Papa Francis aombea ukuta Israel
Papa Francis ameombea ukuta wa saruji ambao Israel inajenga kulitenga eneo la ukingo wa Magharibi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili25 Dec
Papa Francis aombea amani Syria na Libya
11 years ago
BBCSwahili25 May
Papa francis aomba amani huko Israel
11 years ago
Mwananchi28 May
Papa Francis, Waziri Mkuu Israel walumbana kuhusu Yesu
11 years ago
GPL
PAPA FRANCIS AWATANGAZA PAPA JOHN PAUL II, JOHN XXIII KUWA WATAKATIFU
11 years ago
BBCSwahili27 Mar
Obama kukutana na Papa Francis
5 years ago
CCM Blog
PAPA FRANCIS APIMWA CONONA

Papa Francis alipimwa virusi hivyo baada ya mmoja wa wachungaji anayeishi katika katika makazi yake kugundulika kuwa na corona.
Vyombo vya habari nchini Italia viliripoti kuwa mchungaji huyo ambaye ni ofisa wa sekretarieti ya jimbo aligundulika kuwa na virusi vya corona na kuzua hofu kuwa huenda Papa Francis naye ameambukizwa.
Kwa mujibu wa tovuti rasmi ya Vatican,...
10 years ago
BBCSwahili20 Jan
Papa Francis azungumzia familia
11 years ago
Mwananchi13 Mar
Papa Francis na uongozi wa kipekee
9 years ago
Mtanzania28 Nov
Papa Francis kumfufua Nyerere
*Mama Maria Nyerere atangulia Uganda
NA MWANDISHI WETU
ZIARA ya Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis nchini Uganda imetajwa kuwa itafufua mchakato wa kumtangaza Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere kuwa mtakatifu.
Kwa mujibu wa mtandao wa ETN wa nchini Uganda, ziara hiyo ya kitume ya Papa Francis itamfikisha katika eneo la Namugongo ambalo mashahidi wa imani ya dini ya Kikristu walichomwa moto.
Ni katika eneo hilo la Namugongo ambako Hayati Nyerere alitangazwa kuwa...