya kumaliza kazi yao iliyokuwa inawakabili ya kuhamasisha mechi dhidi ya Algeria.
Kamati hiyo iliyoundwa na Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi, ilikuwa na kazi ya kuhakikisha Taifa Stars inafanya vema kwenye michuano ya kuwania kufuzu kwa kombe la dunia 2018 nchini Urusi.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa kamati hiyo, Farough Baghouzah,...