TANZANIA IPO TAYARI KUPOKEA WATALII - DKT. KIGWANGALLA
![](https://1.bp.blogspot.com/-9xjqquX0b9o/XtO-_KcHZoI/AAAAAAALsJA/C714scfKueEL-hkmEHMxrcwxr11NV8cpQCLcBGAsYHQ/s72-c/1d32d7cb-a6b7-47c1-ad8f-0f97662760b2.jpg)
Na WAMJW- Kilimanjaro
Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla ameweka wazi kuwa, Tanzania ipo tayari kupokea wageni kutoka sehemu yoyote Dunia kwa ajili ya utalii, kufuatia kuimarisha mifumo ya tahadhari zote za kujikinga dhidi ya maambukizi ya virusi vya Corona.
Dkt. Kigwangalla ameyasema hayo leo katika ziara iliyomjumuisha Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel ikiwa na lengo la kukagua utayari wa nchi katika kudhibiti ugonjwa wa Corona katika uwanja wa ndege wa KIA na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-l8AJB6FUh6M/XtPo-eJITGI/AAAAAAAC6eU/qr7p9ky7v4YWWMxp-T1-lz2KrGj_udafwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
TANZANIA IPO TAYARI KUPOKEA WATALII
![](https://1.bp.blogspot.com/-l8AJB6FUh6M/XtPo-eJITGI/AAAAAAAC6eU/qr7p9ky7v4YWWMxp-T1-lz2KrGj_udafwCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Dkt. Kigwangalla ameyasema hayo leo katika ziara iliyomjumuisha Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel ikiwa na lengo la kukagua utayari wa nchi katika kudhibiti ugonjwa wa Corona katika uwanja wa ndege wa KIA na...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-ycuUS5p9Qkc/XvPlb7TzWLI/AAAAAAAAdgY/McR-yTw7U6sert6YyNc1FwilvgCgX9Q9QCLcBGAsYHQ/s72-c/Sweden%2B-%2B1.jpg)
WAZIRI KIGWANGALLA ATETA NA MABALOZI MBALIMBALI JUU UTAYARI WA TANZANIA KUPOKEA WATALII
![Sweden%2B-%2B1 Sweden%2B-%2B1](https://1.bp.blogspot.com/-ycuUS5p9Qkc/XvPlb7TzWLI/AAAAAAAAdgY/McR-yTw7U6sert6YyNc1FwilvgCgX9Q9QCLcBGAsYHQ/s400/Sweden%2B-%2B1.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KZ4AL469p0U/XvN9LCYzo8I/AAAAAAALvSI/HIKOKHnSoaArPTYI0RoV6dzb3oIC8KWSACLcBGAsYHQ/s72-c/c7cc93d4-7171-4288-bfd1-6bd8ac1890da.jpg)
WAZIRI KIGWANGALLA ATETA NA MABALOZI WA NCHI MBALIMBALI KUHUSU UTAYARI WA TANZANIA KUPOKEA WATALII.
![](https://1.bp.blogspot.com/-KZ4AL469p0U/XvN9LCYzo8I/AAAAAAALvSI/HIKOKHnSoaArPTYI0RoV6dzb3oIC8KWSACLcBGAsYHQ/s640/c7cc93d4-7171-4288-bfd1-6bd8ac1890da.jpg)
Balozi wa Sweden nchini Tanzania, Ulf Kallstig akizungumza na Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla (kulia) leo jijini Dar es salaam.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/f6e869ab-4b74-402f-af98-e06beea37b45.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/94650104-25ea-4f44-a6b5-13c0aefb0a60.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/6dfb5317-2731-4406-b729-8655296cd699.jpg)
Waziri wa Maliasili na Utalii...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-z1ChDE7q0Ng/XsUsYFKuNrI/AAAAAAALq-g/1eItV6A-l3YYDFupJ_UQVlAF7unWowv0wCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1-4-768x468.jpg)
BODI YA UTALII TANZANIA: TUPO TAYARI KUANZA KUPOKEA WATALII
![](https://1.bp.blogspot.com/-z1ChDE7q0Ng/XsUsYFKuNrI/AAAAAAALq-g/1eItV6A-l3YYDFupJ_UQVlAF7unWowv0wCLcBGAsYHQ/s640/PIX-1-4-768x468.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PIX-3-3-1024x643.jpg)
Mwenyekiti wa Bodi ya Utalii (TTB), Jaji Mstaafu Thomas Mihayo akifafanua jambo katika Mkutano wake na waandishi wa habari hawapo pichani Jijini Dar es Salaam, kuhusu kurejeshwa kwa huduma za utalii nchini.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PIX-4-3-1024x756.jpg)
Mkurugenzi Mwendeshaji wa Bodi ya Utalii...
