Ripoti Ya Kamati Namba 4 iliyowasilishwa Bungeni na Dkt. Hamis Kigwangalla
![](http://4.bp.blogspot.com/-KLWMzZqOGgQ/U0pB9q9rEbI/AAAAAAAFaYU/pXApmo08WX4/s72-c/IMG_2208.jpg)
Mh. Dkt. Hamis Kigwangalla
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zbcSW1D04avcgh6M0qBRLOAFdeYwgA-2plQdfbzp97TY51y056DIJgLF*VtRIBt9jTKhwGZpoMoI8-lSPmxULWSHh-P5RaHd/1509271_692807107449953_8609817621912643102_n.jpg?width=650)
MAONI YA WAJUMBE 'WALIO WACHACHE' KATIKA KAMATI NAMBA NNE ILIYOWASILISHWA NA MHE. TUNDU LISSU!
UTANGULIZI
Mheshimiwa Mwenyekiti,
Sura ya Kwanza na Sura ya Sita ya Rasimu ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (‘Rasimu’) ndizo msingi ambao Rasimu yote imejengwa juu yao. Wakati Sura ya Kwanza inagusa suala la muundo wa Muungano katika ibara moja tu kati ya ibara tisa, Sura yote ya Sita inahusu ‘Muundo wa Jamhuri ya Muungano.’ Suala la Muungano na hasa Muundo wake limetawala mjadala wa...
10 years ago
Mwananchi04 Sep
Cheyo aikana ripoti ya Kamati Namba 11
Mjumbe wa Bunge la Katiba, John Cheyo juzi aliomba mwongozo wa mwenyekiti akidai kuwa taarifa iliyosomwa bungeni na Mwenyekiti wa Kamati namba 11, Anne Kilango ni tofauti na ile waliyoijadili.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/gikBPgJguSWCrCq-bZfb0JiY3MYiwI1Vm6aRCwYo99kF5TJAVc0QjLPVvlc-N*M34VYpZP4VBlqxzA4NFWirv42NzsNbY2Ls/MKUYA.jpg?width=650)
SOMA BAJETI YA MWAKA 2015/16 ILIYOWASILISHWA NA WAZIRI WA FEDHA BUNGENI LEO
Waziri wa Fedha, Mhe. Saada Salum Mkuya (MB) akiwasilisha bungeni Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2015/16, Mjini Dodoma leo. SOMA BAJETI YA MWAKA 2015/16 HAPA===>>>BAJETI Waziri wa Fedha, Mhe. Saada Salum Mkuya (Mb) akionyesha Begi la Bajeti Kuu ya…
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-95ZP9bsZYZI/VXLm12uyJTI/AAAAAAAHcfo/6tI-VhX4tMQ/s72-c/simbachawene.jpg)
HOTUBA YA WAZIRI WA NISHATI NA MADINI MHE. GEORGE B. SIMBACHAWENE (MB.), ILIYOWASILISHWA BUNGENI LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-95ZP9bsZYZI/VXLm12uyJTI/AAAAAAAHcfo/6tI-VhX4tMQ/s640/simbachawene.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-q-tycRCDJkE/VDRxGaOBvEI/AAAAAAAGomc/aFwX7Ej_zYE/s72-c/download%2B(5).jpg)
Hotuba ya Dkt. Hamisi Kigwangalla, Mbunge wa Jimbo la Nzega na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya TAMISEMI Alipopokelewa Jimboni Nzega Baada ya Kutangaza Nia Kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
![](http://2.bp.blogspot.com/-q-tycRCDJkE/VDRxGaOBvEI/AAAAAAAGomc/aFwX7Ej_zYE/s1600/download%2B(5).jpg)
Nitumie fursa hii kwa namna ya kipekee kuwashukuru nyote kwa kuacha shughuli zenu kuja kunipokea na kushiriki mkutano huu. Mmenipa heshima kubwa sana na mimi nawajibika tu kusema ‘ahsanteni sana’.
Mimi hapa ni aidha mtoto wenu, mjukuu wenu ama mdogo wenu, mnapoacha shughuli zenu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Jlj7Yacjzg2U1FNKKOkSK9rXCfWpEglF-8cFNvdoJQIenALaete2x*gE4jzgINPOpuXrRUWnpf6HbkCMAdItKZzOJm57aNYX/GLOBALTV8.jpg?width=650)
DKT. HAMIS KIGWANGALA ATINGA GLOBAL
Mbunge wa Nzega, Dkt. Hamis Kigwangala akiongea na wanahabari wa Global Publishers (hawapo pichani). Wafanyakazi wa Global Publishers wakiendelea kumsikiliza mbunge wa Nzega, Dkt. Hamis Kigwangala.…
10 years ago
Michuzi13 Feb
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9xjqquX0b9o/XtO-_KcHZoI/AAAAAAALsJA/C714scfKueEL-hkmEHMxrcwxr11NV8cpQCLcBGAsYHQ/s72-c/1d32d7cb-a6b7-47c1-ad8f-0f97662760b2.jpg)
TANZANIA IPO TAYARI KUPOKEA WATALII - DKT. KIGWANGALLA
Na WAMJW- Kilimanjaro
Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla ameweka wazi kuwa, Tanzania ipo tayari kupokea wageni kutoka sehemu yoyote Dunia kwa ajili ya utalii, kufuatia kuimarisha mifumo ya tahadhari zote za kujikinga dhidi ya maambukizi ya virusi vya Corona.
Dkt. Kigwangalla ameyasema hayo leo katika ziara iliyomjumuisha Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel ikiwa na lengo la kukagua utayari wa nchi katika kudhibiti ugonjwa wa Corona katika uwanja wa ndege wa KIA na...
5 years ago
MichuziDkt Kigwangalla aridhishwa na kasi ya ukarabati wa Miundombinu ya Utalii.
Mwandishi wetu NCAA.
Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla ameridhishwa na kasi ya ukarabati wa barabara za Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) zilizokuwa zimeathiriwa na mvua na kuwahakikishia wadau wa utalii kuwa eneo hilo liko salama kwa wageni kufanya utalii bila shida yoyote.
Dkt. Kigwangalla ametoa kauli hiyo wakati wa ziara yake ya kukagua utekelezaji wa majukumu mbalimbali ya NCAA ambapo ametumia fursa hiyo kutembelea kreta ya Ngorongoro iliyokuwa na changamoto ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania