Papa Francis ahimiza amani na uwazi
Papa Francis ameanza ziara yake Afrika kwa kuhimiza umoja, amani, uwazi, kuwathamini vijana na kuyatunza mazingira.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo17 Sep
Papa Francis ahimiza amani Tanzania
BALOZI wa Vatican nchini, Askofu Mkuu Francisco Montelilo Padilla amewahimiza Watanzania kupendana, kudumisha amani na pia kuzitii mamlaka zilizowekwa na wananchi. Askofu Padilla ambaye pia ni Mwakilishi wa Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis, aliyasema hayo mjini Tarime wakati wa ibada iliyofanyika katika Kanisa Katoliki Parokia ya Tarime, huku akisisitiza kuwa, ni ujumbe aliopewa na Papa.
9 years ago
BBCSwahili27 Nov
Papa Francis ahimiza vijana wakabili rushwa
9 years ago
BBCSwahili26 Nov
Papa Francis: Dini isitumiwe kuvuruga amani
9 years ago
BBCSwahili25 Dec
Papa Francis aombea amani Syria na Libya
11 years ago
BBCSwahili25 May
Papa francis aomba amani huko Israel
11 years ago
BBCSwahili14 Aug
Papa ahimiza amani katika rasi ya Korea
11 years ago
GPL
PAPA FRANCIS AWATANGAZA PAPA JOHN PAUL II, JOHN XXIII KUWA WATAKATIFU
11 years ago
Michuzi.jpg)
Dkt. Kigwangala aongoza Mbio za Amani 2014, ahimiza amani nchini
Akizungumza na wanamichezo wa vilabu mbalimbali vya kukimbia (Jogging) kutoka Tanzania bara na Zanzibar, katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam, Mbunge wa jimbo la Nzega, ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya bunge ya...
9 years ago
BBCSwahili21 Nov
Maandalizi ya ziara ya Papa Francis