5 years ago
MichuziHOSPITALI YA AMANA IPO TAYARI KUPOKEA WAGONJWA WA CORONA
NA ZAMARADI KAWAWA, MAELEZO, DAR ES SALAAMSerikali imehamisha wagonjwa wote waliokuwa wakipata huduma za afya katika hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dar es Salaam, Amana iliyopo Manispaa ya Ilala, ili kuanza kutekeleza jukumu la kutumia hospitali hiyo kutoa huduma za afya kwa wagonjwa wa Corona (COVID – 19).
Akizungumza na Watumishi wa hospitali hiyo mara baada ya kutembelea majengo yatakayotumika kuwalaza wagonjwa wa Corona (COVID-19), Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-iL0dChlA01E/XtFHbMuCICI/AAAAAAALsAs/fVUMdyYHQKIrhnE6np_pz2ZoALhGqV2TQCLcBGAsYHQ/s72-c/Kigwangalla.jpg)
Anga Liko Wazi Tanzania, Watalii Karibuni-Dkt.Kigwangala
![](https://1.bp.blogspot.com/-iL0dChlA01E/XtFHbMuCICI/AAAAAAALsAs/fVUMdyYHQKIrhnE6np_pz2ZoALhGqV2TQCLcBGAsYHQ/s400/Kigwangalla.jpg)
Na Paschal Dotto-MAELEZO
Serikali kupitia Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), leo imezindua rasmi filamu inayoitambulisha Tanzania ndani na nje ya nchi katika maeneo mbalimbali ya utalii ambayo inaendana na kauli mbiu ya Tanzania Isiyosahaulika “Tanzania Unforgettable” yenye kuitambulisha Tanzania duniani kote.
Akizungumza katika uzinduzi huo, Waziri Mwenye dhamana ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hamis Kigwangala amesema kuwa Tanzania imeendelea kutangaza utalii pamoja na kuwepo kwa ugonjwa wa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-wEFQUqercMI/VA9P7H3WZcI/AAAAAAAGiSk/uAglWUY1aes/s72-c/unnamed%2B(26).jpg)
Tamko rasmi la Dkt. Hamisi Kigwangalla Habari la Kutangaza Nia ya Kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mwaka 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-wEFQUqercMI/VA9P7H3WZcI/AAAAAAAGiSk/uAglWUY1aes/s1600/unnamed%2B(26).jpg)
10 years ago
Tanzania Daima24 Aug
Tupo tayari kupokea Katiba inayoburushwa?
SWALI la msingi na lenye maana kwa kipindi hiki, ni kujiuliza kama tunaamini kuwa mchakato wa Katiba unakwenda vizuri, na hakuna tatizo, Je Watanzania wameulizwa kama wapo tayari kuipokea Katiba...
10 years ago
Mtanzania16 Apr
ACT ipo tayari kushirikiana na Ukawa
Na Bakari Kimwanga, Singida
CHAMA cha Alliance for Change and Transparency (ACT-Wazalendo), kimesema kuwa kipo tayari kushirikiana na vyama vingine vya siasa kwa lengo la kuleta mapinduzi ya kiuchumi na kubomoa mfumo unaowanyonya wananchi
Kutokana na hali hiyo, kimewahakikishia Watanzania kuwa ujio wa chama hicho ni wa kuleta mageuzi ya kweli kwa taifa badala ya porojo kama vyama vingine vinavyofanya.
Akihutubia wananchi jana katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Uwanja wa Shule ya...