Dkt. Kigwangala aongoza Mbio za Amani 2014, ahimiza amani nchini
![](http://2.bp.blogspot.com/-FPB20Vn_wS4/VFagXo5QG8I/AAAAAAAGvIA/pSmz81E0fBk/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
Wanasiasa wameaswa kudumisha amani, upendo na mshikamano wa Tanzania, ili kuepuka vurugu zinazoweza kujitokeza ambazo kwa kiasi kikubwa zimekuwa zikisababishwa na makundi ya wanasiasa, kwa kutoa ujumbe kwa wananchi unao chochea kuvurugukika kwa amani ya Tanzania.
Akizungumza na wanamichezo wa vilabu mbalimbali vya kukimbia (Jogging) kutoka Tanzania bara na Zanzibar, katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam, Mbunge wa jimbo la Nzega, ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya bunge ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo02 Nov
DK. KIGWANGALA AHIMIZA AMANI NCHINI
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/11/11.jpg)
9 years ago
Dewji Blog25 Dec
Rais Magufuli ahimiza Amani nchini, ashiriki misa ya Krismasi katika kanisa la Mtakatifu Peter jijini Dar e Salaam !
Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akitoa salamu zake za heri ya Krismasi mara baada ya kumalizika Ibada ya Krismas misa ya kwanza katika Kanisa la Mtakatifu Peter jijini Dar es salaam leo Desemba 25, 2015.
![](http://2.bp.blogspot.com/-GFgCRpAfCxY/Vn0C2_RTeUI/AAAAAAAIOlc/t2cBkzh_PPw/s640/x13.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-nziZB1rPgcs/Vn0C4VEg2yI/AAAAAAAIOlk/ZTlom5d_tmI/s640/x14.jpg)
9 years ago
Raia Mwema07 Oct
Tufanye yote, wimbo wetu uwe amani, amani, amani
Wiki hii Raia Mwema lilifanya mahojiano na mwanasheria mkuu wa serikali mstaafu, Jaji Mark Bomani
Mwandishi Wetu
10 years ago
Tanzania Daima16 Oct
Dk. Bilal ahimiza amani, upendo
SERIKALI imewataka viongozi wa dini nchini kuendelea kuliombea Taifa ili libakie na amani, utulivu na upendo kwani ni tunu kutoka kwa Mwenyezi Mungu. Makamu wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal,...
11 years ago
Habarileo27 Dec
Askofu Msemwa ahimiza amani
WAUMINI wa madhehebu ya Kikristo katika Jimbo la Kanisa Katoliki la Tunduru/ Masasi, wamehimizwa kudumisha upendo, amani na utulivu ili kutoa nafasi ya maendeleo kutawala miongoni mwa jamii.
10 years ago
Habarileo01 Jan
Shein ahimiza Wazanzibari kudumisha amani
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amewataka wananchi kuendelea kudumisha amani na utulivu na kuepuka mifarakano inayoweza kuligawa taifa.
10 years ago
Habarileo17 Sep
Papa Francis ahimiza amani Tanzania
BALOZI wa Vatican nchini, Askofu Mkuu Francisco Montelilo Padilla amewahimiza Watanzania kupendana, kudumisha amani na pia kuzitii mamlaka zilizowekwa na wananchi. Askofu Padilla ambaye pia ni Mwakilishi wa Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis, aliyasema hayo mjini Tarime wakati wa ibada iliyofanyika katika Kanisa Katoliki Parokia ya Tarime, huku akisisitiza kuwa, ni ujumbe aliopewa na Papa.
9 years ago
BBCSwahili25 Nov
Papa Francis ahimiza amani na uwazi
9 years ago
MichuziIGP MANGU AHIMIZA UCHAGUZI WA AMANI TARIME.