Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DK. KIGWANGALA AHIMIZA AMANI NCHINI

Mbunge wa jimbo la Nzega Dr. Khamis Kigwangala akizungumza na vikundi mbalimbali mbalimbali vya Joging vilivyoshiriki katika tamasha la Mbio za Amani lililoshirikisha wawakilishi kutoka pande mbalimbali za nchi na kupokelewa na mbunge huyo ambye alikuwa mgeni rasmi, Dr. Khamis Kigwangala amewaasa wanasiasa kutoleta siasa za uchochezi hasa katika mchakato mzima wa Katiba mpya ambapo amesema waachwe wananchi wenyewe waisome waielewe na wao wataamua kama wataipigia kura ya Ndiyo au Hapana,...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Dkt. Kigwangala aongoza Mbio za Amani 2014, ahimiza amani nchini

Wanasiasa wameaswa kudumisha amani, upendo na mshikamano wa Tanzania, ili kuepuka vurugu zinazoweza kujitokeza ambazo kwa kiasi kikubwa zimekuwa zikisababishwa na makundi ya wanasiasa, kwa kutoa ujumbe kwa wananchi unao chochea kuvurugukika kwa amani ya Tanzania. 
Akizungumza na wanamichezo wa vilabu mbalimbali vya kukimbia (Jogging) kutoka Tanzania bara na Zanzibar, katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam,  Mbunge wa jimbo la Nzega, ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya bunge ya...

 

9 years ago

Dewji Blog

Rais Magufuli ahimiza Amani nchini, ashiriki misa ya Krismasi katika kanisa la Mtakatifu Peter jijini Dar e Salaam !

 

x12

Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akitoa salamu zake za heri ya Krismasi mara baada ya kumalizika Ibada ya Krismas misa ya kwanza katika Kanisa la Mtakatifu Peter jijini Dar es salaam leo Desemba 25, 2015.

Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akitoa salamu zake za heri ya Krismasi mara baada ya kumalizika Ibada ya Krismas misa ya kwanza katika Kanisa la Mtakatifu Peter jijini Dar es salaam leo Desemba 25, 2015. Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akitoa salamu zake za heri ya Krismasi...

 

11 years ago

Habarileo

Askofu Msemwa ahimiza amani

WAUMINI wa madhehebu ya Kikristo katika Jimbo la Kanisa Katoliki la Tunduru/ Masasi, wamehimizwa kudumisha upendo, amani na utulivu ili kutoa nafasi ya maendeleo kutawala miongoni mwa jamii.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Dk. Bilal ahimiza amani, upendo

SERIKALI imewataka viongozi wa dini nchini kuendelea kuliombea Taifa ili libakie na amani, utulivu na upendo kwani ni tunu kutoka kwa Mwenyezi Mungu. Makamu wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal,...

 

9 years ago

BBCSwahili

Papa Francis ahimiza amani na uwazi

Papa Francis ameanza ziara yake Afrika kwa kuhimiza umoja, amani, uwazi, kuwathamini vijana na kuyatunza mazingira.

 

10 years ago

Habarileo

Papa Francis ahimiza amani Tanzania

BALOZI wa Vatican nchini, Askofu Mkuu Francisco Montelilo Padilla amewahimiza Watanzania kupendana, kudumisha amani na pia kuzitii mamlaka zilizowekwa na wananchi. Askofu Padilla ambaye pia ni Mwakilishi wa Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis, aliyasema hayo mjini Tarime wakati wa ibada iliyofanyika katika Kanisa Katoliki Parokia ya Tarime, huku akisisitiza kuwa, ni ujumbe aliopewa na Papa.

 

10 years ago

Habarileo

Shein ahimiza Wazanzibari kudumisha amani

Dk Ali Mohamed SheinRAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amewataka wananchi kuendelea kudumisha amani na utulivu na kuepuka mifarakano inayoweza kuligawa taifa.

 

10 years ago

Habarileo

Bilal ahimiza amani, umoja kwa Watanzania

MAKAMU wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal amesema kuwa ni wajibu wa kila Mtanzania kudumisha amani na umoja wa Taifa, ikiwa ni njia pekee ya kujiletea maendeleo ya haraka badala ya kuwa mabingwa wa kukosoa kila kitu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Papa ahimiza amani katika rasi ya Korea

Papa Francis amezitaka Mazungumzo ya amani katika rasi ya Korea.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani