Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Papa francis aomba amani huko Israel

Kiongozi wa kanisa katoliki duniani papa francis ameutaja mzozo kati ya Palestina na Israel kama usiokubalika.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Papa Francis aombea ukuta Israel

Papa Francis ameombea ukuta wa saruji ambao Israel inajenga kulitenga eneo la ukingo wa Magharibi.

 

11 years ago

Mwananchi

Papa Francis, Waziri Mkuu Israel walumbana kuhusu Yesu

Malumbano makali ya maneno na hoja yamezuka baina ya Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis na Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu kuhusu lugha gani aliyotumia Yesu Krtisto miaka 2,000 iliyopita.

 

9 years ago

BBCSwahili

Papa Francis ahimiza amani na uwazi

Papa Francis ameanza ziara yake Afrika kwa kuhimiza umoja, amani, uwazi, kuwathamini vijana na kuyatunza mazingira.

 

10 years ago

Habarileo

Papa Francis ahimiza amani Tanzania

BALOZI wa Vatican nchini, Askofu Mkuu Francisco Montelilo Padilla amewahimiza Watanzania kupendana, kudumisha amani na pia kuzitii mamlaka zilizowekwa na wananchi. Askofu Padilla ambaye pia ni Mwakilishi wa Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis, aliyasema hayo mjini Tarime wakati wa ibada iliyofanyika katika Kanisa Katoliki Parokia ya Tarime, huku akisisitiza kuwa, ni ujumbe aliopewa na Papa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Papa Francis aombea amani Syria na Libya

Papa Francis ameombea kufanikiwa kwa juhudi za Umoja wa Mataifa za kutafuta amani nchini Syria na Libya kwenye ujumbe wake wa Krismasi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Papa Francis: Dini isitumiwe kuvuruga amani

Papa Francis ameongoza ibada ya misa ambayo imehudhuriwa na maelfu ya watu uwanja wa Chuo Kikuu cha Nairobi ambapo amesisitiza umuhimu wa familia katika jamii.

 

11 years ago

GPL

PAPA FRANCIS AWATANGAZA PAPA JOHN PAUL II, JOHN XXIII KUWA WATAKATIFU

Mahujaji wakifuatilia tukio la kuwatangaza watakatifu Papa John Paul II na John XXIII jijini Vatican leo. Papa Francis akiongoza ibada kabla ya kuwatangaza watakatifu.…

 

9 years ago

Mtanzania

Papa Francis kumfufua Nyerere

Part-PAR-Par8268607-1-1-0*Mama Maria Nyerere atangulia Uganda

 

NA MWANDISHI WETU

ZIARA ya Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis nchini Uganda imetajwa kuwa itafufua mchakato wa kumtangaza Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere kuwa mtakatifu.

Kwa mujibu wa mtandao wa ETN wa nchini Uganda, ziara hiyo ya kitume ya Papa Francis itamfikisha katika eneo la Namugongo ambalo mashahidi wa imani ya dini ya Kikristu walichomwa moto.

Ni katika eneo hilo la Namugongo ambako Hayati Nyerere alitangazwa kuwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Obama kukutana na Papa Francis

Rais wa Marekani ,Barrack Obama anatarajiwa kukutana na kiongozi wa kanisa Katoliki Papa Francis.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani