Anga Liko Wazi Tanzania, Watalii Karibuni-Dkt.Kigwangala
![](https://1.bp.blogspot.com/-iL0dChlA01E/XtFHbMuCICI/AAAAAAALsAs/fVUMdyYHQKIrhnE6np_pz2ZoALhGqV2TQCLcBGAsYHQ/s72-c/Kigwangalla.jpg)
Na Paschal Dotto-MAELEZO
Serikali kupitia Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), leo imezindua rasmi filamu inayoitambulisha Tanzania ndani na nje ya nchi katika maeneo mbalimbali ya utalii ambayo inaendana na kauli mbiu ya Tanzania Isiyosahaulika “Tanzania Unforgettable” yenye kuitambulisha Tanzania duniani kote.
Akizungumza katika uzinduzi huo, Waziri Mwenye dhamana ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hamis Kigwangala amesema kuwa Tanzania imeendelea kutangaza utalii pamoja na kuwepo kwa ugonjwa wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tAII3Goltr4/Uvz58MZl4bI/AAAAAAAFM-Y/kmC9Tzi1cAo/s72-c/unnamed+(1).jpg)
MAMLKAKA YA USAFIRI WA ANGA TANZANIA (TCAA) NA MAMLAKA YAUSAFIRI WA ANGA NCHINI CHINA (CAAC) WASAINI MKATBA WA USHIRIKIANO WA NDEGE ZINAZOTENGENEZWA CHINA KUTUA KATIKA ANGA LA TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-tAII3Goltr4/Uvz58MZl4bI/AAAAAAAFM-Y/kmC9Tzi1cAo/s1600/unnamed+(1).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-V4xbcFkPbIA/Uv01CghqUWI/AAAAAAAFNCM/8w_piVeR7HA/s72-c/unnamedZ.jpg)
MAMLKAKA YA USAFIRI WA ANGA TANZANIA (TCAA) NA MAMLAKA YAUSAFIRI WA ANGA NCHINI CHINA (CAAC) WASAINI MKATABA WA USHIRIKIANO WA NDEGE ZINAZOTENGENEZWA CHINA KUTUA KATIKA ANGA LA TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-V4xbcFkPbIA/Uv01CghqUWI/AAAAAAAFNCM/8w_piVeR7HA/s1600/unnamedZ.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9xjqquX0b9o/XtO-_KcHZoI/AAAAAAALsJA/C714scfKueEL-hkmEHMxrcwxr11NV8cpQCLcBGAsYHQ/s72-c/1d32d7cb-a6b7-47c1-ad8f-0f97662760b2.jpg)
TANZANIA IPO TAYARI KUPOKEA WATALII - DKT. KIGWANGALLA
Na WAMJW- Kilimanjaro
Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla ameweka wazi kuwa, Tanzania ipo tayari kupokea wageni kutoka sehemu yoyote Dunia kwa ajili ya utalii, kufuatia kuimarisha mifumo ya tahadhari zote za kujikinga dhidi ya maambukizi ya virusi vya Corona.
Dkt. Kigwangalla ameyasema hayo leo katika ziara iliyomjumuisha Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel ikiwa na lengo la kukagua utayari wa nchi katika kudhibiti ugonjwa wa Corona katika uwanja wa ndege wa KIA na...
10 years ago
Mwananchi08 Oct
Watalii waiomba Serikali kuboresha usafiri wa anga
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Jlj7Yacjzg2U1FNKKOkSK9rXCfWpEglF-8cFNvdoJQIenALaete2x*gE4jzgINPOpuXrRUWnpf6HbkCMAdItKZzOJm57aNYX/GLOBALTV8.jpg?width=650)
DKT. HAMIS KIGWANGALA ATINGA GLOBAL
9 years ago
Dewji Blog03 Jan
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_5-inzOA9jQ/XrlwP8iPWPI/AAAAAAAAJVI/9HCUK8RGF08dVp72xCL2MwJKRxAL4B-IQCLcBGAsYHQ/s72-c/kigwangala%252Bpic.jpg)
HATUWEZI KUSHUHUDIA SEKTA YA UTALII IKIPITWA NA COVID 19 DKT.KIGWANGALA
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk, Hamis Kingwangalla amesema kuwa hatuwezi kushuhudia sekta ya utalii ikipigwa na janga la Covid - 19 wakati kunamianya mbalimbali ya kuifungua sekta hiyo kwa kujadili mambo mbalimbali yanayopaswa kuchukuliwa ili watalii waje nchini.
Dk, Kingwangalla aliyasema hayo jana Jijini Arusha wakati alipokuwa akizungumza na wadau mbalimbali wa sekta ya utalii nchini katika maandalizi ya mpango wa kupokea watalii baada ya janga la Covid -...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CGKNR-wzmwY/U-JYpnhDJ9I/AAAAAAAF9o0/tpxE0iVk_4Q/s72-c/unnamed+(52).jpg)
Mamlaka ya usafiri wa anga Tanzania TCAA, Watoa Elimu ya Anga Nane Nane Dodoma
![](http://2.bp.blogspot.com/-CGKNR-wzmwY/U-JYpnhDJ9I/AAAAAAAF9o0/tpxE0iVk_4Q/s1600/unnamed+(52).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Y0gDsaPRkVk/U-JYppaGlrI/AAAAAAAF9pA/_tmDlheYzgY/s1600/unnamed+(53).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FPB20Vn_wS4/VFagXo5QG8I/AAAAAAAGvIA/pSmz81E0fBk/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
Dkt. Kigwangala aongoza Mbio za Amani 2014, ahimiza amani nchini
Akizungumza na wanamichezo wa vilabu mbalimbali vya kukimbia (Jogging) kutoka Tanzania bara na Zanzibar, katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam, Mbunge wa jimbo la Nzega, ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya bunge ya...