VIDEO: Dkt. Kigwangala amjulia hali Mwadhama Kardinali Pengo
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/J2SsCM-DCjk/default.jpg)
10 years ago
VijimamboAskofu Mkuu wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo hali ya afya yake inaendelea kuimarika
Na Goodluck Eliona, Mwananchi Dar es Salaam. Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amesema kuwa hali ya afya yake inaendelea kuimarika. na kuwataka waumini kuendelea kumwombea.Akizungumza kwenye Misa Takatifu ya Mavuno na shukurani kwa jimbo hilo, iliyofanyika jana Msimbazi Center jijini Dar es Salaam, Pengo alisema ameamua kuitumia siku...
10 years ago
Vijimambo24 Dec
RAIS KIKWETE ATEMBELEWA NA MWADHAMA POLYCARP KARDINALI PENGO IKULU DESEMBA 23, 2014
![](http://blog.ikulu.go.tz/wp-content/uploads/2014/12/WEWSERWREWR.jpg)
![](http://blog.ikulu.go.tz/wp-content/uploads/2014/12/SSSSSS.jpg)
![](http://blog.ikulu.go.tz/wp-content/uploads/2014/12/unnamed-31.jpg)
9 years ago
MichuziRAIS MAGUFULI AMJULIA HALI MUADHAMA KADINALI POLYCARP PENGO ANAYEFANYIWA UCHUNGUZI WA AFYA YAKE MUHIMBILI
11 years ago
Mwananchi20 Mar
Ni utumishi uliotukuka wa Kardinali Pengo
Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo ameadhimisha miaka 30 ya uaskofu, 43 ya upadri na miaka 16 ya ukardinali.
9 years ago
Habarileo02 Jan
Kardinali Pengo alazwa Muhimbili
ASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete iliyopo Hospitali ya Taifa Muhimbili Jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-h_ywRM3aGIg/VSTRi4h9N5I/AAAAAAAACDM/UQDLfV09yhk/s72-c/Caridnal%2BPengo.jpg)
Kardinali Pengo aweka msimamo
Aonya matukio ya ugaidi si mambo ya dini Awataka wanaoamini wasambaze ujumbe
NA MWANDISHI WETU
ASKOFU Mkuu wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Muadhama Polycarp Kardinali Pengo, amesema msimamo wake kuhusu katiba inayopendekezwa, uko pale pale na ametaka wanaoamini alichosema, wasambaze ujumbe wake kwa wengine.
![](http://4.bp.blogspot.com/-h_ywRM3aGIg/VSTRi4h9N5I/AAAAAAAACDM/UQDLfV09yhk/s1600/Caridnal%2BPengo.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania